Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mbona sijafukuzwa wewe punguani!? Acha kuonyesha utaahira wako wa kuandika vitu ambavyo havipo. Msimamo wangu kuhusu fisadi Lowassa unajulikana ndani ya chama hakuna hata mmoja aliyethubutu kunitaka nirudishe kadi ya uanachama au kunivua uanachama wangu ndani ya CHADEMA. Acha kuandika vitu vya kusadikika.
Acha kujidai wewe mburula mnafiki, huo msimamo wako unaishia humu JF....huna ubavu wa kwenda ofisi za ufipa na ubwatuke kuwa Lowasa fisadi na wakuache.

Punguza kuigiza na unafiki.
 
Dah! Mxciuuuuuuuuuuuu.
Halafu ume maliza ki mama sana mkuu hebu jirekebishe, narudi kwenye mada wenzio wa GOP wana sababu ya kubakia wewe hauna, na nimekuonesha Trump siyo Lowassa usiwafananishe, any way tuseme hao wa GOP wamebaki , kwa hiyo hao ndo wana justfy maamuzi yako!!?
Usihamishe mada kwenda kwenye kutafsir kura za CNN ambako ulishndwa kuelewa hesabu za uwiano
Tubaki hapa hapa kwa Lowassa mkuu wewe ni mnafiki na kama hujawahi ambiwa leo nakuchana, halafu uache kusema Lowassa fisadi mwenyekiti wako alisha msafisha naskia eti.leo nimekuona wewe ni mtu ambaye mishipa ya aibu ilikatika.
 
Masikini.....na hivi chama chenu ni cha kifashist huna hata pa kupeleka mawazo zaidi ya hapa JF......

Na ukijaribu kuzungumza haya kwenye vikao vyenu vya Chama utaishia kufukuzwa kama mbwa koko.
Anapiga kelele hapa jf tuu
Ampinge Mbowe kwani hajipendi huyu!!!
 

Halaf BAK nilikuwa namuona mtu wa maana kweli, ila kwa unafik alio nao halafu ana jitetea nimegundua hawa ndo wanao ua halaf wanakataa mtu hatar sana huyu
BAK.jpg
 
Jana ilikuwa siku ya afya ya akili na iliadhimishwa kitaifa mkoani Dodoma na report ikatolewa kuwa Dar pekee ina wagonjwa wa akili zaidi ya 400,000.

Na kwa kupitia huu uzi naungana kwa dhati kabisa na hiyo report sababu hata JF zaidi ya 60% ni punguani kama vipimo vitafanyika leo.
 
Jana ilikuwa siku ya afya ya akili na iliadhimishwa kitaifa mkoani Dodoma na report ikatolewa kuwa Dar pekee ina wagonjwa wa akili zaidi ya 400,000.

Na kwa kupitia huu uzi naungana kwa dhati kabisa na hiyo report sababu hata JF zaidi ya 60% ni punguani kama vipimo vitafanyika leo.
CC: ufipa street
 
Hii thread nzuri sana, Unajua rangi halisi za watu hasa waTZ

Wapiga kura wanaojitambua na wenye mapenzi ya kweli na Tanzania kamwe hawawezi kupoteza kura zao kwa huyu fisadi mgawa rushwa katika nyumba za ibada.

Uliyeleta mada ni mkereketwa wa ACT.Kwa taarifa yako,Ukawa haiitaji mtu anayeitwa mamvi.Kumkubali mtu mzee huyu ndani ya ukawa ni kama kuchambia mfuko wa Rambo.

Mtu anayeshindwa kuitetea ccm japo Arusha Tu hatumtaki.

Mkuu hawa BAVICHA wengi ni walevi wa mirungi! Lowassa sio mjinga kama wanavyodhani!

Ivi huko UKAWA ndo wanapokea mafisadi

Ni vema kuweka maneno Akiba, Kwa kuwa Viongozi wa Ukawa si wazalendo bali wapiga dili, Tumepata kiongozi anayefaa,JPM, tumuunge mkono.
 
Mkuu huyu jamaa. Ndio eti makamanda wa chadema , yaani hawana msimamo kama Bendera ya kimasai
Kaniangusha sana huyu jamaa kwa kweli
Mimi mwenyewe si shabiki wa CCM lakini kwenye ukweli huwa nasema
Huu unafiki ulio jutokeza mwaka jana ilibid hawa jamaa hata Id wawe wamebadili at least kufuta aibu iliyo jitokeza
 
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .

Mkuu kumbe na wewe ulibadili gia angani
 
Back
Top Bottom