Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
Habari zilizopatikana hivi punde ni kuwa Mkemia Ernest Mashimba, PhD amefariki ghafla huko Tanga alikokuwa amealikwa kama mgeni rasmi kwenye mahafari ya darasa la saba.
Mauti yamemkuta hotelini alikokuwa amefikia baada ya kuanguka ghafla, habari ni kuwa kifo chake kimegundulika baada ya dereva wake kumpitia leo asubuhi kwa ajili ya kuanza safari ya kurejea DAR.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa . . . . . . .
Mauti yamemkuta hotelini alikokuwa amefikia baada ya kuanguka ghafla, habari ni kuwa kifo chake kimegundulika baada ya dereva wake kumpitia leo asubuhi kwa ajili ya kuanza safari ya kurejea DAR.
Bwana ametoa, Bwana ametwaa . . . . . . .