Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

1. Chukulia kwamba huo ni ugonjwa wake.

2. Kama hauna mazara sana na ni kiburi cha uanaume, we shula tu.

3. Mwenye akili ndo anaitunza ndoa, kwa hiyo itunze.

Angalizo:

Kama kweli kuna jambo la muhimu sana kakosea, halafu hataki kukubali, Nakushauri kaza mpaka mwisho, atashuka tu.

Kuna kitu kinaitwa break point, yakwako ipo karibu, iongeze tu izidi yake, ikishazidi atashuka tu, akikuwoma hiyo tabia atakutesa sana.

Kwa miaka yote nane nimekua nikiishi nae kwa principle hiyo ya kuamini labda ndio udhaifu wake ila kwa siku zinavyoenda tatizo ndio kama linakua kubwa zaidi. Na mimi nimechoka
 
Kwa kuwa umemjua vema,,,, ni rahisi kuishi nae, hakuna best zaidi yake huko outside, unajidanganya kuvunja ndoa eti kwasababu mke hajui kujishusha, kuna misingi uliikosea mwanzoni ndo imemjengea mazoea [emoji56]

Me nataka abadilike, akiendelea hivi siwezi kuishi nae
 
Kwa kuwa umemjua vema,,,, ni rahisi kuishi nae, hakuna best zaidi yake huko outside, unajidanganya kuvunja ndoa eti kwasababu mke hajui kujishusha, kuna misingi uliikosea mwanzoni ndo imemjengea mazoea [emoji56]

Me nataka abadilike, akiendelea hivi siwezi kuishi nae
 
Huyo mwanamke ndo tabia yake. Na lzm atakua karithi, hawezi kubadilika. Sikushauri uvunje ndoa nakushauri vumilia endelea kujishusha na pia punguza ugomvi ili usiumie unapojishusha. Huyo hawezi kujishusha kamwe.

Mimi kuendelea kujishusha tena ndio siwezi, nimejishusha sanaa kwa miaka 8
 
Mkuu 96% kote kupo ivo....hawasemi tu.Pambana nae tu ukishindwa mzabe vibao iwe tiketi ya kuondokea.Maana wanawake wengi wamecheka na ndoa zao wanasubiri tiketi ya vibao tu wasepe.[emoji855]

Ikifikia kuachana, basi tuachane kwa amani sababu tayari tuna watoto watatu
 
Mwanamke kutojishusha tu unataka kutoka nduki,je ungekutana na wanawake wanaorapu ukilala,ukiamka,ni mistari tu yenye sumu kali
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom