TUTU wa Jijia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2016
- 727
- 564
HUWEZI KUWAONA SA HV...UKWELI UNATUWEKA HURUUKAWA waje hapa wakanushe hii taarifa...
HUWEZI KUWAONA SA HV...UKWELI UNATUWEKA HURUUKAWA waje hapa wakanushe hii taarifa...
Huyo jamaa ni bonge la mnafiki.....afu utakuta yupo mstari wa mbele kumlaumu Lipumba.Kumbe wewe nae ni mlevi wa mirungi?
Utadhani ulikuwa kichwani mwangu Mkuu, hakuna sababu yoyote ya huyu fisadi kukaribishwa UKAWA.
UKAWA hakuna nafasi ya mafisadi aende zake huko. UKAWA hawawezi kufanya makosa ya kipumbavu ya kumkaribisha huyu fisadi.
UKAWA si kimbilio la wahalifu .
Mcheki huyu mnafiki chini, leo nae ni bavicha.
kwenye huu uzi hawasogeiWapiga kura wanaojitambua na wenye mapenzi ya kweli na Tanzania kamwe hawawezi kupoteza kura zao kwa huyu fisadi mgawa rushwa katika nyumba za ibada.
Heshima ikurudie Mkuu, hawa wahamiaji wa vyama vingine miezi michache kabla ya uchaguzi ni wa kuogopwa kama Ebola.
Siasa ni fumbo kubwa kwa waafrika waliowengi, sisi wanachama wa kawaida hatuelewi kabisa tunabaki kuwa kama bendera.Kamanda unafiki huwa una mwisho. Leo hii huwezi kutamka maneno hayo
Natamani kuona reply comments za hawa jamaa
Sijakurupuka....bali sioni jitihada unazotumia kumkosoa Lowasa kama unavyojitahidi kumkosoa Lipumba au Magufuli.Uzi huu una uhusiano upi na mimi kumshutumu Lipumba? Kwa taarifa yako kwangu mimi Lowassa bado ni fisadi tu ingekuwa ni amri yangu asingekaribishwa CHADEMA. Acha kukurupuka na kuhitimisha jambo usilolijua. Kitu kama hukijui uliza kwanza badala ya KUKURUPUKA.
CC: kwa wanaufipa wote.....@Mmawia Daudi Mchambuzi Chakaza Salary Slip na wengineoUzi huu una uhusiano upi na mimi kumshutumu Lipumba? Kwa taarifa yako kwangu mimi Lowassa bado ni fisadi tu ingekuwa ni amri yangu asingekaribishwa CHADEMA. Acha kukurupuka na kuhitimisha jambo usilolijua. Kitu kama hukijui uliza kwanza badala ya KUKURUPUKA.
CC: Wanaufipa wote.Usikurupuke na kuandika jambo ambalo halipo, hebu weka ushahidi wa pale ambapo nilimeza maneno yangu. Lowassa kwangu mimi bado ni fisadi na hakustahili kukaribishwa CHADEMA.
Anapiga deki kwa ulimi nowdaysUmeishatoka UKAWA kamanda?
Wapiga kura walijatambua wakampigia jpm
hatutaki viongozi waliowahi kuliingizia taifa hasara ndo waje huku never on earth, labda awe mwanachama wa kawaida tu na sio kugombea nafasi yoyote ya uongozi vinginevyo arudi huko huko kwa chama chake cha mashetani
Tena akome anajua jasho la wananchi wanaopigania UKAWA abaki na mazimwi wenzie CCM
Duh......akiba ya manenoHahahahahahaaaa! Lowassa hana ubavu wa kubaki CCM kama atatoswa kwenye kuwania Urais. Kwa sababu anajua hawezi tena kusubiri miaka kumi ijayo kama alivyokubali kumsubiri Kikwete hadi atakapomaliza ungwe yake. Akitoshwa Urais atatoka tu CCM, na kuna kila dalili kuwa CCM hawatampa nafasi ya kuwania Urais mwakani.
Ova
Masikini.....na hivi chama chenu ni cha kifashist huna hata pa kupeleka mawazo zaidi ya hapa JF......Acha ujinga wewe CHADEMA ilikuwepo kabla ya Lowassa na itaendelea kuwepo baada ya Lowassa. Kwanini nihamie vyama ambavyo sikubaliani navyo? Kwa taarifa yako kama ambavyo waliokuja na Lowassa baadhi wameamua kurudi CCM Lowassa naye anaweza kabisa kufanya hivyo. Mimi siungi mkono chama kutokana na mtu A au B bali ni sera za chama. Hivyo kwangu mimi Lowassa bado ni fisadi tu. Na siku akiamua kurudi CCM nitakuwa wa kwanza kushangilia.
Naona nyumbu za mbowe zinapata shida sana kutokana na huu Uzi.
zimeshikiwa akili hadi ile ya kawaida ya kufikiri.Hao hufuata wanachoambiwa na SultanWewe ndio mjinga halafu BAK hakuna ujinga mbaya kama wakujiona uko sahihi, na ndio ujinga ulio nao wewe asee, ndio maana nakwambia umeza maneno yako, Jamaa alipita na kebehi zote ulizo mtolea najua lazma ulimsapot tu na bila aibu tena unaendelea kubisha, bora hata ungekausha ningekuona wa maana, sasa kama hukuona sababu ya kumleta mbona alikuja!!? Na umeiona sababu kuwa yeye anafuata sera za chama!!? Sasa si unajipinga mwenyewe hapo ndio maana nakushangaa