Mko wapi mliokuwa mnasema Makonda ni Mzalendo?

Mko wapi mliokuwa mnasema Makonda ni Mzalendo?

Wote tupinge ukatili unaoendelea. Lakini kusema Pole pole ni mzalendo hapo ni uongo. Mnashindwa tu kukumbuka jinsi alivyokuwa anakera kipindi yupo kwenye system anafanya hesabu zake za kinafiki ku justify CAG hayupo sahihi.

Ccm huwa ni wanafiki sana,wanajifanya wapo upande wa raia wakitupwa nje ya system yao. Mimi siyapendi hata liwe lishajitoa huko,ni yale yale. Mzalendo ni Lissu,mambo ya watu wasiojulikana yalianzia kipindi yupo kwenye system aliwahi kukemea?
Kuna mtu aliwahi kuwaza kuwa huyu naye anaweza kuja kutekwa?

Kile kinachoniwazishaga nakosa majibu ni wale hohehahe wenzetu wanakuwa wanashangilia yanayoendelea wakidhani wanawakomoa wapinga sisiemu, wanamaisha magumu kuliko hata raia wengine
 
Utekaji na kupotezwa vilianza enzi za Magufuli. Polepole alikuwa mwenezi wa chama. Kuna wakati alijitokeza kukebehi waliopotelewa na ndugu zao. Polepole hana uzalendo wowote, huenda kuna kundi lilikuwa nyuma yake ambalo walimuahidi kurejea jikoni kuendeleza upishi na ulaji wa keki ya Taifa. Lakini wamezidiwa nguvu/ujanja na the so called wahuni.
Upo sahihi kabisa,pole pole ni mnafiki mkubwa aliyetolewa ndani ya system.

Kuna kipindi kitakuja atakaa rais mwingine- kuna watu system itawatema,ndiyo hao wanageuka wazalendo uchwara ili kupata support ya wananchi wa kawaida,hao ni walaghai tu.

Ile system ilipofikia haiwezi kuwa na mzalendo hata mmoja.
 
Waliopotea enzi za utawala wake kwa sababu ya kumkosoa, aliowaua, aliowateka na kuwapiga risasi huo nao ni uzalendo sio?

Azory Gwanda?
Unajiita "Xi jinping" sio?

Akishirikiana na viongozi waandamizi wa chama chake cha CCP kuna watu wengi waliokuwa wanaikosoa na kutoa siri za serikali wamepotezwa, je huyo Xi jinping naye hana uzalendo na taifa lake la China?

Uzalendo kwako ni nini? Na ni dosari gani zinamfanya kiongozi akose sifa ya kuitwa mzalendo?
 
Kwa hiyo Tundu Lissu na Ben Saanane walikuwa wahuni ? Rais wa kwanza kuleta ukabila kwa kupendelea alipotoka wazi wazi Mama samia anaendeleza Nenda Unguja na pemba ukajionee. Magu alikuwa rais wa kwanza kujaza kabila lake serikalini tembea wilayani uangalie wazanzibari walivyojazwa katika wilaya mbalimbali bara.Magu alikuwa rais wa kwanza kuteua ndugu wa karibu katika baraza la mawaziri mama kamteua mkwe Mchengerwa kuwa waziri na sasa binti yake nae anagombea ubunge. Magu kashasaulika hadi na binti yake anaegombea viti maalumu. Aisee ubaya haulipi na wema hauozi. Yaani alichoanzisha Magubndio stndard ya marais wanaokuja.
Huwa mna mdharau sana mtu anayemuona magu ndio blueprint ya mabaya yote tunayoyaona awamu hii, huwa nna wadharau mno watu wa dizaini yako.
 
TOA HAO JWTZ KWAMBA NI WAZALENDO, HAO NI WACHUMIA TUMBO KAMA WENGINE TUU. KIUFUPI TANZANIA HATUNA JESHI LA WAZALENDO BAADA YA WALE WALIOPIGANA KAGERA, ILA TUNA WATU WALIOVAA NGUO ZA KIJESHI, WAOGA, WANAOJIFICHA KWENYE VIAPO VYA KISENGE VYA UTII KWA WANASIASA (WEZI).

WANGEKUWA WAZALENDO MPAKA MDA HUU WANGESHAMKATAMATA JK, SAMIA, ROSTAM, NA WEZI WENGINE, WANGESHAKOMESHA MAUAJI YA WATU NA UTEKAJI N.K KWA HIYO HATUNA JESHI LA WAZALENDO TUNA MIJAMAA TUU NA MADEMU IMEVAA SARE ZA KIJESHI. PTUUUUUUUH !!!
I second you, japo hisia zangu zinaniambia bado wapo wachache ndani ya jeshi letu wanaoumizwa na yanayoendelea nchini hivi sasa, kitendo tu cha nahodha wa juzi kutoka vile adharani kinatupa picha kuwa jeshi letu bado lina wazalendo
 
Huyo kama Fatuma karime tu
Fatuma Karume ni mzalendo kwa taifa lake la zanzibar... ndio maana ameamua kusacrifice credibility na popularity aliyokuwa nayo hili aweze kusupport utawala dhalimu wa mzanzibar mwenzie Samia ambao anajua wazi una maslahi makubwa kwa zanzibar.
 
Waliopotea enzi za utawala wake kwa sababu ya kumkosoa, aliowaua, aliowateka na kuwapiga risasi huo nao ni uzalendo sio?

HP alikuwa moja ya maafisa waandamizi wa serikali ya Magu akiyashuhudia na kuyaunga mkono

Ben Saanane yuko wapi? Nani alimpiga risasi Lissu? Alphonce Mawazo, Azory Gwanda?
Polepole alikuwa ofisa wa serikali kipindi cha jpm? Kama sijakuelewa
 
Kwa hiyo Tundu Lissu na Ben Saanane walikuwa wahuni ? Rais wa kwanza kuleta ukabila kwa kupendelea alipotoka wazi wazi Mama samia anaendeleza Nenda Unguja na pemba ukajionee. Magu alikuwa rais wa kwanza kujaza kabila lake serikalini tembea wilayani uangalie wazanzibari walivyojazwa katika wilaya mbalimbali bara.Magu alikuwa rais wa kwanza kuteua ndugu wa karibu katika baraza la mawaziri mama kamteua mkwe Mchengerwa kuwa waziri na sasa binti yake nae anagombea ubunge. Magu kashasaulika hadi na binti yake anaegombea viti maalumu. Aisee ubaya haulipi na wema hauozi. Yaani alichoanzisha Magubndio stndard ya marais wanaokuja.
Two wrongs don't make right

Ila tuendelee tutafikiwa tu mmoja mmoja halafu tutakuja kufanya reference na mizaha mizaha ya kijinga kama hii labda uwe kwenye circle, lakini hawa(watawala) wataanza kuja kutuchomoa huku tulipo baada ya kumalizana hao wanaonekana ndio tutajua kujifunza kulaumu na kutoa mifano ya kijinga sijui nani alifanya nini.

Rai yangu sijui nani alifanya nini kwa wakati gani na kilitokea nini? Watawala awataki kukosolewa na huku wakitufinya mmoja mmoja hamna mtu atakae jua.

Majina bandia yasitufanye vipofu hatupo salama kuna watu wakipandiwa bei tu id inakuwa wazi,kupaza sauti na kuwa wamoja ndio kitu pekee.
 
Huwa mna mdharau sana mtu anayemuona magu ndio blueprint ya mabaya yote tunayoyaona awamu hii, huwa nna wadharau mno watu wa dizaini yako.
Mimi nimekuletea facts sio uwongo njoo na ushahidi wako wa kumtetea Magu. Rais ambaye binti yake anasifia mitano tena 😂😂😂. Yaani mtu hadi familia yake ishamsahau. Wewe ndio unamkumbuka. Magu alikuwa rais wa wajinga watu wanaiba hela mpaka hazina ikadorora. Serikali ikashindwa kupandisha mishahara. Rostam akarudishwa ili kutengeneza Taifa ges kuongeza mzunguko wa hela.
 
Mimi nimekuletea facts sio uwongo njoo na ushahidi wako wa kumtetea Magu. Rais ambaye binti yake anasifia mitano tena 😂😂😂. Yaani mtu hadi familia yake ishamsahau. Wewe ndio unamkumbuka. Magu alikuwa rais wa wajinga watu wanaiba hela mpaka hazina ikadorora. Serikali ikashindwa kupandisha mishahara. Rostam akarudishwa ili kutengeneza Taifa ges kuongeza mzunguko wa hela.
Kwamba hizo ndio facts? Yaani hizi hivi vijimaneno vyako vya kijuha vilivyochanganyikana na chuki za kipumbav ndio unaita facts?

Jesca kusema mitano tena ikiwa hiyo ndio slogan kuu ya chama chake kuna shida kuna shida? Ulitaka asemeje kwa mfano?

Najua unaweza kujiona una akiiili kumbe ni mpumbav juha tu mmoja hivi ambaye ukikutana na yoyote mwenye akili lazima akudharau?

Narudia tena nikiona mtu anaendelea kumlaumu Magufuli kama blueprint ya maovu yote yanayofanywa na serikali ya samia badala ya kuchukua hatua huwa namdharau sana na kumuona hana tofauti na Ngedere anayepiga kelele kuomba msaada baada ya kukamatwa na chui ilihali uwezo wa kutoroka anao.
 
Polepole alikuwa ofisa wa serikali kipindi cha jpm? Kama sijakuelewa
"Mnaijua VIEITEE nyieeee? Viongozi wote wa CCM tunapanda na kuendesha VIEITEE."

– Humphrey Polepole (2019)

20251008_040400.jpg

20251008_040350.jpg


View: https://x.com/Getrude_mollel/status/1975470256446636380?t=kqHSUT-aPrZPBBTsOVrE8Q&s=19
 
Unajiita "Xi jinping" sio?

Akishirikiana na viongozi waandamizi wa chama chake cha CCP kuna watu wengi waliokuwa wanaikosoa na kutoa siri za serikali wamepotezwa, je huyo Xi jinping naye hana uzalendo na taifa lake la China?

Uzalendo kwako ni nini? Na ni dosari gani zinamfanya kiongozi akose sifa ya kuitwa mzalendo?
Ni watu gani waliopotezwa na Xi Jinping?
 
Polepole alikuwa ofisa wa serikali kipindi cha jpm? Kama sijakuelewa
Mwaka 2016 Rais John Magufuli alimteua Polepole kuwa Mkuu wa wilaya ya Musoma, mkoani Mara, alikohudumu kwa miezi michache kisha kuhamishiwa Ubungo Dar es Salaam kwa nafasi hiyo hiyo ya ukuu wa wilaya na kuhudumu kwa miezi michache pia.

Umaarufu wake uliongezeka alipoteuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, nafasi ambayo kimsingi ni ya kuwa msemaji wa chama hicho kinachotawala Tanzania.

Anafahamika kwa kutetea sera na utendaji wa CCM na serikali ya Rais Magufuli, hata pale kulipokuwa na utata mkubwa wa masuala kama vile tuhuma za ukiukwaji wa haki za binadamu, utekaji, kuwaweka watuhumiwa mahabusu kwa muda mrefu na wengine kufunguliwa kesi nzito za uhujumu uchumi na ukiukwaji mkubwa wa taratibu za uchaguzi wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020.

HP kama ameuliwa ni sawa tu
 
Waliopotea enzi za utawala wake kwa sababu ya kumkosoa, aliowaua, aliowateka na kuwapiga risasi huo nao ni uzalendo sio?

HP alikuwa moja ya maafisa waandamizi wa serikali ya Magu akiyashuhudia na kuyaunga mkono

Ben Saanane yuko wapi? Nani alimpiga risasi Lissu? Alphonce Mawazo, Azory Gwanda?
Hujui maana ya uzalendo!
 
Back
Top Bottom