Last KING Ontuzu
JF-Expert Member
- Jul 22, 2016
- 721
- 1,161
A
Alafu ikawaje walipata ama walirudi kazini baada ya kukosa?Wapo watumishi wa umma walikuwa shirika la utangazaji tbc walienda kuwania ubunge bila kuandika barua za kuomba Sabbatical Leave. Kwa hii nchi hakuna linaloshindikana