Mko wapi mliokuwa mnasema Makonda ni Mzalendo?

Mko wapi mliokuwa mnasema Makonda ni Mzalendo?

Upo sahihi kabisa,pole pole ni mnafiki mkubwa aliyetolewa ndani ya system.

Kuna kipindi kitakuja atakaa rais mwingine- kuna watu system itawatema,ndiyo hao wanageuka wazalendo uchwara ili kupata support ya wananchi wa kawaida,hao ni walaghai tu.

Ile system ilipofikia haiwezi kuwa na mzalendo hata mmoja.
Kipindi Olimboka anatekwa ulikua unanyonya maziwa bado mbona wa bongo mna ubongo mwepesi sana kusahau
 
Huwa mna mdharau sana mtu anayemuona magu ndio blueprint ya mabaya yote tunayoyaona awamu hii, huwa nna wadharau mno watu wa dizaini yako.
wajinga sana tena wapumbavu wanasahau Olimboka alitekwa wakina Mgimwa wameuawa hawa jamaa wapumbavu Magu alikua mzalendo wa kweli na haiwezekani kubadilisha chochote
 
Kwamba hizo ndio facts? Yaani hizi hivi vijimaneno vyako vya kijuha vilivyochanganyikana na chuki za kipumbav ndio unaita facts?

Jesca kusema mitano tena ikiwa hiyo ndio slogan kuu ya chama chake kuna shida kuna shida? Ulitaka asemeje kwa mfano?

Najua unaweza kujiona una akiiili kumbe ni mpumbav juha tu mmoja hivi ambaye ukikutana na yoyote mwenye akili lazima akudharau?

Narudia tena nikiona mtu anaendelea kumlaumu Magufuli kama blueprint ya maovu yote yanayofanywa na serikali ya samia badala ya kuchukua hatua huwa namdharau sana na kumuona hana tofauti na Ngedere anayepiga kelele kuomba msaada baada ya kukamatwa na chui ilihali uwezo wa kutoroka anao.
Kwanza jeska huwezi kumlaumu yeye anatumika tu bila yeye kujijua kama walivyomtumia Lissu wanamtandao ni hatari
 
Kabla ya Magufuli watu walikuwa wanatekwa na kupotea ? Kabla ya Magufuli kulikuwa na upendeleo wa waziwazi wa maendeleo alikotoka rais wa nchi ? Kabla ya Magufuli kulikuwa na ndugu wa karibu na rais katika baraza la mawaziri ? Kabla ya Magufuli kulikuwa na upendeleo wa watu wa kabila la Rais katika ajira za serikali ? Acha ushabiki jamaa ashakufa na ameoza na tushamsahau. Huyu Jamaa ndio amefanya kila mtu ajue utamu wa urais.
Olimboka anatekwa ulikua unanyonya maziwa au ulikua kwenye kiunoni kwa Wazazi wako vipi mwangosi vipi Mgimwa mabomu ya Arusha tulieni
 
Kuna kelele kibao mpaka wakasema Makonda mzalendo anaweza kuvaa viatu vya Magufuli. Wapi sasa ukweli? Ukweli uko wazi; jamaa yenu Makonda hana uzalendo wowote. Tangia Magufuli alipoondoka, wazalendo wa kweli tumewaona kwa macho yetu, na maskio waliobaki wote walikuwa ni kelele.

Kipindi cha Magufuli kila mtu alijifaya mzalendo, kumbe maigizo. Wakina Kabundi na kundi lake wakajivisha uzalendo feki. Kiko wapi leo wakina Bashiru? Mnashindwa kutoa hata tamko. Kijana wenu Polepole, uzalendo wenu uko wapi?

Mzalendo wa kweli ni Polepole. Watanzania, tuamke leo. Kwa Polepole kesho kwako Mtanzania yoyote anayependa nchi yake, JWTZ waliopo kwenye vyombo vya Usalama, wazalendo tupaze sauti. Wa mrudisheni Polepole akiwa mzima, bila masharti yoyote.
Lissu aliwahi kuwaambia kipindi flani bungeni kuwa ccm wanaona na kufurahi wao wapinzani wanashughulikiwa ila wakimalizwa wao (wapinzani) watageukiwa wao na kweli kina Nape na wenzake walishughulikiwa tazama Luhaga Mpina, January Makamba, Bashiru Ally, Polepole nk. Hakuna aliye salama mbele ya mwovu ukijaa kwenye njia yake hakuangalii hivyo kupaza sauti muhimu sana juu ya uovu.​
 
wajinga sana tena wapumbavu wanasahau Olimboka alitekwa wakina Mgimwa wameuawa hawa jamaa wapumbavu Magu alikua mzalendo wa kweli na haiwezekani kubadilisha chochote
Hawa jamaa wapumbav mno, yaani wao wanaamini maovu yote tunayoyaona yakifanywa na serikali hii ya sasa chanzo chake ni Magufuli....

Kwa maana nyingine wanatuambia bila Magufuli kutawala ile miaka mingine, basi serikali hii ya Samia isingekuwa inaua watu hivi, yaan ingekuwa ni serikali takatifu sana... yaani kana kwamba mzimu wa Magufuli ndio unateka na kuua watu.

Na pia vile vile hawa jamaa wanatuambia kuwa serikali ziliopita huko nyuma kabla ya 2015 tangu uhuru hazijawahi kabisa kufanya ya kutisha, matukio ya kutisha yamefanywa na wamu ya tano na ya sita tu.. wapumbav kweli hawa.

Kwanza mara nyingi huwa wanaonekana kuisema serikali ya magufuli zaidi kuliko serikali ya samia, tafsiri yake ni kwamba hawaumizwi kabisa na unayanyasaji,ufisadi na wizi unafanywa na awamu hii... tafsiri yake ni kwamba yawezekana hawa ni wanufaika wa mfumo uliopo sasa.
 
Hawa jamaa wapumbav mno, yaani wao wanaamini maovu yote tunayoyaona yakifanywa na serikali hii ya sasa chanzo chake ni Magufuli....

Kwa maana nyingine wanatuambia bila Magufuli kutawala ile miaka mingine, basi serikali hii ya Samia isingekuwa inaua watu hivi, yaan ingekuwa ni serikali takatifu sana... yaani kana kwamba mzimu wa Magufuli ndio unateka na kuua watu.

Na pia vile vile hawa jamaa wanatuambia kuwa serikali ziliopita huko nyuma kabla ya 2015 tangu uhuru hazijawahi kabisa kufanya ya kutisha, matukio ya kutisha yamefanywa na wamu ya tano na ya sita tu.. wapumbav kweli hawa.

Kwanza mara nyingi huwa wanaonekana kuisema serikali ya magufuli zaidi kuliko serikali ya samia, tafsiri yake ni kwamba hawaumizwi kabisa na unayanyasaji,ufisadi na wizi unafanywa na awamu hii... tafsiri yake ni kwamba yawezekana hawa ni wanufaika wa mfumo uliopo sasa.
Kwanza mtu yoyote anae tumia Uovu kualalisha Ouvu mwingine huyo ni Mpumbavu na ni lofa JF kuna wapumbavu na malofa wengi sana humu
 
Hawa jamaa wapumbav mno, yaani wao wanaamini maovu yote tunayoyaona yakifanywa na serikali hii ya sasa chanzo chake ni Magufuli....

Kwa maana nyingine wanatuambia bila Magufuli kutawala ile miaka mingine, basi serikali hii ya Samia isingekuwa inaua watu hivi, yaan ingekuwa ni serikali takatifu sana... yaani kana kwamba mzimu wa Magufuli ndio unateka na kuua watu.

Na pia vile vile hawa jamaa wanatuambia kuwa serikali ziliopita huko nyuma kabla ya 2015 tangu uhuru hazijawahi kabisa kufanya ya kutisha, matukio ya kutisha yamefanywa na wamu ya tano na ya sita tu.. wapumbav kweli hawa.

