Babu,
Si mama peke yake. Mzee pale Geneva alikusanyiwa dola millioni karibu sita na Sharon Stone kwa ajili ya viandarua. Sikusikia amezikabidhi kwa taasisi gani. Hawa viongozi walioondoa hiyo miiko walijua wanachokifanya. Nasikia Azimio la Zanzibar lilipitishwa baada ya Mwinyi kumteua kiongozi fulani akaambiwa huyo hawezi kuchukua uongozi serikalini kwa sababu tayari ana madole yake katika kampuni za binafsi. Mzee Ruksa akasema hiyo sheria iondolewe. Ndiyo Tanzania yetu hiyo. Amri ya mtu mmoja inafuta kanuni zinazohusu wengi.
Si mama peke yake. Mzee pale Geneva alikusanyiwa dola millioni karibu sita na Sharon Stone kwa ajili ya viandarua. Sikusikia amezikabidhi kwa taasisi gani. Hawa viongozi walioondoa hiyo miiko walijua wanachokifanya. Nasikia Azimio la Zanzibar lilipitishwa baada ya Mwinyi kumteua kiongozi fulani akaambiwa huyo hawezi kuchukua uongozi serikalini kwa sababu tayari ana madole yake katika kampuni za binafsi. Mzee Ruksa akasema hiyo sheria iondolewe. Ndiyo Tanzania yetu hiyo. Amri ya mtu mmoja inafuta kanuni zinazohusu wengi.