Afghanistan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2022
- 1,306
- 2,000
Makonda ni chawa na kibakaa. Period.Kuna kelele kibao mpaka wakasema Makonda mzalendo wapi sasa ukweli uko wazi jamaa yenu Makonda hana uzalendo wowote. Tangia Magufuli amefariki wazalendo wa kweli tumewaona kwa macho yetu na maskio waliobaki wote zilikua ni kelele. Kipindi cha Magufuli kila mtu alijifaya mzalendo kumbe maigizo wakina Kabundi na kundi lake wakajivisha uzalendo feki kiko wapi leo wakina Bashiru mnashindwa kutoa hata tamko la Kijana wenu polepole uzalendo wenu uko wapi? Mzalendo wa kweli ni Polepole watanzania tuamke leo kwa Polepole kesho kwako Mtanzania yoyote anayependa nchi yake JWTZ waliopo kwenye vyombo vya Usalama wazalendo tupaze sauti wa mrudisheni Polepole akiwa mzima bila Masharti yoyote
Hata hivyo, atamfuata magu wake soon believe ye meWewe ndiyo hauna akili ...vita ni mbinu nyingi sana ...hivyo wapo wazalendo wengine wamenyamaza kimywa kwa sababu za baadae na wapo wengine wanaongea kwa sababu na wengine wamejificha kwa sababu za msingi ....katika mapambano ni lazima mbinu zaidi ya moja zitumike
Ben Saanane hakuwa anakosoa UTAWALA wa Magufuli ila alikuwa anakosoa ELIMU ya Magufuli.
Ben saanane alishaonywa na Tundu Lisu pamoja na Mbowe hapahapa jamvini kabla umauti haujamfika.
Hata Mbowe makamanda uchwara walikuwa wanamuita mwamba tuvushe lakini leo hii hawataki hata kumsikia duh😁Watu humu walisema mzalendo anafaa viatu vya Magufuli kumbe tapeli
Mbowe ni tapeli kama MakondaHata Mbowe makamanda uchwara walikuwa wanamuita mwamba tuvushe lakini leo hii hawataki hata kumsikia duh😁
Cc: Mimi Wewe Yule
Sawa mwenye akiliWewe ndiyo hauna akili ...vita ni mbinu nyingi sana ...hivyo wapo wazalendo wengine wamenyamaza kimywa kwa sababu za baadae na wapo wengine wanaongea kwa sababu na wengine wamejificha kwa sababu za msingi ....katika mapambano ni lazima mbinu zaidi ya moja zitumike
Utekaji na kupotezwa vilianza enzi za Magufuli. Polepole alikuwa mwenezi wa chama. Kuna wakati alijitokeza kukebehi waliopotelewa na ndugu zao. Polepole hana uzalendo wowote, huenda kuna kundi lilikuwa nyuma yake ambalo walimuahidi kurejea jikoni kuendeleza upishi na ulaji wa keki ya Taifa. Lakini wamezidiwa nguvu/ujanja na the so called wahuni.Kuna kelele kibao mpaka wakasema Makonda mzalendo anaweza kuvaa viatu vya Magufuli wapi sasa ukweli uko wazi jamaa yenu Makonda hana uzalendo wowote. Tangia Magufuli amefariki wazalendo wa kweli tumewaona kwa macho yetu na maskio waliobaki wote zilikua ni kelele. Kipindi cha Magufuli kila mtu alijifaya mzalendo kumbe maigizo wakina Kabundi na kundi lake wakajivisha uzalendo feki kiko wapi leo wakina Bashiru mnashindwa kutoa hata tamko la Kijana wenu polepole uzalendo wenu uko wapi? Mzalendo wa kweli ni Polepole watanzania tuamke leo kwa Polepole kesho kwako Mtanzania yoyote anayependa nchi yake JWTZ waliopo kwenye vyombo vya Usalama wazalendo tupaze sauti wa mrudisheni Polepole akiwa mzima bila Masharti yoyote
POLEPOLE alishaomba MSAMAHA Wewe umekamilika?Utekaji na kupotezwa vilianza enzi za Magufuli. Polepole alikuwa mwenezi wa chama. Kuna wakati alijitokeza kukebehi waliopotelewa na ndugu zao. Polepole hana uzalendo wowote, huenda kuna kundi lilikuwa nyuma yake ambalo walimuahidi kurejea jikoni kuendeleza upishi na ulaji wa keki ya Taifa. Lakini wamezidiwa nguvu/ujanja na the so called wahuni.
