Mkichat kila wakati "Niambie"

Mkichat kila wakati "Niambie"

Unakuta mtu kila baada ya dk 10 katext nambie daaaahh jamani huwa inakeraaaaa
 
Hivi hili neno "niambie" mbona linapendwa sana kutumika hasa na wadada kwenye kuchati, tena kifupi sana...!!?
Unakuta bint anakutext au unamtext sms ya pili yeye kujibu ni neno "niambie"
Sometime neno hilo me nahisi huwa linawakera wengi tu ila wanashindwa kuwafungukia hao wanaowajibu hivyo...
Mbaya zaidi ni kila wakati hata iwe umepiga simu utasikia " niambie"...
Kwangu me ukiwa unalirudia rudia hili neno wala siendelei kuchat!
Naona hata kama kuna mwanaume anapenda kutumia hilo neno mara kwa mara abadilike!
Mapovu ruksa...
Matusi marufuku, mods wapo kazini leo wamekula pilau makinikia!
Niambie my
 
Wanalipendaje, kuambiwa hivyo au kulitaja...
Me silipendi iwe kulitumia au kuambiwa hivyo...
Wanapenda kulitumia, mie silipendi kuambiwa wala kulitumia. Ukiniambia hivyo nami nakujibu hivyo hivyo.
 
Demu akintumia ilo neno 'niambie' wala siendelei kuchat naye..!bored word.
 
Wanapenda kulitumia, mie silipendi kuambiwa wala kulitumia. Ukiniambia hivyo nami nakujibu hivyo hivyo.
Mwanaume anayelitumia namfananisha na James delicious...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom