Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Acha ujinga wewe CHADEMA ilikuwepo kabla ya Lowassa na itaendelea kuwepo baada ya Lowassa. Kwanini nihamie vyama ambavyo sikubaliani navyo? Kwa taarifa yako kama ambavyo waliokuja na Lowassa baadhi wameamua kurudi CCM Lowassa naye anaweza kabisa kufanya hivyo. Mimi siungi mkono chama kutokana na mtu A au B bali ni sera za chama. Hivyo kwangu mimi Lowassa bado ni fisadi tu. Na siku akiamua kurudi CCM nitakuwa wa kwanza kushangilia.
Andaa dokezo la kumtimua huyo Fisadi kutoka chamani
 
Tatizo lako wewe ni mpu.mbavu wa hali ya juu. Trump kule GOP wengi wanampinga na hawatampigia kura na hawana mpango wa kujitoa GOP, lakini mimi kumpinga fisadi Lowassa na kuendelea kuiunga mkono CHADEMA unaona kitu cha ajabu. Taahira mkubwa sana wewe mwenye uelewa finyu sana.
Bavicha at their best, haumtaki lowassa ila unataka chadema ishinde urais kupitia lowasa, dah!
 
HATA HIVYO HAMUON NCHI ILIVYOFILISIKA KWASABABU YA KUMDHIBIT LOWASA. JESHI HAZINA HATA MASANGOMA YALILETWA. JAMAA KULE KUZOMEWA IKABID KWA UWOGA KUKATAZA MIKUTANO YA SIASA
 
Tatizo lako wewe ni mpu.mbavu wa hali ya juu. Trump kule GOP wengi wanampinga na hawatampigia kura na hawana mpango wa kujitoa GOP, lakini mimi kumpinga fisadi Lowassa na kuendelea kuiunga mkono CHADEMA unaona kitu cha ajabu. Taahira mkubwa sana wewe mwenye uelewa finyu sana.
Povu la nini.....hata hivyo mapovu hayaondoi unafiki wa kiwango cha juu ulionao
 
Usijitie upofu usiokuwa nao Mkuu, sijawahi kubadili kumuita fisadi Lowassa kabla ya kuja CHADEMA na hata baada ya kuja CHADEMA. Kama kuna ushahidi wa wewe kuweza kuthibitisha hilo uliloandika basi uweke ushahidi huo hapa jamvini. Umewahi kutafuta mabandiko yangu humu kuhusu Lowassa, je kuna mahali popote ambapo nilibadili msimamo wangu kuhusu Lowassa. USIKURUPUKE Mkuu Lowassa kwangu mimi bado ni fisadi tu hata arembwe vipi.

Sijakurupuka....bali sioni jitihada unazotumia kumkosoa Lowasa kama unavyojitahidi kumkosoa Lipumba au Magufuli.

Na kwa bahati mbaya au nzuri huyu Lipumba anaendele kumkosoa Lowasa kuhusiana na maadili. I thought you have one thing in common.....kumbe unachagua kuwashambulia wa nje ukiogopa wa ndani.
 
Ndiyo tatizo la watu Wap.unbavu kama wewe la kuhitimisha kitu bila ya kuwa na ushahidi wa kuthibitisha hitimisho lako. Weka ushahidi hapa BAK uliandika hivi, halafu hapa ukabadili gia na kuingia kwenye kundi la Lowassa. Hakuna kitu kama hicho jifunze kuandika kwa kuwa na ushahidi husika badala ya KUKURUPUKA.

Povu la nini.....hata hivyo mapovu hayaondoi unafiki wa kiwango cha juu ulionao
 
Mbona sijafukuzwa wewe punguani!? Acha kuonyesha utaahira wako wa kuandika vitu ambavyo havipo. Msimamo wangu kuhusu fisadi Lowassa unajulikana ndani ya chama hakuna hata mmoja aliyethubutu kunitaka nirudishe kadi ya uanachama au kunivua uanachama wangu ndani ya CHADEMA. Acha kuandika vitu vya kusadikika.

Masikini.....na hivi chama chenu ni cha kifashist huna hata pa kupeleka mawazo zaidi ya hapa JF......

Na ukijaribu kuzungumza haya kwenye vikao vyenu vya Chama utaishia kufukuzwa kama mbwa koko.
 
Ndiyo tatizo la watu Wap.unbavu kama wewe la kuhitimisha kitu bila ya kuwa na ushahidi wa kuthibitisha hitimisho lako. Weka ushahidi hapa BAK uliandika hivi, halafu hapa ukabadili gia na kuingia kwenye kundi la Lowassa. Hakuna kitu kama hicho jifunze kuandika kwa kuwa na ushahidi husika badala ya KUKURUPUKA.
Unavyojibu kihasira hivi ndio inathibitisha jinsi mada inavyookuumiza kumoyo.

Wewe kama CDM ambaye unaona ufisadi wa moja kwa moja wa EL umechukua hatua gani za makusudi hata za kuwaelekeza CDM wenzio humu JF juu ya ubaya kwa siku za hivi karibuni.


Nasubiri majibu yako ewe mnafiki BAK.
 
Mbona sijafukuzwa wewe punguani!? Acha kuonyesha utaahira wako wa kuandika vitu ambavyo havipo. Msimamo wangu kuhusu fisadi Lowassa unajulikana ndani ya chama hakuna hata mmoja aliyethubutu kunitaka nirudishe kadi ya uanachama au kunivua uanachama wangu ndani ya CHADEMA. Acha kuandika vitu vya kusadikika.
Wewe ni mmoja wa watu wasiokuwa na aibu.
 
Wewe ndio mjinga halafu BAK hakuna ujinga mbaya kama wakujiona uko sahihi, na ndio ujinga ulio nao wewe asee, ndio maana nakwambia umeza maneno yako, Jamaa alipita na kebehi zote ulizo mtolea najua lazma ulimsapot tu na bila aibu tena unaendelea kubisha, bora hata ungekausha ningekuona wa maana, sasa kama hukuona sababu ya kumleta mbona alikuja!!? Na umeiona sababu kuwa yeye anafuata sera za chama!!? Sasa si unajipinga mwenyewe hapo ndio maana nakushangaa
Mkuu huyu jamaa. Ndio eti makamanda wa chadema , yaani hawana msimamo kama Bendera ya kimasai
 
Back
Top Bottom