Kwanza mara nyingi huwa wanaonekana kuisema serikali ya magufuli zaidi kuliko serikali ya samia, tafsiri yake ni kwamba hawaumizwi kabisa na unayanyasaji,ufisadi na wizi unafanywa na awamu hii... tafsiri yake ni kwamba yawezekana hawa ni wanufaika wa mfumo uliopo sasa.
Kwanza mtu yoyote anae tumia Uovu kualalisha Ouvu mwingine huyo ni Mpumbavu na ni lofa JF kuna wapumbavu na malofa wengi sana hu
 
Olimboka anatekwa ulikua unanyonya maziwa au ulikua kwenye kiunoni kwa Wazazi wako vipi mwangosi vipi Mgimwa mabomu ya Arusha tulieni
Kikwete alijaza wakwere serikalini na usalama wa Taifa ? Kikwete alimweka ndugu yake katika baraza la mawaziri? Hao walitekwa wachache Kikwete aliowateka na kupoteza hawajazi noah (hawafiki 12). Niletee listi ya Kikwete nikuletee ya Magu acheni kutetea ujinga. Ndio maana na sema magu alikuwa rais wa wajinga na wavivu kufikiri. Magu ndio aliyeanzisha anachoendeleza Samia.
 
Kwamba huko nyuma kabla ya 2015 hakuna watu waliowahi kutekwa au?

Ulikuwa bado uko kwenye kiuno cha baba ako kipindi mwenyekiti wa chama cha madaktari nchini dk. Ulimboka anatekwa na kung'olewa meno yote na kisha kutupwa msitu wa mwabepande?

Vipi na mauji ya mwana habari nguli Mwangosi talifanyika awamu ya tano au?

Vipi na vijana wa chuo waliopigwa na polisi wakaenda kufia hospitalini kwenye maandamano ya wanachuo mwaka 2011 raisi alikuwa ni Magu au?

Unaandika maelezo mengi kwa kujiamini wakati kuna gap kubwa sana liliojazwa na ujinga kwenye kichwa chako..!!

BTW, siko hapa kumtetea Magu na wala sikubaliani na hayo matukio ya kikatili yaliyotokea kwenye awamu yake na kama alihusika basi apewe adhabu anayostahili huko alipo....

...Mimi hasira na chuki zangu huwa zipo kwa nyie wajinga ambao kila tunapoongelea mambo ya utekaji na mauaji yanayifanyika awamu hii nyie haraka mnageuza mada inakuwa ya kuhusu Magufuli na kuwaacha kabisa kuwaongelea perpetrators wa kipindi huki, yaan inakuwa ni kama mko pamoja na wauaji wa kipindi hiki huku mkitupia lawama kwa utawala uliopita kwa makosa ya awamu hii.

Kwa akili hizi mbovu mlizonazo, naamini hata siku Samia akimaliza muda wake kisha akafuata Nchimbi au Ridhiwani kukalia kitu cha uraisi, naye akawa anafanya mauji na utekaji kwa critics wake hivi hivi bado mtaendelea kumlaumu Magufuli, yaan mauji yanafayika mwaka 2033 huko nyie na akili zenu mbovu mtakuwa mnamlaumu mtu aliyekufa mwaka 2021... mna akili kama ndogo sana kama za Nzi.

Eti bila aibu kabisa unasema "magufuli ndio aliowaonesha hawa wote utamu wa kuwa raisi" una akili kweli wewe?

Haujui hata mtu ambaye yeye na familia yake wameufaidi uraisi, na wanaendelea kuufaidi na mpaka vizazi vyake vijavyo vitanufaika nao.. unaongelea Magufuli kuufaidi uraisi na wakati leo hii jina la magufuli kwenye system ni la kutafuta kwa torch...!? We jamaa bwana.

Endeleeni kukalisha matako hapo mkilaumu magufuli huku serikali ya samia ikitumaliza watanganyika mmoja baada ya mwingine.
Narudia tena kwa herufi kubwa "MAGUFULI NDIE ALIYAOWANYESHA WATU UTAMU WA KUWA RAIS" Ni rais gani aliyeanzisha mtindo wa kujaza watu wa kabila lake serikalini ? Ni Rais gani aliyeanzisha kupendelea alikotoka kimaendeleo mpaka kujenga uwanja wa kutua ndege kubwa ,hospitali ya rufaa, chuo cha veta, tawi la banki CRDB, Hifadhi ya mbuga, nyumba za NHC N.k? Mimi sitetei ujInga huyu alikuwa rais wa wajinga na wavivu kufikiri. Hata binti yake ameshamsahau yupo na mama. Hii tu inaonyesha tulikuwa na rais wa aina gani. Alichoanzisha Magu ndio standard ya marais wanaokuja.
 
Kwanza mtu yoyote anae tumia Uovu kualalisha Ouvu mwingine huyo ni Mpumbavu na ni lofa JF kuna wapumbavu na malofa wengi sana hu
Mimi sihalalishi uovu ninachosema ni kuwa "tatizo sio Rais tatizo ni mfumo" . Mimi nilikuwa napingana na pole pole hapo. Magu alianzisha standard mpya za urais kwa hio bila katiba mpya maris wajao watafanya mabaya zaidi.
 
Hawa jamaa wapumbav mno, yaani wao wanaamini maovu yote tunayoyaona yakifanywa na serikali hii ya sasa chanzo chake ni Magufuli....

Kwa maana nyingine wanatuambia bila Magufuli kutawala ile miaka mingine, basi serikali hii ya Samia isingekuwa inaua watu hivi, yaan ingekuwa ni serikali takatifu sana... yaani kana kwamba mzimu wa Magufuli ndio unateka na kuua watu.

Na pia vile vile hawa jamaa wanatuambia kuwa serikali ziliopita huko nyuma kabla ya 2015 tangu uhuru hazijawahi kabisa kufanya ya kutisha, matukio ya kutisha yamefanywa na wamu ya tano na ya sita tu.. wapumbav kweli hawa.

Kwanza mara nyingi huwa wanaonekana kuisema serikali ya magufuli zaidi kuliko serikali ya samia, tafsiri yake ni kwamba hawaumizwi kabisa na unayanyasaji,ufisadi na wizi unafanywa na awamu hii... tafsiri yake ni kwamba yawezekana hawa ni wanufaika wa mfumo uliopo sasa.
Nakuhakikishia Magu asingeongoza hii nchi hicho kikosi cha kuteka na kupoteza watu kingetoka wapi ? Acheni kutetea ujinga CCM mmeshindwa kufanya maamuzi kwa sababu hamtaki kukubali kuwa magufuli ndiye aliyeanzisha huu ukatili. Hata Polepole ame sacrifice maisha yake kwa objective ya kijinga. Polepole angepambania katiba mpya angekumbukwa na taifa. Lakini mtu anakuja na kupamba kuwa sheria za chama hazijafatwa. Huyu atasahaulika ndani ya wiki mbili. CCM walitakiwa wajikatae polepole aelezee mabaya ya Magu, kusogeza uchaguzi na ku-demand katiba mpya. Sasa mtu anaacha kazi halafu anakuja na utumbo wa kusema Samia aachie ngazi na uchaguzi ifanyike. Huyu jamaa kafia tamaa za tumbo lake na sio nchii. Hii ndio tofauti ya Pole pole na Tundu Lissu.
 
