Mkichat kila wakati "Niambie"

Mkichat kila wakati "Niambie"

Kwa mtazamo wangu ni kuwa huyo mtu kaishiwa na issue za kukuuliza. au kukuelezea.. Ni kama anapotezea flani hivi.. Au wengine ni kwa sababu ni mabashite.. Zero brain!
Halafu kama kuna ukweli ndani yake kwa hayo uliyosema hasa sentensi ya mwisho...
 
''nambie"




au


baby kuna kitu nataka nikwambie kwani utakataa?

Nikisha onaga iyo sentesi Simu yangu huzima ghafulaaa[\b]
Aha aha kifuatacho hapo ni kupigwa ngeu pesa ya vocha
 
Ukitamka niambie in a romantic way wala hautochoka kulckia ila ikitamkwa na mtu anaetoka mara utaichoka cku hyo hyo
 
Mm naupenda sana huo msemo mnoo nasioni hata ubaya wake
Shida siyo kwako wewe mtumiaji...
Bali yule unayemtumia txt tena yenye neno moja tu "niambie" hapo ndio unakuta inakuwa kero hivi hasa ikiwa kila mara, ukipigiwa simu mkiongea kidogo unajibu "niambie" sijui hivi unajibu "niambie" ...
 
Mtu akinitext niambie yaani huo ndio mwisho wa kuchat nae..!!

Nashindwa kuelewa anataka nimuambie nini!!!
 
Hayo ni maneno ya watoto walioacha ziwa kabla muda kutimia.
 
Shida siyo kwako wewe mtumiaji...
Bali yule unayemtumia txt tena yenye neno moja tu "niambie" hapo ndio unakuta inakuwa kero hivi hasa ikiwa kila mara, ukipigiwa simu mkiongea kidogo unajibu "niambie" sijui hivi unajibu "niambie" ...
Ndiyo ulitaka tujibuje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom