kitukuupinde
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 210
- 168
Linafiki lingine hili hapa....halina hata soni.Naona umepata uwanja wa kujidai...Ha ha ha!
Linafiki lingine hili hapa....halina hata soni.Naona umepata uwanja wa kujidai...Ha ha ha!
Je unamuunga mkono mshindi wa tuzo za amani kutoka Kongo za madhehebu yote ya dini?Mkuu kusema kweli sikupiga kabisa kura
Hello
Sasa huwa mnalia lia nini kura ziliibiwa za ukawa wakati haukuweka kura yako huko? Nyie watu hovyo sana.Kwanini nimpigie kura fisadi!?
Andaa dokezo la kumtimua huyo Fisadi kutoka chamaniAcha ujinga wewe CHADEMA ilikuwepo kabla ya Lowassa na itaendelea kuwepo baada ya Lowassa. Kwanini nihamie vyama ambavyo sikubaliani navyo? Kwa taarifa yako kama ambavyo waliokuja na Lowassa baadhi wameamua kurudi CCM Lowassa naye anaweza kabisa kufanya hivyo. Mimi siungi mkono chama kutokana na mtu A au B bali ni sera za chama. Hivyo kwangu mimi Lowassa bado ni fisadi tu. Na siku akiamua kurudi CCM nitakuwa wa kwanza kushangilia.
Bavicha at their best, haumtaki lowassa ila unataka chadema ishinde urais kupitia lowasa, dah!Tatizo lako wewe ni mpu.mbavu wa hali ya juu. Trump kule GOP wengi wanampinga na hawatampigia kura na hawana mpango wa kujitoa GOP, lakini mimi kumpinga fisadi Lowassa na kuendelea kuiunga mkono CHADEMA unaona kitu cha ajabu. Taahira mkubwa sana wewe mwenye uelewa finyu sana.
Kwa kuwa mahakama bado haijathibitisha.Kwanini nimpigie kura fisadi!?
HATA HIVYO HAMUON NCHI ILIVYOFILISIKA KWASABABU YA KUMDHIBIT LOWASA. JESHI HAZINA HATA MASANGOMA YALILETWA. JAMAA KULE KUZOMEWA IKABID KWA UWOGA KUKATAZA MIKUTANO YA SIASA
Povu la nini.....hata hivyo mapovu hayaondoi unafiki wa kiwango cha juu ulionaoTatizo lako wewe ni mpu.mbavu wa hali ya juu. Trump kule GOP wengi wanampinga na hawatampigia kura na hawana mpango wa kujitoa GOP, lakini mimi kumpinga fisadi Lowassa na kuendelea kuiunga mkono CHADEMA unaona kitu cha ajabu. Taahira mkubwa sana wewe mwenye uelewa finyu sana.
Sijakurupuka....bali sioni jitihada unazotumia kumkosoa Lowasa kama unavyojitahidi kumkosoa Lipumba au Magufuli.
Na kwa bahati mbaya au nzuri huyu Lipumba anaendele kumkosoa Lowasa kuhusiana na maadili. I thought you have one thing in common.....kumbe unachagua kuwashambulia wa nje ukiogopa wa ndani.
Kwa hiyo mliyemuita fisadi kwenye huu uzi ndo angeleta ahueni kwenu??Hovyo kabisa!!HATA HIVYO HAMUON NCHI ILIVYOFILISIKA KWASABABU YA KUMDHIBIT LOWASA. JESHI HAZINA HATA MASANGOMA YALILETWA. JAMAA KULE KUZOMEWA IKABID KWA UWOGA KUKATAZA MIKUTANO YA SIASA
Povu la nini.....hata hivyo mapovu hayaondoi unafiki wa kiwango cha juu ulionao
Mkuu naomba uje hapa ulitolee maelezo bandiko lako hili, je ulishatoka? Mbowe sijui kawapa nini watu, kila anachofanya wanashangilia.Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Masikini.....na hivi chama chenu ni cha kifashist huna hata pa kupeleka mawazo zaidi ya hapa JF......
Na ukijaribu kuzungumza haya kwenye vikao vyenu vya Chama utaishia kufukuzwa kama mbwa koko.
Na wewe unapiga mirungi siku hizi? Eti kwenye Siasa hakuna adui wala rafiki wa kudumu, wajinga ndiyo waliwao.Mkuu hawa BAVICHA wengi ni walevi wa mirungi! Lowassa sio mjinga kama wanavyodhani!
Unavyojibu kihasira hivi ndio inathibitisha jinsi mada inavyookuumiza kumoyo.Ndiyo tatizo la watu Wap.unbavu kama wewe la kuhitimisha kitu bila ya kuwa na ushahidi wa kuthibitisha hitimisho lako. Weka ushahidi hapa BAK uliandika hivi, halafu hapa ukabadili gia na kuingia kwenye kundi la Lowassa. Hakuna kitu kama hicho jifunze kuandika kwa kuwa na ushahidi husika badala ya KUKURUPUKA.
Wewe ni mmoja wa watu wasiokuwa na aibu.Mbona sijafukuzwa wewe punguani!? Acha kuonyesha utaahira wako wa kuandika vitu ambavyo havipo. Msimamo wangu kuhusu fisadi Lowassa unajulikana ndani ya chama hakuna hata mmoja aliyethubutu kunitaka nirudishe kadi ya uanachama au kunivua uanachama wangu ndani ya CHADEMA. Acha kuandika vitu vya kusadikika.
Mkuu huyu jamaa. Ndio eti makamanda wa chadema , yaani hawana msimamo kama Bendera ya kimasaiWewe ndio mjinga halafu BAK hakuna ujinga mbaya kama wakujiona uko sahihi, na ndio ujinga ulio nao wewe asee, ndio maana nakwambia umeza maneno yako, Jamaa alipita na kebehi zote ulizo mtolea najua lazma ulimsapot tu na bila aibu tena unaendelea kubisha, bora hata ungekausha ningekuona wa maana, sasa kama hukuona sababu ya kumleta mbona alikuja!!? Na umeiona sababu kuwa yeye anafuata sera za chama!!? Sasa si unajipinga mwenyewe hapo ndio maana nakushangaa