Mzee PM,
Azimio la Arusha, lilikuwa kwa ajili ya kina Mnauye na Sozigwa, huku the chosen kina Kahama, Bomani, Msuya, Rupia na the likes wakineemeka humo humo kwenye Azimio, ndio maana wakaamua kuwa kama ni kuneeemekea basi waneemeke wote, au wasineeemeke wote,
Mwalimu alijua wazi kuwa time was up ya mambo ya Aziimio, kufa kwa communism kumetufundisha kuwa itikadi ya siasa inayoweza kufanikiwa duniani ni ile tu inayojali matakwa binafsi ya wananchi wake,
I mean viongozi wa huko majuu ni matajiri wa kupindukia, lakini sio kwa mikopo wakiwa kazini yaani kwenye urais, infact watu kama Clinton, na Powell, ndio kwanza wanaanza kutajirika sasa baada ya kutoka madarakani, kutokana na kuandika vitabu na specch fees, hoja za Azimio na mikopo bado ni pungufu katika kuhalalisha utajiri wa Mkapa, ambao sasa umetapakaa mpaka kwa watoto na ndugu wa mke kina Joe Maro, ni aibu sana mbelele ya jamii na hata mbele ya Mungu, lazima kuwepo na hururma kidogo na hela za wananchi!