Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 142
This is unbeliavable,
Sielewi baadhi yetu tuna agenda gani ya kuficha maswala yaliyo wazi?
Kwanini,hivi ni kwanini nyinyi mnakubaliana na wizi huu na kusema kirahisi eti..amwoni kosa?kweli amwoni kosa.
Je kipindikile Bwn.Ruksa akitoa misamaha ya kodi kwa Wahindi na kurusu wanae kufanya nchi hii mali yao binafsi nadhani mapaka leo baadhi yenu mnaandika uozo ule kama umetokea jana.
Na leo uozo huo huo unatokea na mnafumba macho na kusema hamna kosa? How? Aaah.. jamani..!
Baadae Mumwangwana nae anawapa bail na kuwabeba washikaji zake yale yale aliyokua anayafanya mtu wenu Ben lakini mnamshikia bango hata miaka miwili hajafika ofisini mnaona hafai..
Tuwe wakweli,yale ya haki tuyaseme bila kificho
Sielewi baadhi yetu tuna agenda gani ya kuficha maswala yaliyo wazi?
Kwanini,hivi ni kwanini nyinyi mnakubaliana na wizi huu na kusema kirahisi eti..amwoni kosa?kweli amwoni kosa.
Je kipindikile Bwn.Ruksa akitoa misamaha ya kodi kwa Wahindi na kurusu wanae kufanya nchi hii mali yao binafsi nadhani mapaka leo baadhi yenu mnaandika uozo ule kama umetokea jana.
Na leo uozo huo huo unatokea na mnafumba macho na kusema hamna kosa? How? Aaah.. jamani..!
Baadae Mumwangwana nae anawapa bail na kuwabeba washikaji zake yale yale aliyokua anayafanya mtu wenu Ben lakini mnamshikia bango hata miaka miwili hajafika ofisini mnaona hafai..
Tuwe wakweli,yale ya haki tuyaseme bila kificho