Inategemea anafanya siasa muda gani. Kama ni asubuhi sana kabla ya saa moja na nusu au jioni baada ya kazi yaani saa tisa na nusu na siku za wikiendi anaruhusiwa kufanya siasa na ushahidi upo.Mfanyakazi wa serikali na siasa haruhusiwi
Mkuu tupe ushahidi walau kidogo basi kuhusu hiyo 👆 tuhuma, isijekuwa unatulisha matangopori kwa hadithi za kutunga.Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
Hiyo sheria ina macho ,hapo angemsifia yule mtu na kusema mitano tena ,asingeguswaKwa miongozo ya utumishi wa umma,Mtumishi wa umma kama mwalimu haifai kujiingiza kwenye siasa, kama huyo mke wa Gambo angetaka kugombea ubunge ama udiwani basi anapaswa kuandikia barua mkurugenzi apewe likizo bila malipo single kwenye siasa sio kukurupuka kupanda majukwaani namna ile.
Makonda na Haji Manara hivi hawajawahi kugombana na nani?Heshima sana wanajamvi,
Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.
Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.
Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.
Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Ngongo kwasasa Monduli.
Tumshukuru mheshimiwa rais daktari profesa wa haki SSH kwa hili.Heshima sana wanajamvi,
Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.
Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.
Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.
Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Ngongo kwasasa Monduli.
Naunga mkono hoja, hivi Arusha haina wenyewe tangu vyama vingi vianze, kila siku ni wakuja tuu wanapigana vikumbo?!Halafu wote wa kuja wanataka kuuana kwenye jimbo la watu, Arusha kataeni wahuni hao.
Ah, kitu cha kutupa au kirusha ni sawa na kota au jiwe kupopoa embe, uipate au uikose.Kifuatacho hapo ni kutupiana majini tu.
SadHeshima sana wanajamvi,
Vita ya ubunge Arusha baina ya Gambo na Makonda vyazidi kupamba moto.
Mkutano wa Mbunge Gambo Soko Kuu Arusha ambao kwa kiasi kikubwa ulitumika kumnanga Makonda umeanza kuzaa matunda.
Mke wa Gambo Afisa elimu alipanda jukwaa na kumtetea mume wake Gambo.
Kitendo hicho kilimkasirisha Makonda ambaye ni Mkuu wa Mkoa Arusha alitumia mamlaka ya kumwondosha Mke wa Gambo katika nafasi ya Afisa Elimu.
Mke wa Gambo sasa ni Mwalimu wa kawaida na ameshapangiwa vipindi vya kufundisha na vifaa vyote muhimu ikiwemo chaki,fimbo & kifutio cha kufuta ubao.
Ngongo kwasasa Monduli.
Makonda lower your ego !,will cost you!Yaani ukiwa kitaa Arusha hakuna anayemsema vizuri Gambo, yaani Gambo anagundu hata mke wake. In short Gambo ni mjinga kukubali kuingia vita na Makonda, alipaswa a play low profile kwa sababu Makonda was already damaged, ila ujinga wake Gambo anaropoka ropoka halafu kibaya Gambo hana uwezo wa kujenga hoja in short ana upungufu wa hekima na hajui kabisa kuongea. Sura yake imejaa ukatili na dharau
Mfano walimu wakusanyike na kuweka vikao huku wamevaa nguo za "Tuna imani na mama" au "mitano tena" wangefukuzwa kazi? Kosa la huyo mama ni kuwa yupo against na makondaKwa miongozo ya utumishi wa umma,Mtumishi wa umma kama mwalimu haifai kujiingiza kwenye siasa, kama huyo mke wa Gambo angetaka kugombea ubunge ama udiwani basi anapaswa kuandikia barua mkurugenzi apewe likizo bila malipo single kwenye siasa sio kukurupuka kupanda majukwaani namna ile.
Kwani makonda hajaumiza watu?Gambo hawezi shinda hiyo vita kwa sababu ana roho mbaya sana na kiburi. Hana watu, saddist, kaumiza sana watu kwa mambo ya uongo, majungu, fitna ili ashike nafasi za kisiasa
Gambo ana laana ya kuanzia kwa yule dada wa Korogwe enzi Gambo akiwa Mkuu wa Wilaya. Walau Makonda anaonekana kujifunza na kuachana na siasa za kuumiza watu.Kwani makonda hajaumiza watu?
Duh!😂😂😂😂😂😂😂😂 Siku zote huwezi shindana na wenye mamlaka
Ila alishawahi kuumiza?Gambo ana laana ya kuanzia kwa yule dada wa Korogwe enzi Gambo akiwa Mkuu wa Wilaya. Walau Makonda anaonekana kujifunza na kuachana na siasa za kuumiza watu.