Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Mke wangu ameanza dharau baada ya kumfungulia duka

Wanawake huwa tuna njia za ajabu ajabu sana za kufikisha ujumbe, wakae chini wazungumze vizuri kwa upendo, wapembue palipoharibika warekebishe then wasonge mbele.
Yaani wiki mbili jamaa hajagusanisha nyareee....[emoji15] [emoji15] [emoji15] alafu unamshauri wakae wazungumze kwa upendo.....[emoji34] [emoji34] [emoji34]. Sasa hapo upendo unatoka wapi wakati jamaa analala huku amekunja kumi kupooza pale kati....!???
Ebu acheni kufananisha unyumba na mambo ya kijinga aiseeeee
 
hebu jaribu kumfanyia hivyo shem
alafu utupe majibu labda naweza nikakusikiliza.
mke wa ndoa kabisaa wiki mbili patupu???
Demu wangu ananijua mi huwa sipendagi ujinga mimi, wala sijaribiwi, yaani nikimwambia tu njoo au nakuja ananiambia njoo maana anajua nataka nini na kama yupo kwenye siku zake yupo radhi kunionyesha, SIPENDI UJINGA KABISAAAA
 
Wanawake huwa tuna njia za ajabu ajabu sana za kufikisha ujumbe, wakae chini wazungumze vizuri kwa upendo, wapembue palipoharibika warekebishe then wasonge mbele.
Hii si mara ya kwanza kujaribu. Na staili zake ndo hizo hizo.
 
Hii inanikumbusha historia ya jamaa mmoja, sikuzileee tulimuita Texas ambae kwasasa ni tajiri flani hivi mwanza.
Alikua na mkewe safi kabisaaaa, alimfungulia duka la vifaa vya ujenzi paleeeee buzuruga kwenye kona, na.... akawa amemjengea mjengo wa kawaida kuleeeee miti mrefu juuu.... kama umenyooka kutokea Mteja B.
Ebu naomba nisiyaseme yalio tokea, lakini jamaa alipo gundua..... Alihama kutoka kwenye nyumba ileeeee alokua kamjengea mkewe na wanawe kwa raha zote.
Texas alihamia kuleeeee buswelu kama sija kosea, akamuacha mke aendelee kuchapwa nao.
Mwisho wa siku katika pita pita, nikakutana na yule mwanamke akitaabika hukoooo machimboni nyakagwe, tena alikua akiuza pale kati.
Kiukweli alitia huruma sana.....
Agghhhh.......[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
Ebu ngoja niishie hapa, maana naona giza limeanza kutamalaki na usiku umekua mkubwa...[emoji99] [emoji99]
Daah Mwanza...maisha yana changamoto hasa kwa mume na mkeo mwenzio akianza enda tofauti hata mipango mliojiwekea inayeyuka..Jana nikiwa zangu nimetulia mahali mana si wengine Jpili ndo tunapumzika kuna Jamaa yangu pembeni akawa anaongea kwa uchungu sana kupitia simu yake nadhani alikuwa akiongea na ndugu zake anadai haamini kwa vitu alivyomfanyia mke wake sababu kila alichokitaka huyo mkewe alikipata na wakafunga ndoa safi ila kilichomsikitisha baada ya kukuta madudu kwenye simu ya mkewe mana anamwambia nduguye huyo kuwa alikuta picha za mkewe wakiwa faragha na mwanaume mwingine na alikuwa ametumiwa wasapu ila akashindwa zifuta tokana na jamaa kuwahi simu ya mkewe kabla hajaifungua...baada ya kunishtukia kuwa namsikiliza ikabidi jamaa aanze kuondoka mana hakupenda wengine wasikie ila kutokana na kuathirika kisaikolojia kupitia kitendo alichofanyiwa alikuwa ni mtu anaetahamaki muda wowote
 
Mie yalinikuta. Nilitengana na wafi. Baadaye nikapata mwingine nikamfungulia duka la vykula kariakoo. Ni wa Tanga. Marafiki wakaaza kushinda dukani jitihada za kuonya zikashindikana. Nikiwa sipo kaamua kuhama nyumbani baada ya kukaa naye miaka 6. Sasa ni mwaka keshafunga duka, gari kauza na simu kabadili.
Aisee!
 
hebu jaribu kumfanyia hivyo shem
alafu utupe majibu labda naweza nikakusikiliza.
mke wa ndoa kabisaa wiki mbili patupu???
Khaaaaah!! Naanzaje kwa mfano, si nitambaka!!
 
Hana kazi ya kuajiriwa ni mama wa nyumbani. Nikaona asikae bure. Lakini ndo imekuwa changamoto. Leo karudi alianika nguo. Mi nilivyorudi nikaziweka ndani. Karudi ananiambia kwanini hujakunja nguo. Nikamwambia kama umenioa ntazikunja ila kama nimekuoa siwezi. Anajifanya ana amri mpaka sometime ananidhalilisha mbele za watu. Ila sasa nimeamua kumkazia.
Kaza acha usenge atakuja kukupakua we legeza tu
 
Hii ni biashara ya pili,ya kwanza hivyo hivyo ujanja ujanja wake ikafa. Sasa hii imenicost zaidi ya Mil 6 mpaka imetulia. Halafu analeta za kuleta.
Kumbe hili jipu unalijua vizuri, hukulitumbua vizuri mwanzo so limehamia kwingine. Jipu ukilichekea linakuumbua.
 
Yaani wiki mbili jamaa hajagusanisha nyareee....[emoji15] [emoji15] [emoji15] alafu unamshauri wakae wazungumze kwa upendo.....[emoji34] [emoji34] [emoji34]. Sasa hapo upendo unatoka wapi wakati jamaa analala huku amekunja kumi kupooza pale kati....!???
Ebu acheni kufananisha unyumba na mambo ya kijinga aiseeeee
Kwahiyo unataka tumwambie ambake?
 
Kumbe hili jipu unalijua vizuri, hukulitumbua vizuri mwanzo so limehamia kwingine. Jipu ukilichekea linakuumbua.
Funga hilo duka na hakuna kumfungulia lingine, labda ufungue lakini yeye asihusike kwa chochote akizingua piga chini
 
Wanawake wanajijua wao tuu. Ukijipendekeza sana shida, ukikaa mita mia mbili shida, ukikaba sana shida. Ili mradi hawaeleweki. Unaweza shinda ndani asikusalimie. Ukinyanyua tu mguu kwenda hapo jirani kwenye grocery ya Mangi sim kila baada ya dkk tano. Uko wapi,uko na nani, tule tukusubiri, utakunywa chai...heee. Ukirudi home keshavuta domo.
 
Wanawake wanajijua wao tuu. Ukijipendekeza sana shida, ukikaa mita mia mbili shida, ukikaba sana shida. Ili mradi hawaeleweki. Unaweza shinda ndani asikusalimie. Ukinyanyua tu mguu kwenda hapo jirani kwenye grocery ya Mangi sim kila baada ya dkk tano. Uko wapi,uko na nani, tule tukusubiri, utakunywa chai...heee. Ukirudi home keshavuta domo.
Teh mnalo
 
Back
Top Bottom