YE67NBE
JF-Expert Member
- Nov 30, 2015
- 15,153
- 36,376
Bora tu nisioe niwe huru kula nnachotaka....
Sijui lakini, labda nikikua ntabadilika[emoji23]
Omba Mungu akupe mke mwema utaona watu wanaoleta nyuzi km hizi ni waongo [emoji2]
Bora tu nisioe niwe huru kula nnachotaka....
Sijui lakini, labda nikikua ntabadilika[emoji23]
Sentensi ya kwanza tu kaandika "tulioana...".Umeao mke ambaye siyo wako
nyeto mbele yake imekaa njema,
na ukipizi unachukua khanga yake unafutia
🤣 🤣 🤣 🤣pumbavu kwanini alikubali kuolewa km hataki kutoa k
Sio kweli,mke wangu ni mnyakyusa nadiliki kusema kuwa yuko very much submissive, mimi ndo mbishi sana na mtata sana na anajiua hivyo,tuko zaidi ya miaka kumi haja wahi nijibu wala kunirudishia neno mbaya.Kama sio mnyakyusa huyo ni mchaga.
Wanawake wa kinyakyusa ni watata sana
Unaona sasa???😂😂😂Ni wa hukohuko kusini
Ofcz kwenye production yoyote reject hazikosekani.Yan huyo ni very rare cases..Very rare 2/200Sio kweli,mke wangu ni mnyakyusa nadiliki kusema kuwa yuko very much submissive, mimi ndo mbishi sana na mtata sana na anajiua hivyo,tuko zaidi ya miaka kumi haja wahi nijibu wala kunirudishia neno mbaya.
Utakufa miguu umenyoosha juu wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Usichukue khanga, futia na nywele zake pumbavu kwanini alikubali kuolewa km hataki kutoa k [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Ukimtekenya anacheka? Embu jaribu kumtekenya akiwa kanuna.Hajishushi na haoneshi dalili yoyote, yaani yeye anaendelea na ratiba zake tu, asubuhi ataamka na kwenda kazini akiwa ameacha chai dinning table, na jioni anarudi anapika kama kawaida.
Utakufa miguu umenyoosha juu wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nyokoooo wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kabisaa tena nikiwa katikati ya show show [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222]
Nyokoooo wee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tatizo ni kuwa Wanawake wengi hawatambui sehemu yaonkama wanawake bali wengi wao wanatamani nafasi ya mme, hivyo wanashindwa endana.Ila ego ya mwanamke kwenye mahusiano haifai na mwanaume ukijishusha tu ndo tiketi ya mwanamke kukupanda kichwani mpaka ukome,
Hivi kwanini mkiolewa mnabania sana K, wakati kabla ya kuolewa mnatoa muda wowote?Single mama wanajua kutoa kei ndo maana wanasumbua wapenzi wenu
Huna ndoa hapo. Mwanamke asiyejua kubwa upo juu yake wewe ndio kiongozi atakuua kwa mawazo. Utakuwa unamnyenyekea sana. Kosa. Alafu hiyo pia ni dalili ya dharau, atakutesa na ni mwepesi kuchepuka akishakuwa na kiburi na dharau, kama bado hajachepuka lakini.Wakuu nawasalimu kwa jina la muungano.
Niende moja kwa moja kwenye mada kuu, nimekua kwenye ndoa na huyu mke wangu yapata miaka nane sasa, tulioana wote tukiwa vijana na ni binti ambae tulisoma nae kuanzia primary tukaja kukutana chuo, kwahiyo namfahamu vizuri tu. Nikiri tu kwenye mambo mengine ya kifamilia yupo vizuri sana, ila tatizo linaanza ni kujishusha na kuomba msamaha pale tunapotibuana.
Hii hali inanikwaza sana sababu bila kujishusha mimi tunaeza kukaa hadi mwezi hatuongei eti ameninunia. Mara nyingi huwa inanilazimu mimi kujishusha baada ya kubanwa na upwiru sana. Kwa ninavofahamu kupishana kauli kwenye ndoa kupo na ni jukumu la wanandoa wote kuipambania ndoa kwa kujishusha na kuyaongea, ila mwanamke ndio anatakiwa awe mstari wa mbele kujishusha ili mambo yaende, ila kwa huyu mke wangu imekua tofauti.
Kwa sasa tuna watoto watatu ila hii hali inanifanya nihisi kama nalazimisha mapenzi hivi hadi nimeanza kupata mawazo ya kuivunja hii ndoa. Nakwazika sana.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
MKUUWakuu nawasalimu kwa jina la muungano.
Niende moja kwa moja kwenye mada kuu, nimekua kwenye ndoa na huyu mke wangu yapata miaka nane sasa, tulioana wote tukiwa vijana na ni binti ambae tulisoma nae kuanzia primary tukaja kukutana chuo, kwahiyo namfahamu vizuri tu. Nikiri tu kwenye mambo mengine ya kifamilia yupo vizuri sana, ila tatizo linaanza ni kujishusha na kuomba msamaha pale tunapotibuana.
Hii hali inanikwaza sana sababu bila kujishusha mimi tunaeza kukaa hadi mwezi hatuongei eti ameninunia. Mara nyingi huwa inanilazimu mimi kujishusha baada ya kubanwa na upwiru sana. Kwa ninavofahamu kupishana kauli kwenye ndoa kupo na ni jukumu la wanandoa wote kuipambania ndoa kwa kujishusha na kuyaongea, ila mwanamke ndio anatakiwa awe mstari wa mbele kujishusha ili mambo yaende, ila kwa huyu mke wangu imekua tofauti.
Kwa sasa tuna watoto watatu ila hii hali inanifanya nihisi kama nalazimisha mapenzi hivi hadi nimeanza kupata mawazo ya kuivunja hii ndoa. Nakwazika sana.
Naombeni ushauri wenu wakuu.
Wanawake wa siku hizi wanataka wawe wanaume