Mkichat kila wakati "Niambie"

Mkichat kila wakati "Niambie"

Inapoboa sana ni pale anapokupigia simu yeye halafu anaishia kukuambia " Niambie" mkiongea ongea kidogo anasema tena niambie mi hapo huwa nakata simu au nasema niko bize
Kuna mmoja nimetoka kuongea nae sasa hivi...karudia hizo niambie kama mara 9 hivi...nmemkatia cm kapiga tena sijapokea!
 
Mademu wa kileo pasua vichwa sana unampigia simu anapokea anakwambia *nakusikiliza* au ukichati unampa salam yeye utasikia NAMBIE ila ukituma pesa anakupandia hewani utasikia OOOH THANKS BOO NIMEPATA PESA NAKUPENDA SANA BABA WATOTO YOUR A SUCH A CARING DARLING HAKI YA MAMA MTATUUWA
 
Mbona mie huwa naona wanaume ndio wanalipenda sana hilo neno!!!

Silipendiiii!!!
Wanalipendaje, kuambiwa hivyo au kulitaja...
Me silipendi iwe kulitumia au kuambiwa hivyo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom