Na ndio maana unapata tabu kwenye ndoa. Bro hizi ndoa bila micheps utachanganyikiwa. Kidume uwe na wanawake watatu maishani mwako. Mke na micheps wawili mbona dunia utaona tamuKatika maisha yangu sipendelei michepuko kabisa ( labda nifikirie ilo suala sasa hivi).
Kosa lako linaanzia hapa
Kwa mwendo huu utateseka sana mkuu
Muache kupost nyuzi za hivi mnatutisha vijana....
tafuta mchepuko, awe mwanachuo
utanishukuru
Sio kweli mke wangu niliyetengana nae nimeishi nae for 5 yrs, ninamzidi umri,elimu na kipata but hakuwahi kusema neno samahani hata akosee vipi.Nadhani culture ya MTU inachangia maana ni Mhehe.Kama hakuzidi umri basi anakuzidi kipato.
Pole sana.
Sio kila ndio inapitia uchumba,Mkuu.Red flags zote uliziona wakati wa uchumba ila uliamini utambadilisha/atabadilika ukishamuoa. Pambana tu mkuu
Unaoa afu unanyimwa mwezi... Si ufala huo...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utajua hujui
Best solution..apply mfumo dume!!!Nimechoka kujishusha mkuu
Unaoa afu unanyimwa mwezi... Si ufala huo...
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣[emoji23][emoji23][emoji23] piga nyeto afu mtaje shogaake kindakindaki mbele yake!
Nambaka kmmk.....[emoji23][emoji23][emoji23] piga nyeto afu mtaje shogaake kindakindaki mbele yake!
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Nilihisi kitu kama hiki,Wanawake wengi waajiriwa hata akiwa hana hela kumzidi mume wake hawapo submissive kwa wame wao.Pesa namzidi sana, kwa maana yeye ni muajiriwa na mimi ni mfanyabiashara mkubwa tu
Nambaka kmmk.....
Bora tu nisioe niwe huru kula nnachotaka....[emoji23][emoji23][emoji23] lazima sasa?!
nyeto mbele yake imekaa njema,Sasa tufanyaje km mke anabana [emoji855][emoji855]