Itakua vizuri maana kanaboaHaya ntaacha hahahhh

Halikwepeki ujueOhooo...
Mambo
Ni kweli huo msemo yaani unakosesha kabisa hamu ya kuendelea kuchat...Yaaani silipendi ILO neno na pia silitumiagi kabisaa..... Yaani kuna Demu mmoja mmeru... Hata akikutext yeye text YA pili utasikia ""niambie""" Sasa najiuliza huyu amekaa tu me nimwambie Kwan cna mambo mengine YA kufanyaa.... Na akinitumia atashangaa Nimekaa kimya na cku imepita.... Ila mbadilike.. Kwa kweli
Kwa mtazamo wangu ni kuwa huyo mtu kaishiwa na issue za kukuuliza. au kukuelezea.. Ni kama anapotezea flani hivi.. Au wengine ni kwa sababu ni mabashite.. Zero brain!Kana kera namna flani hivi yaani...