The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,233
- 17,395
Bwana Mkandara,
Naoana tuko na mawazo sawa! Point zako kali na somo la bure JF. Ila nataka kukufahamisha kwamba umenifungua macho kiasi kikubwa. Kumbe wa jamaa wanakimbilia ardhi kwa ajili ya madini? Ndiyo maana Mkuranga kumekuwa deal kwa sababu ya fununu za mafuta. Mimi siku zote nimekuwa nashangaa kama kweli Viongozi wetu wanajifanya wanalima mbona hayo mashamba hatuoni yanazalisha kitu.
Nafikiri wao ndiyo walitakiwa waaonyeshe mifano wananchi badala yake wanang'anga'ania madaraka mpaka wafe. Afer all wote wamekulia vijijini lakini wanaogopa kurudi huko kuinvest kwenye kilimo. Mimi niliposikia ex PM anastaafu siasa anaenda kulima nilifikiri anaenda kufanya kitu cha maana, then nikasikia ana kashamba ka hekari 30 - 40 na vingombe vichache vya maziwa. Baada ya muda yuko US anasoma, hapo ndipo nilipoona kichekesho. Kama kilimo tayari ni mtaaramu kwenye hiyo fani. Kumbe ilikuwa danganya toto watu wasahau ili ajirudishe taratibu kenye mapolitics. Kwa nini asitumie influence yake kuwaincourage wananchi kulima kwa yeye mwenyewe kuwa mfano?
Naoana tuko na mawazo sawa! Point zako kali na somo la bure JF. Ila nataka kukufahamisha kwamba umenifungua macho kiasi kikubwa. Kumbe wa jamaa wanakimbilia ardhi kwa ajili ya madini? Ndiyo maana Mkuranga kumekuwa deal kwa sababu ya fununu za mafuta. Mimi siku zote nimekuwa nashangaa kama kweli Viongozi wetu wanajifanya wanalima mbona hayo mashamba hatuoni yanazalisha kitu.
Nafikiri wao ndiyo walitakiwa waaonyeshe mifano wananchi badala yake wanang'anga'ania madaraka mpaka wafe. Afer all wote wamekulia vijijini lakini wanaogopa kurudi huko kuinvest kwenye kilimo. Mimi niliposikia ex PM anastaafu siasa anaenda kulima nilifikiri anaenda kufanya kitu cha maana, then nikasikia ana kashamba ka hekari 30 - 40 na vingombe vichache vya maziwa. Baada ya muda yuko US anasoma, hapo ndipo nilipoona kichekesho. Kama kilimo tayari ni mtaaramu kwenye hiyo fani. Kumbe ilikuwa danganya toto watu wasahau ili ajirudishe taratibu kenye mapolitics. Kwa nini asitumie influence yake kuwaincourage wananchi kulima kwa yeye mwenyewe kuwa mfano?