Ya kimahaba kabisa hiyo babyHiyo babu wee ya msuto au ya kimahaba?
That's my babe.Ya kimahaba kabisa hiyo baby

Kuna mmoja nimetoka kuongea nae sasa hivi...karudia hizo niambie kama mara 9 hivi...nmemkatia cm kapiga tena sijapokea!Inapoboa sana ni pale anapokupigia simu yeye halafu anaishia kukuambia " Niambie" mkiongea ongea kidogo anasema tena niambie mi hapo huwa nakata simu au nasema niko bize


HAKI YA MAMA MTATUUWAWajua vile sina hali juu yako babeThat's my babe.![]()
NiambieMbona mie huwa naona wanaume ndio wanalipenda sana hilo neno!!!
Silipendiiii!!!
HahahhahahaHili neno "hofu kwako" linanikera...
Hali yako kamoyo kako vyote nimekushikia bado password tu hiyo I'd ndiyo nasubiriaWajua vile sina hali juu yako babe