Mkichat kila wakati "Niambie"

Mkichat kila wakati "Niambie"

Hivi hili neno "niambie" mbona linapendwa sana kutumika hasa na wadada kwenye kuchati, tena kifupi sana...!!?
Unakuta bint anakutext au unamtext sms ya pili yeye kujibu ni neno "niambie"
Sometime neno hilo me nahisi huwa linawakera wengi tu ila wanashindwa kuwafungukia hao wanaowajibu hivyo...
Mbaya zaidi ni kila wakati hata iwe umepiga simu utasikia " niambie"...
Kwangu me ukiwa unalirudia rudia hili neno wala siendelei kuchat!
Naona hata kama kuna mwanaume anapenda kutumia hilo neno mara kwa mara abadilike!
Mapovu ruksa...
Matusi marufuku, mods wapo kazini leo wamekula pilau makinikia!
Asaiv tu ani imeingia namalza kusoma hii uzi imeingia SMS yake ya "Niambie" Aiseeh huwa na mind sana hi....

Maninaa zake uyu manzi cjui ndo anaanza kutumia sim....
 
Asaiv tu ani imeingia namalza kusoma hii uzi imeingia SMS yake ya "Niambie" Aiseeh huwa na mind sana hi....

Maninaa zake uyu manzi cjui ndo anaanza kutumia sim....
Mpe link asome huu uzi...
 
Vijana wa kisasa bhn.mnatabu kwel km ni dem wako unashindwa vp kumuambia kwamba uongeaji wa kuime kwanini asiuache..badala ya neno niambie mfahamishe ww unapenda awe.anasema nakusikiliza...mfundishe unavyotaka ww..cc wakat tunamiliki dem kabla mapenz hayapamba moto..unahakikisha.dem umemfundisha au umembadilisha.tabia unayoitaka ww yan mpk mnazama ktk penz dem anaendana na tabia yko..kuanzia lugha,kulala,kula,yan kila kitu unambadilisha awe km ww.m
 
Mpe link asome huu uzi...
Aaaah! Mkuu sina time nae mimi kwanza, hilo neno tu la "Niambie" uwa nikiona mtu kalituma waga linanitoa kwenye mudi kabisa ya kuchaty na naamua kuingia tu humu JF kufree stress zangu...
 
muda wa kuchat hovyo na mabint usawa huu unatoa wapi?
 
Nimecheka hiki kipande aiseeeew duh!!!
Mie napenda kulitumia huko neno ikiwa nmempigia au kumtext mtu,nikaekeza mambo yangu nikimaliza then nitamuanbia niambie in case ana lolote akinambia hamna jipya basi tunamaliza mazungumzo.
Niambie
 
muda wa kuchat hovyo na mabint usawa huu unatoa wapi?
Huo muda haupo, ila sometimes unaweza ukawa busy ma ishu za maana, umakuta missed calls hata 9 hivi, haya unaamua kumpigia au ndio kapiga mwenyewe mara ya 10 hiyo unaamua kupokea... baada ya salamu tu utaskia "Niambie" hapk yani ndio kamaliza hana point licha ya missed calls zote hizo....... Inaboa sio kidogo
 
Ha ha ha ha niambie..sema ulilo nalo ndio mana yke.aiseeeeh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom