Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

Mke wangu ni mgumu sana kujishusha

Mkuu ilo sio tatizo ingawa sijaoa ila wanawake wote wanafanana akil..wanapenda kubembelezwa haooo[emoji1787][emoji1787]Kuna kipind nilikua na mtu anaeza ananitafutia makosa yang kila cku ili tuh nimuombe msamaha bhc kanapenda nnavokabembeleza mpka kakakir kua nikiomba sorry haezi sema no
Nikapata bichwa ya kumcheat nikitegemea vinjia njia vyangu vya kuomba msamaha ila dah [emoji3064] am single [emoji442][emoji445]uuuuuw [emoji445]am single again [emoji445][emoji444][emoji444][emoji444]yao yao
 
Mkuu ilo sio tatizo ingawa sijaoa ila wanawake wote wanafanana akil..wanapenda kubembelezwa haooo[emoji1787][emoji1787]Kuna kipind nilikua na mtu anaeza ananitafutia makosa yang kila cku ili tuh nimuombe msamaha bhc kanapenda nnavokabembeleza mpka kakakir kua nikiomba sorry haezi sema no
Nikapata bichwa ya kumcheat bila nikitegemea vinjia njia vyangu vya kuomba msamaha ila dah [emoji3064] am single [emoji442][emoji445]uuuuuw [emoji445]am single again [emoji445][emoji444][emoji444][emoji444]yao yao

Oooo Yes, I’m single [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Wakuu nawasalimu kwa jina la muungano.

Niende moja kwa moja kwenye mada kuu, nimekua kwenye ndoa na huyu mke wangu yapata miaka nane sasa, tulioana wote tukiwa vijana na ni binti ambae tulisoma nae kuanzia primary tukaja kukutana chuo, kwahiyo namfahamu vizuri tu. Nikiri tu kwenye mambo mengine ya kifamilia yupo vizuri sana, ila tatizo linaanza ni kujishusha na kuomba msamaha pale tunapotibuana.

Hii hali inanikwaza sana sababu bila kujishusha mimi tunaeza kukaa hadi mwezi hatuongei eti ameninunia. Mara nyingi huwa inanilazimu mimi kujishusha baada ya kubanwa na upwiru sana. Kwa ninavofahamu kupishana kauli kwenye ndoa kupo na ni jukumu la wanandoa wote kuipambania ndoa kwa kujishusha na kuyaongea, ila mwanamke ndio anatakiwa awe mstari wa mbele kujishusha ili mambo yaende, ila kwa huyu mke wangu imekua tofauti.

Kwa sasa tuna watoto watatu ila hii hali inanifanya nihisi kama nalazimisha mapenzi hivi hadi nimeanza kupata mawazo ya kuivunja hii ndoa. Nakwazika sana.

Naombeni ushauri wenu wakuu.
Umevumilia miaka yote 8 mpaka mna watoto 3, mie nakushauri kwa faida ya watoto wako endelea kuvumilia. Ndoa inapovunjika watoto ndio huathirika zaidi. Usiangalie faida yako tu angalia zaidi upande wa watoto.

Mimi pia nina changamoto hiyo hiyo na nina watoto watatu pia na niko naye mwaka wa 10. Kwa faida ya watoto sitamuacha. Japo ni kinyume na maadili ya jamii na imani, ni bora kujipoza nje kuliko kuvunja ndoa yako.
 
Wakuu nawasalimu kwa jina la muungano.

Niende moja kwa moja kwenye mada kuu, nimekua kwenye ndoa na huyu mke wangu yapata miaka nane sasa, tulioana wote tukiwa vijana na ni binti ambae tulisoma nae kuanzia primary tukaja kukutana chuo, kwahiyo namfahamu vizuri tu. Nikiri tu kwenye mambo mengine ya kifamilia yupo vizuri sana, ila tatizo linaanza ni kujishusha na kuomba msamaha pale tunapotibuana.

Hii hali inanikwaza sana sababu bila kujishusha mimi tunaeza kukaa hadi mwezi hatuongei eti ameninunia. Mara nyingi huwa inanilazimu mimi kujishusha baada ya kubanwa na upwiru sana. Kwa ninavofahamu kupishana kauli kwenye ndoa kupo na ni jukumu la wanandoa wote kuipambania ndoa kwa kujishusha na kuyaongea, ila mwanamke ndio anatakiwa awe mstari wa mbele kujishusha ili mambo yaende, ila kwa huyu mke wangu imekua tofauti.

Kwa sasa tuna watoto watatu ila hii hali inanifanya nihisi kama nalazimisha mapenzi hivi hadi nimeanza kupata mawazo ya kuivunja hii ndoa. Nakwazika sana.

Naombeni ushauri wenu wakuu.
Hapo ndipo unakosea. Nadhani mwanaume wa shoka ndiye anatakiwa kujishusha ila akishajishusha anapanda na kung'ang'ania juu. Ndiyo maana ya kuishi nao kwa akili. Usipende kushindana na wanawake. Huwa hawajui watendalo na mwisho wa siku huwa wanajuta kimoyo moyo. Leo mwanamke anaweza kukueleza usijenge tuenjoy maisha. Kesho akaanza kusifia mume wa rafiki yake ambaye amemalizia kibanda chake Buza. Unataka saa ingine kuwaignore. Unadharau tu
 
Umevumilia miaka yote 8 mpaka mna watoto 3, mie nakushauri kwa faida ya watoto wako endelea kuvumilia. Ndoa inapovunjika watoto ndio huathirika zaidi. Usiangalie faida yako tu angalia zaidi upande wa watoto.

Mimi pia nina changamoto hiyo hiyo na nina watoto watatu pia na niko naye mwaka wa 10. Kwa faida ya watoto sitamuacha. Japo ni kinyume na maadili ya jamii na imani, ni bora kujipoza nje kuliko kuvunja ndoa yako.
Wewe unadhani nini faida ya michepuko katika ndoa? Michepuko ni Shock - absorbers! Lazima mwanaume awaheshimu Michepuko kwa ustawi wa ndoa yake. Watu kama Mr shika wanakuwa waoga
 
Achana na swala la mke kuwa rafiki mke ni msaidizi wako.. ukimfanya mke kuwa rafiki basi tegemea mengi kuanzia ktk urafiki... (keep distance mzee)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom