Kutokana na vyama vyote vinavyounda UKAWA kuamini wanamgombea wa kupeperusha bendera ya urais,nashauri wamtafte mtu ambae si CDM,CUF,NLD wala NCCR ila wamvizie lowasa akikatwa jina lake CCM. E.L atatupa ushindi 90% kwa sababu anakubalika na watanzania walio wengi.vyama hivi vinavyounda ukawa vijadiliane kutafta mgombea mwenza kama ni lipumba,slaa au yeyote wanaemwamini anauzika pia kwa wananchi..ni hayo tu.
UKAWA tegemeo la watanzania
kwanini wamzingue?nani anaweza mzengua master wa chase ktk ccmJoto kuelekea uchaguzi mkuu 2015 linazidi kupanda. Kati ya mtu anayetajwa sana kugombea katika nafasi ya urais ni Edward Lowassa. Pamoja na tafiti nyingi rasmi na zisizo rasmi kuonesha kuwa EL anaongoza kwa kuaminiwa na kupendwa na watanzania wengi, CCM inaonekana kwa siri na kwa dhahiri kutokumhitaji Lowassa. Na kwa kuwa Lowassa anataka kuwatumikia watanzania na watanzania wanamhitaji yeye.. Ni ushauri wangu kuwa, kama CCM wakimzingua abadili uelekeo na kuelekea UKAWA ama Chama kingine chochote. Nina imani EL atashinda 2015 iwe kupitia CCM, ukawa ama Chama kingine chochote.
Kwa katiba ipi? Maana kwa katiba iliyopo Rais na makamu wote haiwezekani watoke upande mmoja wa Muungano na pia Waziri Mkuu ni kiongozi Mkuu wa Serikali juu ya masuala ya Tanzania bara (Tanganyika), hivyo hawezi kutoka Zanzibar kwa katika ya 1977.Wakati Yeye Akijipanga Na Critics Wake Nao Wanajipanga ktk Kumwangusha Na Kwa Taarifa Nilizonazo Tena Za Ndani Jikoni Ni Kwamba Piga ua Rais Ajaye Wa Tanzania Ni Kati Ya Watu Hawa :
1. Sospeter Muhongo.....15%
2.Stephen Wassira.....20%
3. Jaji Augustino Ramadhani.....5%
4. John Magufuli.........60%
Makamu Wa Rais Iwe Isiwe Amepangwa Kuwa Mzee Samuel Sitta
Waziri Mkuu Ni Kati Ya Hawa Wafuatao:
1. Asha Rose Migiro ( Ila Kama Atagombea Ubunge Na Kushinda )....5%
2. Mark Mwandosya ( Ila Kama Atathibitisha Sumu Ile Imemtoka )....5%
3. Hussein Mwinyi..........70%
4. Harrison Mwakyembe......20%
NB. Endapo Hii Itabadilika Basi Mjue 100% UKAWA Wanashika Hatamu Na Padre Wangu Wilbroad Slaa Kuwa Rais Wangu Mpya.
Wakati Yeye Akijipanga Na Critics Wake Nao Wanajipanga ktk Kumwangusha Na Kwa Taarifa Nilizonazo Tena Za Ndani Jikoni Ni Kwamba Piga ua Rais Ajaye Wa Tanzania Ni Kati Ya Watu Hawa :
1. Sospeter Muhongo.....15%
2.Stephen Wassira.....20%
3. Jaji Augustino Ramadhani.....5%
4. John Magufuli.........60%
Makamu Wa Rais Iwe Isiwe Amepangwa Kuwa Mzee Samuel Sitta
Waziri Mkuu Ni Kati Ya Hawa Wafuatao:
1. Asha Rose Migiro ( Ila Kama Atagombea Ubunge Na Kushinda )....5%
2. Mark Mwandosya ( Ila Kama Atathibitisha Sumu Ile Imemtoka )....5%
3. Hussein Mwinyi..........70%
4. Harrison Mwakyembe......20%
NB. Endapo Hii Itabadilika Basi Mjue 100% UKAWA Wanashika Hatamu Na Padre Wangu Wilbroad Slaa Kuwa Rais Wangu Mpya.
aje ukawa kutafuta nini?aiseh tuheshimianeg
Toka li shibuda liharibu ukawa ipo macho sana na wasaka madaraka
UKAWA ya wapi,hatutaki majizi sisi
Balale mkuu, mimi ACT na ushabiki wa siasa za vyama niliziacha kitambo saaana. Mimi siku hizi nipo na mtu. Na ndio maana kama umeisoma vizuri thread yangu nimemshauri Lowassa akiona CCM inamzingua, ahamie UKAWA au aende Chama kingine chochote. Nina imani, watu watamfuata huko huko atakapokuwaUliyeleta mada ni mkereketwa wa ACT.Kwa taarifa yako,Ukawa haiitaji mtu anayeitwa mamvi.Kumkubali mtu mzee huyu ndani ya ukawa ni kama kuchambia mfuko wa Rambo.