Si unaona sasa? Inabidi umsupport Lisu ili uitwe mzalendo na si vinginevyo, upuuzi mtupu😁Mbowe ni tapeli kama Makonda
Kama hamjamlisha maneno hiyo ni political suicide!??Tumefika pabaya sana
Mbowe ni tapeli kama Makonda hata ukimuuliza mtoto mdogo bora ya Lissu na Polepole ila Mbowe ni tapeli alikua anatumia wana chadema kama mtaji wake kujinufaisha na utajiri Makonda anatumia uzalendo koko kupanda ngazi kisiasa kiufupi Makonda na mbowe na wakua jela
Nikitumia akili yangu nakuambia hatari ni kwa samia na genge lake kuliko polepole kumbuka mimi nilisema hapa jf kuwa ifikapo 2024 samia ataanza kumwaga damu nyingi sana mlinipinga...ccm na chadema mlibisha ...unajua kwanini nilijua kuwa Samia atamwaga damu nyingi? Unajua nilitumia akili gani kusolve hadi nikapata ilo jibu ? Nikama Samia akifikisha 2029 hapa patakuwa na kivumbi haswa ....naweza kukuelezeni nini yatakayo tokea huo muda ....Hata hivyo, atamfuata magu wake soon believe ye me
Kuna kelele kibao mpaka wakasema Makonda mzalendo anaweza kuvaa viatu vya Magufuli wapi sasa ukweli uko wazi jamaa yenu Makonda hana uzalendo wowote. Tangia Magufuli amefariki wazalendo wa kweli tumewaona kwa macho yetu na maskio waliobaki wote zilikua ni kelele. Kipindi cha Magufuli kila mtu alijifaya mzalendo kumbe maigizo wakina Kabundi na kundi lake wakajivisha uzalendo feki kiko wapi leo wakina Bashiru mnashindwa kutoa hata tamko la Kijana wenu polepole uzalendo wenu uko wapi? Mzalendo wa kweli ni Polepole watanzania tuamke leo kwa Polepole kesho kwako Mtanzania yoyote anayependa nchi yake JWTZ waliopo kwenye vyombo vya Usalama wazalendo tupaze sauti wa mrudisheni Polepole akiwa mzima bila Masharti yoyote
TOA HAO JWTZ KWAMBA NI WAZALENDO, HAO NI WACHUMIA TUMBO KAMA WENGINE TUU. KIUFUPI TANZANIA HATUNA JESHI LA WAZALENDO BAADA YA WALE WALIOPIGANA KAGERA, ILA TUNA WATU WALIOVAA NGUO ZA KIJESHI, WAOGA, WANAOJIFICHA KWENYE VIAPO VYA KISENGE VYA UTII KWA WANASIASA (WEZI).
WANGEKUWA WAZALENDO MPAKA MDA HUU WANGESHAMKATAMATA JK, SAMIA, ROSTAM, NA WEZI WENGINE, WANGESHAKOMESHA MAUAJI YA WATU NA UTEKAJI N.K KWA HIYO HATUNA JESHI LA WAZALENDO TUNA MIJAMAA TUU NA MADEMU IMEVAA SARE ZA KIJESHI. PTUUUUUUUH !!!
Hatuna jeshi mkuu ni wachumia tumbo tuu wale.Safi sana, umeandika vizuri. Jeshi ilipaswa lijitegemee liwe na jukumu kuu la kulinda nchi kwa maadui wa ndani na nje. Mfano kwenye mambo yanayo endelea Sasa hivi jeshi ilipaswa kuingilia kati kwa faida ya taifa. Sasa ndio kwanza ata hawana habari, wapo wapo tu,hakuna jeshi hapa limeisha vamiwa na wana siasa.