Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

usimuache kwa sababu kama hio huo ni upungufu wa kawaida na hauwezi kutoka mbwa ukimjua jina haisumbui heri nusu shari kuliko shari kamili
 
Naloli Kwa bed wanyakyusa tunapenda sana.....Yaan ukuni tunaupenda mnoo
Mnapenda sana mara ngingi akiwa na nyege ananiambiaga nisipoenda kumla nitakuwa nimemdhulumu.

Kila weekend ni kumla tu na hanichoshi maana ana ushirikiano kunako 6×6. Napenda sana anajua kupiga bj siku hizi ananipea bila ndom naogopa hatujapima 🤔
 
Kwani toka mwanzo hukuona red flag?Uliona na hukumwacha,Why?Unapenda ndoa punguza Ego,nyenyekea,na kama huitaki endeleeni na Hiyo tabia mwaka ni mrefu lazima ife.
 
Muelekeze tatizo lako afu mwambie ulivyo choka kama hataki kubadilika mwambie muachane yeye ndo aamue maana kuna watu wanaonaga wao ni bora sana kuliko wengine
 
Mnapenda sana mara ngingi akiwa na nyege ananiambiaha nisipoenda kumla nitakuwa nimemdhulumu.

Kila weekend ni kumla tu na hanichoshi maana ana ushirikiano kunako 6×6. Napenda sana anajua kupiga bj siku hiz ananipea bila ndom naogopa hatujapima 🤔
Mwanamke mpenda kutombw hakosi Ute mkuu.....michubuko ni nadra sana
 
USHAURI NI HUU
"Be strong like a man". Yan ukioa hawa, hutakiwi a baby dady.. u must remain a father!. 😂😂
🤣🤣 kwa hiyo ukioa mnyaki u-baby dady usiupe nafasi. Ila kweli mana na mimi niliuzidisha huo ubaby dady eeeh! 🤔 kuna siku akaniita mwanamume suruali kisa tu sikumpea pesa aliyokuwa na shida nayo
 
🤣🤣 kwa hiyo ukioa mnyaki u-baby dady usiupe nafasi. Il kweli mana na mimi niliuzidisha huo ubaby dady eeeh! 🤔 kuna siku akaniita mwanamume suruali kisa tu sikumpea pesa aliyokuwa na shida nayo
Ahahahah.. u see now!??? Hiz mtu ni pasua kichwa ukanda huo wababe wababe kinoma😂😂😂.
Ila hapo kwenye kuitwa mwanaume suruali nadhan tusingefika pazuri
 
Tatizo ulianza kujishusha mapema mno, kashazoea.
Next time kaza ila usivunje ndoa.
Wakati mwingine makofi ya hapa na pale sio mbaya maana hizo ni dharau
 
Sipendi mtu ambae hapendi kukubali kakosea, huwa nachukia mnooo.

Sasa akinuna nawe nuna, upwiru ukija kanunue papuchi.
Sasa hawa wanyaki ndio walivyoo.
Akiona plainly kabisa kakosea na unamuonyeshabkosa lake anapindua meza akuonyeshe sawa kakosea ila wewe ndio sababu ya yeye kukosea.Na Neno samahani toka midomon kwa hawa watu ni NADRA sana kulisikia.Nadra mnoooooo
 
Wakuu nawasalimu kwa jina la muungano.

Niende moja kwa moja kwenye mada kuu, nimekua kwenye ndoa na huyu mke wangu yapata miaka nane sasa, tulioana wote tukiwa vijana na ni binti ambae tulisoma nae kuanzia primary tukaja kukutana chuo, kwahiyo namfahamu vizuri tu. Nikiri tu kwenye mambo mengine ya kifamilia yupo vizuri sana, ila tatizo linaanza ni kujishusha na kuomba msamaha pale tunapotibuana.

Hii hali inanikwaza sana sababu bila kujishusha mimi tunaeza kukaa hadi mwezi hatuongei eti ameninunia. Mara nyingi huwa inanilazimu mimi kujishusha baada ya kubanwa na upwiru sana. Kwa ninavofahamu kupishana kauli kwenye ndoa kupo na ni jukumu la wanandoa wote kuipambania ndoa kwa kujishusha na kuyaongea, ila mwanamke ndio anatakiwa awe mstari wa mbele kujishusha ili mambo yaende, ila kwa huyu mke wangu imekua tofauti.

Kwa sasa tuna watoto watatu ila hii hali inanifanya nihisi kama nalazimisha mapenzi hivi hadi nimeanza kupata mawazo ya kuivunja hii ndoa. Nakwazika sana.

Naombeni ushauri wenu wakuu.

Ebu tafuta mchepuko, hadi mwanaume mtu mzima upewe siri, utaona kelele zitaisha, na wewe ukitaka asinune usiwe unaonyesha dalili zozote za kujali jali au kumfuatilia vitu vidogo dogo, kwa mfano, akinuna wewe onyesha as if uko poa tu, ataacha ujinga huo..

Sasa mwanamke anune na wewe mwanaume unanuna tena? Kaaah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom