Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 9,440
- 28,292
Dikteta hasafishikiKwa mtazamo wa kijinga kama huo, sipotezi muda
Dikteta hasafishikiKwa mtazamo wa kijinga kama huo, sipotezi muda
Kabla ya Magufuli watu walikuwa wanatekwa na kupotea ? Kabla ya Magufuli kulikuwa na upendeleo wa waziwazi wa maendeleo alikotoka rais wa nchi ? Kabla ya Magufuli kulikuwa na ndugu wa karibu na rais katika baraza la mawaziri ? Kabla ya Magufuli kulikuwa na upendeleo wa watu wa kabila la Rais katika ajira za serikali ? Acha ushabiki jamaa ashakufa na ameoza na tushamsahau. Huyu Jamaa ndio amefanya kila mtu ajue utamu wa urais.Kwamba hizo ndio facts? Yaani hizi hivi vijimaneno vyako vya kijuha vilivyochanganyikana na chuki za kipumbav ndio unaita facts?
Jesca kusema mitano tena ikiwa hiyo ndio slogan kuu ya chama chake kuna shida kuna shida? Ulitaka asemeje kwa mfano?
Najua unaweza kujiona una akiiili kumbe ni mpumbav juha tu mmoja hivi ambaye ukikutana na yoyote mwenye akili lazima akudharau?
Narudia tena nikiona mtu anaendelea kumlaumu Magufuli kama blueprint ya maovu yote yanayofanywa na serikali ya samia badala ya kuchukua hatua huwa namdharau sana na kumuona hana tofauti na Ngedere anayepiga kelele kuomba msaada baada ya kukamatwa na chui ilihali uwezo wa kutoroka anao.
Xi Jinping hawa ndiyo watu wenye uelewa mpana, wanatosha kujadiliana naoKwamba hizo ndio facts? Yaani hizi hivi vijimaneno vyako vya kijuha vilivyochanganyikana na chuki za kipumbav ndio unaita facts?
Jesca kusema mitano tena ikiwa hiyo ndio slogan kuu ya chama chake kuna shida kuna shida? Ulitaka asemeje kwa mfano?
Najua unaweza kujiona una akiiili kumbe ni mpumbav juha tu mmoja hivi ambaye ukikutana na yoyote mwenye akili lazima akudharau?
Narudia tena nikiona mtu anaendelea kumlaumu Magufuli kama blueprint ya maovu yote yanayofanywa na serikali ya samia badala ya kuchukua hatua huwa namdharau sana na kumuona hana tofauti na Ngedere anayepiga kelele kuomba msaada baada ya kukamatwa na chui ilihali uwezo wa kutoroka anao.
Magufuli atalaumiwa tu kwa yote ya kishenzi aliyofanya, sikuzote dikteta hataki kukosolewa na hilo lilionekana katika enzi za utawala wakeXi Jinping hawa ndiyo watu wenye uelewa mpana, wanatosha kujadiliana nao
WahuniWaliopotea enzi za utawala wake kwa sababu ya kumkosoa, aliowaua, aliowateka na kuwapiga risasi huo nao ni uzalendo sio?
HP alikuwa moja ya maafisa waandamizi wa serikali ya Magu akiyashuhudia na kuyaunga mkono
Ben Saanane yuko wapi? Nani alimpiga risasi Lissu? Alphonce Mawazo, Azory Gwanda?
Ok sawaMwaka 2016 Rais John Magufuli alimteua Polepole kuwa Mkuu wa wilaya ya Musoma, mkoani Mara, alikohudumu kwa miezi michache kisha kuhamishiwa Ubungo Dar es Salaam kwa nafasi hiyo hiyo ya ukuu wa wilaya na kuhudumu kwa miezi michache pia.
Umaarufu wake uliongezeka alipoteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, nafasi ambayo kimsingi ni ya kuwa msemaji wa chama hicho kinachotawala Tanzania.
Anafahamika kwa kutetea sera na utendaji wa CCM na serikali ya Rais Magufuli, hata pale kulipokuwa na utata mkubwa wa masuala kama vile tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu, utekaji, kuwaweka watuhumiwa mahabusu kwa muda mrefu na wengine kufunguliwa kesi nzito za uhujumu uchumi na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020.
HP kama ameuliwa ni sawa tu
"Mnaijua VIEITEE nyieeee? Viongozi wote wa CCM tunapanda na kuendesha VIEITEE."
– Humphrey Polepole (2019)
View attachment 3485224
View attachment 3485225
View: https://x.com/Getrude_mollel/status/1975470256446636380?t=kqHSUT-aPrZPBBTsOVrE8Q&s=19
Kwamba unataka nikutajie majina ya raia wa china woote waliowahi kupotezwa na serikali ya Xi Jinping ndio uamini kuwa hata serikali ya china nayo pia ni ya kimabavu au?Ni watu gani waliopotezwa na Xi Jinping?
Magu hakuwa Mngese km Mama yakoKwani Magufuli mwenyewe alikuwa mzalendo?
Ni mzalendo wa kweliMakonda ni chawa na kibakaa. Period.
