shadownet
Senior Member
- Aug 4, 2015
- 133
- 678
Hivi hili neno "k" na "aya"mbona linapendwa sana kutumika hasa na baadhi ya wadada kwenye kuchati, tena kifupi sana...!!?
Unakuta bint unamtext sms yeye kujibu ni neno "k" au "aya"
Sometime neno hilo me nahisi huwa linawakera wengi tu ila wanashindwa kuwafungukia hao wanaowajibu hivyo...
Unakuta bint unamtext sms yeye kujibu ni neno "k" au "aya"
Sometime neno hilo me nahisi huwa linawakera wengi tu ila wanashindwa kuwafungukia hao wanaowajibu hivyo...