Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Wenye kuwania urais kupitia sisiemu na wanaokubalika wapo kimya, nashangaa nyie mapovu kila siku. Huyo ni mwizi, na silaha ambayo upinzani wataitumia dhidi yake ni Richmond. Tambua watz si wajinga kama wewe na team yako mnavyodhani.
Naona mko na mwizi mwenzenu
 
mtakufa njaa lowasa amewahonga sh.ngapi mna spidi sana za kumsafisha lakini hata mngemsafisha na omo bado uchafu uko pale pale
Hahahaha.... Hivi chadema aliinunua kwa bei gani?
 
Kuna jitihada zozote amezifanya za kuwahakikishia wananchi kuwa alionewa? Au anavyogawa pesa kama njugu ndo kuwaonyesha kuwa alionewa? Sijapandikizwa chuki. Ni kwamba hana sifa na ana skendo.
Kule kwenu alikuja mkamsafisha
 
majembe yanalima huko vijini kama Lowassa ni jembe mwacheni huko monduli aendelea kulima uraisi ataishia kusikiliza kwenye redio tuu.
Mkuu Kill 3, lowassa hafai
 
Utadhani ulikuwa kichwani mwangu Mkuu, hakuna sababu yoyote ya huyu fisadi kukaribishwa UKAWA.
Wewe ni nani bwana ? Wenye chama wakiamua wewe utasema nini?

Unaona sasa aibu unayopata kumshabikia shetani na fisadi?

Mwanaume kukosa msimamo ni kipimo kwamba hata familia yake ina shida kwa sababu hawezi kuicontrol...
 
UKAWA hakuna nafasi ya mafisadi aende zake huko. UKAWA hawawezi kufanya makosa ya kipumbavu ya kumkaribisha huyu fisadi.
Mkuu... Ndio hivo upimbavu ulishafanyika... Sasa wewe utasema nini wakati wewe ni mpiga ngoma tu hapo ufipa?
 
Back
Top Bottom