Mkichat kila wakati "Niambie"

Mkichat kila wakati "Niambie"

Hahahahaha lol! Mungu anakuona ujue kwa kula pilau yako ya sikukuu bila hata ya mwaliko lol! 😛😛😛
Jamaniiii
Mie nilisubiri unialike nikaona kimyaaa, yaani mbaya wewe... Mpaka nimelala kutwa nzima mie...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Lol! We niambie nizukie baadaye leo kiporo cha pilau ya sikukuu, huwa inaongezeka utamu ikilala lol!

Jamaniiii
Mie nilisubiri unialike nikaona kimyaaa, yaani mbaya wewe... Mpaka nimelala kutwa nzima mie...
 
Lol! We niambie nizukie baadaye leo kiporo cha pilau ya sikukuu, huwa inaongezeka utamu ikilala lol!
Karibu saaana BAK tukule kiporo.. Ila ukumbuke bado miezi mitano Christmas ifike
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hata mwaliko wa Xmas miezi sita kabla bomba tu! Nitatia timu baadaye leo. Tengeneza kachumbari na uweke pilipili mbuzi au kichaa.

Karibu saaana BAK tukule kiporo.. Ila ukumbuke bado miezi mitano Christmas ifike
 
Kwa staili hii itabidi kuandikiana barua za kiofisi kuomba muongozo wa mazungumzo uweje! Maana kama siijui uliwazalo mbona nitakukwaza sana?
 
Nikiona demu wa namna hiyo moja kwa moja najua kichwani mwake hamna kitu dashiani, mara nyingi mademu ambao hawawezi kuendeleza mazungunzo kwa sababu kuu mbili either she is not into you au ni mjinga hana la kusema huwa nakatabia hako ka"niambie" kila mara.
Kwa hiyo kwa kifupi madashiani huwa nakatabia hako!
 
Ngoja niliache maana huwa napenda kulitumia sana labda huwa linamkera mwenzangu sema tuu anashindwa kuniambia.
NIAMBIE nakukataa kuanzia leo hakika sitokutamka tena.
Bila shaka, hata mimi binafsi nikiambiwa hivyo huwa nakereka kiaina, japo siwezi mwambia direct asilitumie...
 
Kwa mtazamo wangu ni kuwa huyo mtu kaishiwa na issue za kukuuliza. au kukuelezea.. Ni kama anapotezea flani hivi.. Au wengine ni kwa sababu ni mabashite.. Zero brain!
Ndio hivyo yaani ni mazero brain hawawezi kuanzisha ama kuendeleza mada.
 
Yaaani silipendi ILO neno na pia silitumiagi kabisaa..... Yaani kuna Demu mmoja mmeru... Hata akikutext yeye text YA pili utasikia ""niambie""" Sasa najiuliza huyu amekaa tu me nimwambie Kwan cna mambo mengine YA kufanyaa.... Na akinitumia atashangaa Nimekaa kimya na cku imepita.... Ila mbadilike.. Kwa kweli
Ha ha ha Mimi Niko na manzi ya Kimeru kucha kutwa text za "baby" ni nyingi sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom