Waungwana linapokuja swala linarohusu maslahi ya taifa tuwe kitu kimoja. Thisday..irrespective wametumwa na nani..as long as they are exposing uozo tuwape support. Tatizo kubwa la waafrika ni ubinafsi ambao chanzo chake ni umaskini! Tumekulia katika mazingira ya suluba sana
!!!, labda generation ijayo ambayo imekulia katika mazingira mazuri (by the way na hawa ni wachache maana wengine wananyimwa elimu). Otherwise hata JK na EL wote wanaganga njaa ndo maana hata ungewapa mishahara na mafao billions by billions..wataiba tuu..maana uroho na ubinafsi ni hulka ya mwafrika. We unafikiri mtu Kama BM kuanzisha kampuni na kuchukua hela kibao za umma..amekosa nini? ni ubinafsi tuu-simple. Na hapa sijui dawa ni nini! (kuna msemo wa kiafrika which goes like......mtoto mtukutu akiamua kulia, atalia tuu.... hata kama akiwa na glass ya maziwa mkononi!)
!!!, labda generation ijayo ambayo imekulia katika mazingira mazuri (by the way na hawa ni wachache maana wengine wananyimwa elimu). Otherwise hata JK na EL wote wanaganga njaa ndo maana hata ungewapa mishahara na mafao billions by billions..wataiba tuu..maana uroho na ubinafsi ni hulka ya mwafrika. We unafikiri mtu Kama BM kuanzisha kampuni na kuchukua hela kibao za umma..amekosa nini? ni ubinafsi tuu-simple. Na hapa sijui dawa ni nini! (kuna msemo wa kiafrika which goes like......mtoto mtukutu akiamua kulia, atalia tuu.... hata kama akiwa na glass ya maziwa mkononi!)