Mke wa Mrisho Gambo aondolewa uafisa elimu

Mke wa Mrisho Gambo aondolewa uafisa elimu

Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Wewe umefurahi?
 
I agree kaka, na madhaifu yake but jpm was not joking. Anakuweka pembeni regardless status yako and ilisaidia sana uwajibikaji
Sure, angalia pale Burkina Faso, wananchi wameamua kumlinda master wao, hiyo ndiyo ilipaswa nasi tujivunie ila wazee wa kudiverting hawakumpenda.
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Lakini haikuwa sahihi mtumishi wa umma kupanda majukwaa ya kisasa;au yupo likizo bila malipo?😅
 
Yaani ukiwa kitaa Arusha hakuna anayemsema vizuri Gambo, yaani Gambo anagundu hata mke wake. In short Gambo ni mjinga kukubali kuingia vita na Makonda, alipaswa a play low profile kwa sababu Makonda was already damaged, ila ujinga wake Gambo anaropoka ropoka halafu kibaya Gambo hana uwezo wa kujenga hoja in short ana upungufu wa hekima na hajui kabisa kuongea. Sura yake imejaa ukatili na dharau
Nanukuu
"Muulize kati yake yeye na mimi nani ameumiza watu wengi sana"
Hivi mnakujia Daresalam nyie?
Sasa kule watu wengi sana aliwaumisa"😆
 
Kwa miongozo ya utumishi wa umma,Mtumishi wa umma kama mwalimu haifai kujiingiza kwenye siasa, kama huyo mke wa Gambo angetaka kugombea ubunge ama udiwani basi anapaswa kuandikia barua mkurugenzi apewe likizo bila malipo single kwenye siasa sio kukurupuka kupanda majukwaani namna ile.
Tena hyo kumrudisha shulen ni kama wamemhurumia tu,ilitakiwa apigwe chini kabisa kwenye utumishi wa umma
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Mond
Akafundishe ndio profession yake, wamezidi uvivu
 
Nachoona, mke wa Gambo aliamua kufanya hivyo kwa sababu amechoka mume wake kudhalilishwa. Siyo kwamba hakujua kitakachotokea bali wameungana wanafamilia kwenye vita. Hapo mshahara utabaki wa uafisa elimu lakini atakosa yale madaraka ya uafisa elimu tu.

Baadae TAMISEMI watamrudishia uafisa elimu wake na kumuhamisha. Unajua ni kazi sana kwa mkuu wa shule aongoze staff ambayo ndani yake kuna mwl alikuwa afisa elimu!
 
The same thing, issue ya kutojengwa stendi mpya ya mabasi Gambo alikuwa source ndipo JPM akaona hawa hawapo seriously.

JPM alikuwa jembe ni basi tu.
Gambo mpuuzi sana,
Huwezi anza kuketa issue za kipuuzi eti stand ijengwe muriet sijui Olasit eneo ambalo utawalipa watu uliochukua maeneo yao ukaacha eneo ambalo limetolewa bure na mdau, just because una personal interest!
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Wacha wamalizane, kati yao hakuna mwenye manufaa na taifa hili, hizo ni hasara za taifa.
 
Dalikli za mvua ni mawingu!

Naona huu ni mwaka wa ukombozi kwa Tanganyika yetu!
 
Heshima sana wanajamvi,

Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.

Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.

Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.

Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.

Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.

Ngongo kwasasa Monduli.
Yule mke SI alivunja SHERIA ya utumishi akapanda jukwaa la siasa.. watumishi wa uma hawaruhusiwi kupanda kwenye majukwaanya siasa. Akijaribu mwemyewe
 
Halafu wote wa kuja wanataka kuuana kwenye jimbo la watu, Arusha kataeni wahuni hao.
Tatizo wenyeji nao wana mabifu yao ya kishamba sana... Arusha ina ukabila wa kijinga mno. Kuna wanaojiita waarusha (Wamasai wa Arusha) nao hujiona keki kuliko watu wa makabila mengine waliozaliwa na kukulia mjini Arusha. Kwenye uchaguzi wa UVCCM kulikuwa na harufu kali ya ukabila aliposhinda kijana wa kimbulu. Pia kuna wenyeji ambao wako CCM na CHADEMA kwa siri. Kuna makada wa CCM wengi Arusha wanaisapoti CHADEMA sirini. Hilo jimbo lina mambo meusi sana upande wa CCM. Tusipokuwa makini wapinzani wanaweza chukua jimbo.
 
Back
Top Bottom