Mkichat kila wakati "Niambie"

Mkichat kila wakati "Niambie"

Akisema nambie namwambia kwahiyo leo nakupukuchua akijibu ndio basi neno niambie haliniudhi tena ila akisema hapana nalichukia hilo neno mimi
 
5c41cb08106a3ae47b3d65b706997ce4.jpg
fb25bdf59bf82e6961dbb93fad95d7a6.jpg
 
Hata wanaume wapo aiseee kila Mara "niambie" sasa kila mida niambie mpk utaambiwa usichotaka kusikia. Kwa kweli linakera sana, ht km mtu ulikuwa huna nia ya kuomba ela utajikuta umeshawishika kuomba.
Unamwambia hicho anachokitafuta, nipe milioni kumi.
 
Mi manzi yangu alitumia hilo neno "nambie" nikamjibu nataka 700000 hadi leo hii hajawahi kulitumia tena.
 
ok
Hivi hili neno "niambie" mbona linapendwa sana kutumika hasa na wadada kwenye kuchati, tena kifupi sana...!!?
Unakuta bint anakutext au unamtext sms ya pili yeye kujibu ni neno "niambie"
Sometime neno hilo me nahisi huwa linawakera wengi tu ila wanashindwa kuwafungukia hao wanaowajibu hivyo...
Mbaya zaidi ni kila wakati hata iwe umepiga simu utasikia " niambie"...
Kwangu me ukiwa unalirudia rudia hili neno wala siendelei kuchat!
Naona hata kama kuna mwanaume anapenda kutumia hilo neno mara kwa mara abadilike!
Mapovu ruksa...
Matusi marufuku, mods wapo kazini leo wamekula pilau makinikia!
nambie
 
jaman mbona kwangu hilo neno la kawaida tu,,mpenzi wangu analipenda sana mara,ila yeye ana akili analinogesha zaidi utaskia,,"niambie my hubby nikupendae!!"daaah hadi raaaaaaaha
 
jaman mbona kwangu hilo neno la kawaida tu,,mpenzi wangu analipenda sana mara,ila yeye ana akili analinogesha zaidi utaskia,,"niambie my hubby nikupendae!!"daaah hadi raaaaaaaha
Linaloboa ni hili "niambie"
Halafu hakuna mnogesho wala nini...iwe kwenye txt au maongezi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom