Mkapa above the law?: Allegations

Mkapa above the law?: Allegations

Halafu tabia ya kuita mtu fisadi bila ushahidi, ni upungufu wa akili na zaidi ni tamaa tu nyinyi mwategemea mi nikae Ikulu kwa miaka kumi, wakati huu wa biashara huria nitoke bila kitu mna akili nyie, fanyeni kazi acheni wivu anaechagua watu na kuwapa madaraka makubwa ni nani? vyie vipi acheni tule nchi yetu hii kama wewe huna chanel hama nchii! Ebo!
Ina maana wewe ni Mkapa unazungumza hapa?
Pls let us know!
 
Ni rais mstaafu. Ni lazima tumuheshimu. we do not want to set a bad precedent. Kama anatuhumiwa wanaomtuhumu wampeleke mahakamani. Kumzomea haisaidii na ni kuvunja sheria!!

Bi Chausiku...
Vyote sawasawa tu!
Kushitakiwa na kuzomewa!
Kuzomea ni haki ya wananchi na mahakamani ni justice to take place!
Mbona unasympathize bila msingi?
Sasa kuzomewa ama kupelekwa mahakamani kupi ni kubaya pale inapokuja kwenye heshima ya rais msataafu?
Acha kubwabwaja watu wako makini hapa!
 
watanzania bwana....kile kiwanda cha tanganyika packers mbona nanii alijigawia ...tena mbaya kwa kumtumia muhindi na ushahidi mtoto wake ...yule waziri kajenga apartments kwa kumega eneo la tanganyika packers kwa kuwa ni yao....mbaya zaidi yule muhindi baada ya kununua kile kiwanda kwa mali kauli...akangoa mitambo akauza..iliyobakia akauza scrap...na hadi leo kiwanda hakuna ..kazi...

sasa watanzania bora lipi viwanda tuwape wahindi bure au tuwape wazawa...!!???

na kama ni hiyo kiwira ...si ilikuwa haizalishi...mbona sasa inazalisha????....mlitakaje ....nacho apewe bure mhindi...

mnajua siri ya mafanikio ya kiuchumi ya urusi baada ya hali ya change of policy kama sisi...someni..waliwagawia wazawa wao viwanda bure...kuliko kuwapa au kuwauzia wageni...ndio wakawapata kina ..kodokosky,abravomich ets..

kosa kubwa tulilofanya watanzania wakati wa ubinafsishaji ni kuwapa wahindi viwanda ..leo wamevigeuza magodown na havizalishi....bora tungewapa wazawa kama kina mugishangwe ,mengi....na wengine...
 
watanzania bwana....kile kiwanda cha tanganyika packers mbona nanii alijigawia ...tena mbaya kwa kumtumia muhindi na ushahidi mtoto wake ...yule waziri kajenga apartments kwa kumega eneo la tanganyika packers kwa kuwa ni yao....mbaya zaidi yule muhindi baada ya kununua kile kiwanda kwa mali kauli...akangoa mitambo akauza..iliyobakia akauza scrap...na hadi leo kiwanda hakuna ..kazi...

sasa watanzania bora lipi viwanda tuwape wahindi bure au tuwape wazawa...!!???

na kama ni hiyo kiwira ...si ilikuwa haizalishi...mbona sasa inazalisha????....mlitakaje ....nacho apewe bure mhindi...

mnajua siri ya mafanikio ya kiuchumi ya urusi baada ya hali ya change of policy kama sisi...someni..waliwagawia wazawa wao viwanda bure...kuliko kuwapa au kuwauzia wageni...ndio wakawapata kina ..kodokosky,abravomich ets..

kosa kubwa tulilofanya watanzania wakati wa ubinafsishaji ni kuwapa wahindi viwanda ..leo wamevigeuza magodown na havizalishi....bora tungewapa wazawa kama kina mugishangwe ,mengi....na wengine...

PHILLEMON MIKAEL FOR PRESIDENT!
 
watanzania bwana....kile kiwanda cha tanganyika packers mbona nanii alijigawia ...tena mbaya kwa kumtumia muhindi na ushahidi mtoto wake ...yule waziri kajenga apartments kwa kumega eneo la tanganyika packers kwa kuwa ni yao....mbaya zaidi yule muhindi baada ya kununua kile kiwanda kwa mali kauli...akangoa mitambo akauza..iliyobakia akauza scrap...na hadi leo kiwanda hakuna ..kazi...

sasa watanzania bora lipi viwanda tuwape wahindi bure au tuwape wazawa...!!???

na kama ni hiyo kiwira ...si ilikuwa haizalishi...mbona sasa inazalisha????....mlitakaje ....nacho apewe bure mhindi...

mnajua siri ya mafanikio ya kiuchumi ya urusi baada ya hali ya change of policy kama sisi...someni..waliwagawia wazawa wao viwanda bure...kuliko kuwapa au kuwauzia wageni...ndio wakawapata kina ..kodokosky,abravomich ets..

kosa kubwa tulilofanya watanzania wakati wa ubinafsishaji ni kuwapa wahindi viwanda ..leo wamevigeuza magodown na havizalishi....bora tungewapa wazawa kama kina mugishangwe ,mengi....na wengine...

PHILLEMON MIKAEL FOR PRESIDENT!

Phil,

Kati ya vichwa ninaowathamini hapa JF wewe ni mmoja wapo. Usemayo ni kweli na kuna mifano kama 20 hivi ya viwanda vilivyokufa kwa kupewa hawa watanzania wenye asili ya nje.

Upande wa pili wa shilingi ni kuwa Mkapa alikosea kufanya biashara akiwa ikulu lakini kuhusu umiliki naungana na wewe kuwa tuwape kipaumbele Watanzania halisi!!

Big up Phil. Wewe ni mmoja wa wa TZ wanaoweza kufikiri.

Thanks
 
ndio maana mimi nimesema huko nyuma kwanini tusikubali kuwaachia nchi mafisadi wazalendo?
 
Kama bado Mkapa anahudhuria ibada ningeomba kujua ni kanisa gani?
Kuna kila sababu ya kuwashawishi waumini husika wamfukuze kanisani mpaka pale atakaporudisha mali aliyoiba yeye na washirika wake. Vita hii lazima iende mbali. Kile kiti cha enzi anachopewa kanisani lazima anyang'anywe. Kwani iliandikwa, "Nyumba yangu sio pahali pa wezi na wanyanganyi" maana nyumba ya ibada. Leo iweje mnyanganyi na muuwaji mkapa aruhusiwe kuingia kanisani? Ujumbe huu naomba umfikie paroko wa mkapa na mshikaji wake Polycarp Pengo.

Naomba fedha zote alizochangia kanisani arudishiwe kwani ni fedha haramu hazina baraka mbele ya mwezi Mungu.

Mkapa tubu dhambi umrejee muumba wako, wewe tayari ni mzee, unaumwa miguu, siku za kuishi ni miaka sabini , themanini ni bonasi.

Pengo, Pengo, Pengo sikusikii kabisa kuhusu huyu jamaa. Tuambie na lazima ueleze jamii moja kwa moja kwamba unayemsema ni Mkapa.
 
Phil,

Kati ya vichwa ninaowathamini hapa JF wewe ni mmoja wapo. Usemayo ni kweli na kuna mifano kama 20 hivi ya viwanda vilivyokufa kwa kupewa hawa watanzania wenye asili ya nje.

Upande wa pili wa shilingi ni kuwa Mkapa alikosea kufanya biashara akiwa ikulu lakini kuhusu umiliki naungana na wewe kuwa tuwape kipaumbele Watanzania halisi!!

Big up Phil. Wewe ni mmoja wa wa TZ wanaoweza kufikiri.

Thanks
Wengine huwa wanahisi huyu bwana ni Freeman Mbowe!?
 
Kama bado Mkapa anahudhuria ibada ningeomba kujua ni kanisa gani?
Kuna kila sababu ya kuwashawishi waumini husika wamfukuze kanisani mpaka pale atakaporudisha mali aliyoiba yeye na washirika wake. Vita hii lazima iende mbali. Kile kiti cha enzi anachopewa kanisani lazima anyang'anywe. Kwani iliandikwa, "Nyumba yangu sio pahali pa wezi na wanyanganyi" maana nyumba ya ibada. Leo iweje mnyanganyi na muuwaji mkapa aruhusiwe kuingia kanisani? Ujumbe huu naomba umfikie paroko wa mkapa na mshikaji wake Polycarp Pengo.

Naomba fedha zote alizochangia kanisani arudishiwe kwani ni fedha haramu hazina baraka mbele ya mwezi Mungu.

Mkapa tubu dhambi umrejee muumba wako, wewe tayari ni mzee, unaumwa miguu, siku za kuishi ni miaka sabini , themanini ni bonasi.

Pengo, Pengo, Pengo sikusikii kabisa kuhusu huyu jamaa. Tuambie na lazima ueleze jamii moja kwa moja kwamba unayemsema ni Mkapa.

Na hicho ni kitendawili kimojawapo kati ya vitendawili vya taasisi ziitwazo kanisa, ukipata mimba hujaolewa (sio kwamba hutaki kuolewa) unawekwa chini ya kile wenyewe wanaita MARUDI, ukiwa fisadi huguswi, tena ukiwa unatoa sadaka nene ndio kabisaa!!
Aidha, nadhani wasimtimue, ila wamwongoze sala ya toba(ikibidi mbele ya washarika, kama Zakayo mfupi mwenzake, na vijisenti arudishe)
 
Kwanini Wamrushie Mawe,Kwa kosa gani??hakuna aliye juu ya sheria,kama watanzania tunaona ana kosa basi ttumpeleke Mahakamai ili asurubiwe na sio kumuita Mtu fisadi.

..watu wana haki ya kumwita wanavyotaka ili mradi si kumtusi.

..kumpiga mawe si sawa na ni kuvunja sheria. ingawa nae alizivunja!

..kila mtu atawajibika kwa matendo yake!and he's not spared!
 
Nimeamua kujiunga nanyi
1.Tumzomee Mkapa
2.Tumwagie Tindikali
3.ikiwezekna tuponde gari lake mawe
4.Tumuite Fisadi Mkuu

na naomba nimalizie na maneno haya ya Archibald MacLeish ,one of the best American poet and critic. 1892-1982

"We have learned the answers, all the answers:/ It is the question that we do not know."

Tatizo la hoja yako ni kwamba ulikamata hoja ndogo ukaacha hoja kuu. make a point on the strongest point. la msingi hapa ni kwamba Mkapa ametumia vibaya sana nafasi yake ya urais, amesaliti umma wa watanzania waliompa dhamana. kuna yanayohitaji proof ya kimahakama, kuna mabaya zaidi pengine, ambayo hatujayajua, lakini tunayoyajua hasa japo machache lakini yanatisha. kuna suala la migodi, suala la EPA, suala la nyumba za serikali, na mengine.

Hivi ni mahakama gani utampeleka mtu anayesaliti trust? Sheria ni kama rula inayopima vinavyopimika lakini mengi aliyoyasaliti ambayo hayawezi kushughulikiwa kimahakama yanaendelea kumsuta. sasa alichofanya ni kosa la mauaji, maana kwa udhalimu wake, watanzania wengi wataendelea kufa kwa kukosa matibabu muafaka, kuendelea katika vicious circle ya ufukara kwa kukosa elimu bora, for generations to come. AMEATHIRI GENERATIONS. Amefanya genocide, by extension.

Unaweza kuendelea na analysis hii, lakini sasa, juxtapose hayo magenocide yake na ishu ya kuzomewa na vijana wa kijiweni! una uhuru wa kutoa hoja kujadili "kosa" hilo lakini hutaonekana serious, hata kama unasema uko pamoja na wengine katika kuchukia ufisadi, kwa sababu choice yako ya argument ilikuwa katika the weakest point
 
Kosa la kuhatarisha Amani.Mathalani kama wangempiga Risasi Rais mstaafu unaju Madhara yake ni yapi.

..acha utoto. we unajua nani anahatarisha amani nchi hii?

..na kwa haya mambo wanayoyafanya,hali inaweza kuwa mbaya kiasi hicho!
 
Kama bado Mkapa anahudhuria ibada ningeomba kujua ni kanisa gani?
Kuna kila sababu ya kuwashawishi waumini husika wamfukuze kanisani mpaka pale atakaporudisha mali aliyoiba yeye na washirika wake. Vita hii lazima iende mbali. Kile kiti cha enzi anachopewa kanisani lazima anyang'anywe. Kwani iliandikwa, "Nyumba yangu sio pahali pa wezi na wanyanganyi" maana nyumba ya ibada. Leo iweje mnyanganyi na muuwaji mkapa aruhusiwe kuingia kanisani? Ujumbe huu naomba umfikie paroko wa mkapa na mshikaji wake Polycarp Pengo.

Naomba fedha zote alizochangia kanisani arudishiwe kwani ni fedha haramu hazina baraka mbele ya mwezi Mungu.

Mkapa tubu dhambi umrejee muumba wako, wewe tayari ni mzee, unaumwa miguu, siku za kuishi ni miaka sabini , themanini ni bonasi.

Pengo, Pengo, Pengo sikusikii kabisa kuhusu huyu jamaa. Tuambie na lazima ueleze jamii moja kwa moja kwamba unayemsema ni Mkapa.

Mkapa alikuwa anasali pale St. Immaculate Upanga, karibu na Ubalozi wa North Korea UN Road kama unakwenda Salender Bridge.

Kwenda kanisani kwenyewe kaanza baada ya kutaka Urais, na alivyomaliza muda wake wa Urais tu akaacha hata kwenda kanisani.

Mkapa analijua kanisa vizuri -kuna wakati alikuwa anataka kuwa mtawa, ikumbukwe hakulelewa na wazazi bali wakatoliki walimchukua na kumlea-

Kwa hiyo ana arrogance ya a know it all who has seen it all na humwambii kitu kuhusu didni wala siasa.

Dangerous indeed!
 
Itakuwa ni vyema na haki kuweka picha za mafisadi kwenye kurusa za mbele za JF kwa kumbukumbu. Nia ni kutosahau madhila yao na kuwa fundisho kwa jamii.

Naomba kwa wenye uwezo wa kuzipata wafanye hivyo na ziambatane na kiasi cha fedha walizotuibia.

Je mtoto wa fisadi naye ni fisadi??????????????
 
Hata kama Mzee Mkapa ni Mwizi(Hapa mahakama haijaamua) ila jua ya Kwamba bado ni Rasi Mstaafu tu..other things remain Constant.

..kuna wakati i was of the view that mzee mkapa will go down the history books as one great stateman tanzania had. i guess,a shock was in store for me!

..so,gembe,the damage is huge! hana pa kujificha!

Wewe unadhani kama angepita kiongozi mstaafu wa upinzani watu wakaanza kumzomea,viongozi wa juu wanatembea na mtoto wako huku wakimghasi..Polisi wakikaa kimya unadhani italeta picha nzuri??

..polisi wangefanya nini? acha simulizi!. we unaishi tanzania hii kweli?
 
Mkapa alikuwa anasali pale St. Immaculate Upanga, karibu na Ubalozi wa North Korea UN Road kama unakwenda Salender Bridge.

Kwenda kanisani kwenyewe kaanza baada ya kutaka Urais, na alivyomaliza muda wake wa Urais tu akaacha hata kwenda kanisani.

Mkapa analijua kanisa vizuri -kuna wakati alikuwa anataka kuwa mtawa, ikumbukwe hakulelewa na wazazi bali wakatoliki walimchukua na kumlea-

Kwa hiyo ana arrogance ya a know it all who has seen it all na humwambii kitu kuhusu didni wala siasa.

Dangerous indeed!


mkapa kanisani ni muhudhuriajimzuri tu pamoja na kuwa huwezi kumuweka kwenye kundi la waumni wa ibada ya kwanza..pale st imaculate hata kabla hajawa rais alikuwa akishiriki kuimba...akiwa lushoto pia husali karibu na kwake kuna parokia kubwa ya wakatoliki...sasa amehamia masaki sidhani kama atahamia st peter ..nadhani atabakia kusali rt imaculate
 
vijana wa kileo wamekuwa hawana adabu.

huo ndio ukweli na tukishindwa kukaza kamba kwenye malezi taifa litaelekea kubaya

..je,umejiuliza kama hao wazazi nao wana adabu?

..we mama anapakuwa chakula anaweka mezani. baba kwa ulafi wake anawahi mapande yote mazuri ya nyama,tena karibia zote!. hao watoto kesho wakimwambia "baba acha ulafi" watakuwa na kosa gani?

..btw,muwe mnakumbuka kunawa mnapokula!

..unaongelea malezi? yapi? haya ya kuwafundisha watoto wetu jinsi ya kula rushwa na kujilimbikizia mali nyingi kwa muda mfupi?

..nani analipeleka taifa pabaya? baba/mama au mtoto?
 
Back
Top Bottom