Naona uko na ujinga mwingi sana kuhusiana na neno uzalendo, haya nakuuliza tena hili..Uzalendo ni nini? Uzalendo ni kuwanyamazisha wakosoaji? Au kutovipa vyombo vya habari uhuru?
CAG alikua mwanamtandao umeshamskia siku hizi mnachelewa kujua mamboWote tupinge ukatili unaoendelea. Lakini kusema Pole pole ni mzalendo hapo ni uongo. Mnashindwa tu kukumbuka jinsi alivyokuwa anakera kipindi yupo kwenye system anafanya hesabu zake za kinafiki ku justify CAG hayupo sahihi.
Ccm huwa ni wanafiki sana,wanajifanya wapo upande wa raia wakitupwa nje ya system yao. Mimi siyapendi hata liwe lishajitoa huko,ni yale yale. Mzalendo ni Lissu,mambo ya watu wasiojulikana yalianzia kipindi yupo kwenye system aliwahi kukemea?
Kuna mtu aliwahi kuwaza kuwa huyu naye anaweza kuja kutekwa?
Kile kinachoniwazishaga nakosa majibu ni wale hohehahe wenzetu wanakuwa wanashangilia yanayoendelea wakidhani wanawakomoa wapinga sisiemu, wanamaisha magumu kuliko hata raia wengine
Naona uko na ujinga mwingi sana kuhusiana na neno uzalendo, haya nakuuliza tena hili..
..Vladimir Putin raisi wa Urusi ni mzalendo kwa taifa lake au si mzalendo?
Magu hakuwa Mngese km Mama yako
Kwamba huko nyuma kabla ya 2015 hakuna watu waliowahi kutekwa au?Kabla ya Magufuli watu walikuwa wanatekwa na kupotea ? Kabla ya Magufuli kulikuwa na upendeleo wa waziwazi wa maendeleo alikotoka rais wa nchi ? Kabla ya Magufuli kulikuwa na ndugu wa karibu na rais katika baraza la mawaziri ? Kabla ya Magufuli kulikuwa na upendeleo wa watu wa kabila la Rais katika ajira za serikali ? Acha ushabiki jamaa ashakufa na ameoza na tushamsahau. Huyu Jamaa ndio amefanya kila mtu ajue utamu wa urais.
Mbona iko wazi Xi ni mzalendo, au unataka uumfananishe Xi na hiyo takataka yenu iliyo hell?Kwanza point yangu ilikuwa ni wewe Xi ping ni mzalendo au sio mzalendo wa taifa lake
Kama upo kwenye circle wewe utakuwa na usalama na haki kufurahia utekaji maana ni mnufaika na kama haupo kwenye circle na upo kushauri watawala ambao awataki kushauriwa, ipo siku haina jina ya Polepole,Ben, mdude na sisi wengine humu watarajiwa. Suala la muda tu tuendelee kupaza sauti utekaji hauna dini, kabila wala itikadi ya chama
Ulikua mdogo Olimboka anatekwa sio? wasiojulikana wapo tangia miaka na miakaWote tupinge ukatili unaoendelea. Lakini kusema Pole pole ni mzalendo hapo ni uongo. Mnashindwa tu kukumbuka jinsi alivyokuwa anakera kipindi yupo kwenye system anafanya hesabu zake za kinafiki ku justify CAG hayupo sahihi.
Ccm huwa ni wanafiki sana,wanajifanya wapo upande wa raia wakitupwa nje ya system yao. Mimi siyapendi hata liwe lishajitoa huko,ni yale yale. Mzalendo ni Lissu,mambo ya watu wasiojulikana yalianzia kipindi yupo kwenye system aliwahi kukemea?
Kuna mtu aliwahi kuwaza kuwa huyu naye anaweza kuja kutekwa?
Kile kinachoniwazishaga nakosa majibu ni wale hohehahe wenzetu wanakuwa wanashangilia yanayoendelea wakidhani wanawakomoa wapinga sisiemu, wanamaisha magumu kuliko hata raia wengine
Ulikua mdogo Olimboka anatekwa sio? wasiojulikana wapo tangia miakWote tupinge ukatili unaoendelea. Lakini kusema Pole pole ni mzalendo hapo ni uongo. Mnashindwa tu kukumbuka jinsi alivyokuwa anakera kipindi yupo kwenye system anafanya hesabu zake za kinafiki ku justify CAG hayupo sahihi.
Ccm huwa ni wanafiki sana,wanajifanya wapo upande wa raia wakitupwa nje ya system yao. Mimi siyapendi hata liwe lishajitoa huko,ni yale yale. Mzalendo ni Lissu,mambo ya watu wasiojulikana yalianzia kipindi yupo kwenye system aliwahi kukemea?
Kuna mtu aliwahi kuwaza kuwa huyu naye anaweza kuja kutekwa?
Kile kinachoniwazishaga nakosa majibu ni wale hohehahe wenzetu wanakuwa wanashangilia yanayoendelea wakidhani wanawakomoa wapinga sisiemu, wanamaisha magumu kuliko hata raia wengine