Nakuhakikishia Magu asingeongoza hii nchi hicho kikosi cha kuteka na kupoteza watu kingetoka wapi ? Acheni kutetea ujinga CCM mmeshindwa kufanya maamuzi kwa sababu hamtaki kukubali kuwa magufuli ndiye aliyeanzisha huu ukatili. Hata Polepole ame sacrifice maisha yake kwa objective ya kijinga. Polepole angepambania katiba mpya angekumbukwa na taifa. Lakini mtu anakuja na kupamba kuwa sheria za chama hazijafatwa. Huyu atasahaulika ndani ya wiki mbili. CCM walitakiwa wajikatae polepole aelezee mabaya ya Magu, kusogeza uchaguzi na ku-demand katiba mpya. Sasa mtu anaacha kazi halafu anakuja na utumbo wa kusema Samia aachie ngazi na uchaguzi ifanyike. Huyu jamaa kafia tamaa za tumbo lake na sio nchii. Hii ndio tofauti ya Pole pole na Tundu Lissu.
Umeandika upumbavu mtupu, haya endelea kuona serikali zilizopita huko nyuma zilikuwa serikli takatifu, na serikali ya Samia ni takatifu tena sana tu haipaswi kabisa kulaumiwa kwa tukio lolote la kikatili inalolifanya.

Naamini siku wakikuteka wewe kisha wakakufira na kukutupa mtaroni, lawama zote utazipeleka kwa huyo Magu na kisha hao wafiraji wako utawaona hawana kosa.. maana ndivyo jinsi akili yako inavyo reason.

Mimi siko ccm wala chadema, ila huwa sipendezwi tu na ujinga na kila nikiuona lazima niukemee..!!

Watu wanaishi kwa hofu na wanawaza wataondokana vipi na hii serikali dhalimu ya samia, wewe uko hapa unaleta hekaya za magufuli, tena umekaza pumbu kabisa unashuka essay ndeefu ambazo between the lines unaitetea serikali ya muuaji Samia.. una akili wewe?

Kwamba kwa yanayoendelea sasa hivi basi tuacha kudeal na Samia kisha twende Chato tukamfukue Magufuli ndio tumuadabishe sio? Tumuulize kwanini amemuua Mdude, Ally Kibao na Soka si ndio maanake? Si ndio unachokimaanisha?

Kubwa jinga wewe, akili yako haina akili.. unanichosha tu hapa kwanza.
 
Mimi sihalalishi uovu ninachosema ni kuwa "tatizo sio Rais tatizo ni mfumo" . Mimi nilikuwa napingana na pole pole hapo. Magu alianzisha standard mpya za urais kwa hio bila katiba mpya maris wajao watafanya mabaya zaidi.
Ni ajabu sana mpumbavu kuandika upumbav tena akiwa na confidence, unajiona una akili kumbe umejaza mavi kichwani badala ya ubongo...

Unasema haulalishi uovu kwa uovu na wakati kwa maelezo yako una mu excuse Samia na matendo maovu yanayofanywa na serikali yake kwa kumtaja Magufuli kuwa yeye ndio alianzisha huo mfumo... sasa huko sio kuhalalisha maovu kwa maovu?

Kama Samia ameweza kufurumusha ile mnayoiita sukuma gang, ameshindwa nini kuondoa hicho unachokiita "mfumo wa wauawaji"???

Kwamba huo mfumo una mnufaisha ila hana control nao kisa cha kuuondoa?

Hivi unajua hata unachokiandika lakini mbwa kachoka wewe?

yaan Mdude kanyakuliwa akiwa na familia yake, mwaka huu halafu wewe unaacha kuwatafuta watu waliomteka, kisha unaanza kutupa lawama kwa mtu ambaye hayupo?

Kama kuna jambo la maana uliongea tangu umeanza kuandika upumbavu wako kwenye hii mada ni hapo mwisho nilipo bold.
 
Ni ajabu sana mpumbavu kuandika upumbav tena akiwa na confidence, unajiona una akili kumbe umejaza mavi kichwani badala ya ubongo...

Unasema haulalishi uovu kwa uovu na wakati kwa maelezo yako una mu excuse Samia na matendo maovu yanayofanywa na serikali yake kwa kumtaja Magufuli kuwa yeye ndio alianzisha huo mfumo... sasa huko sio kuhalalisha maovu kwa maovu?

Kama Samia ameweza kufurumusha ile mnayoiita sukuma gang, ameshindwa nini kuondoa hicho unachokiita "mfumo wa wauawaji"???

Kwamba huo mfumo una mnufaisha ila hana control nao kisa cha kuuondoa?

Hivi unajua hata unachokiandika lakini mbwa kachoka wewe?

yaan Mdude kanyakuliwa akiwa na familia yake, mwaka huu halafu wewe unaacha kuwatafuta watu waliomteka, kisha unaanza kutupa lawama kwa mtu ambaye hayupo?

Kama kuna jambo la maana uliongea tangu umeanza kuandika upumbavu wako kwenye hii mada ni hapo mwisho nilipo bold.
P
Umeandika upumbavu mtupu, haya endelea kuona serikali zilizopita huko nyuma zilikuwa serikli takatifu, na serikali ya Samia ni takatifu tena sana tu haipaswi kabisa kulaumiwa kwa tukio lolote la kikatili inalolifanya.

Naamini siku wakikuteka wewe kisha wakakufira na kukutupa mtaroni, lawama zote utazipeleka kwa huyo Magu na kisha hao wafiraji wako utawaona hawana kosa.. maana ndivyo jinsi akili yako inavyo reason.

Mimi siko ccm wala chadema, ila huwa sipendezwi tu na ujinga na kila nikiuona lazima niukemee..!!

Watu wanaishi kwa hofu na wanawaza wataondokana vipi na hii serikali dhalimu ya samia, wewe uko hapa unaleta hekaya za magufuli, tena umekaza pumbu kabisa unashuka essay ndeefu ambazo between the lines unaitetea serikali ya muuaji Samia.. una akili wewe?

Kwamba kwa yanayoendelea sasa hivi basi tuacha kudeal na Samia kisha twende Chato tukamfukue Magufuli ndio tumuadabishe sio? Tumuulize kwanini amemuua Mdude, Ally Kibao na Soka si ndio maanake? Si ndio unachokimaanisha?

Kubwa jinga wewe, akili yako haina akili.. unanichosha tu hapa kwanza.
Hauwezi kutaka katiba mpya na kumtetea Magufuli. Hivi vitu ni maji na mafuta. Samia ana makosa sawa. Lakini tatizo ni mfumo sio mtu. Mtanzania mzalendo namba moja ni Tundu Lissu. Huyu Polepole amefia njaa na sio objective ya taifa. Hata Polepole angeanza na haya mambo yameanza lini na kuna future gani katika uongozi wa nchi hii. Polepole amgeanza na kusema tatizo ni mfumo na uchaguzi usogezwe mbele leo hii samia angekuwa ameshaachia ngazi.
 
Kuna kelele kibao mpaka wakasema Makonda mzalendo anaweza kuvaa viatu vya Magufuli. Wapi sasa ukweli? Ukweli uko wazi; jamaa yenu Makonda hana uzalendo wowote. Tangia Magufuli alipoondoka, wazalendo wa kweli tumewaona kwa macho yetu, na maskio waliobaki wote walikuwa ni kelele.

Kipindi cha Magufuli kila mtu alijifaya mzalendo, kumbe maigizo. Wakina Kabundi na kundi lake wakajivisha uzalendo feki. Kiko wapi leo wakina Bashiru? Mnashindwa kutoa hata tamko. Kijana wenu Polepole, uzalendo wenu uko wapi?

Mzalendo wa kweli ni Polepole. Watanzania, tuamke leo. Kwa Polepole kesho kwako Mtanzania yoyote anayependa nchi yake, JWTZ waliopo kwenye vyombo vya Usalama, wazalendo tupaze sauti. Wa mrudisheni Polepole akiwa mzima, bila masharti yoyote.

..huo uzalendo wake walizingatia vigezo gani? Au ukubwa wa makalio yake?
 
Umewasahau Kabudi na Bashiru Kakuru
wameshidwa kutoa tamko kuwambia polepole yuko wapi kama ni propaganda za kumchafua mama Samia polepole kajiteka waseme Kabudi Bashiru na Butiku hawa wana mawasilano na Polepole watoke waseme watulize hii taharuki
 
Back
Top Bottom