Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Hahahaa
Kumbe wakuu mlikuwaga ile mna msitiri tuu.
Hakuwaza kesho maskini jaman
Huyu jamaa kama hukuwahi kuyasoma mabandiko yake kabla ya Lowassa kuingia CHADEMA unaweza ukadhani ni mtu mwenye msimamo na mzalendo kumbe ni mtu wa hovyo.

Kinachonishangaza ni uwezo wake wa kutokuwa na aibu. Kuna wengine wengi tu wa aina yake kwa sasa hawaonekani kuchangia katika mijadala ya kisiasa na kama wanaonekana watakuwa wamebadili ID's.

Jaribu kuangalia kwa sasa kuna ID's nyingi sana mpya ambazo zimeanzishwa baada ya Uchaguzi Mkuu 2015.
 
ni mtu wa hovyo.
Kinachonishangaza ni uwe uwezo wake wa kutokuwa na aibu
Hapa ki ujumla umemaliza mkuu
Mi mwenyewe nilipo jiunga na Jf nilikuwa namuaminia, hadi kubishana naye nilikuwa sipendi namchukulia kama jamaa mmoja muelewa.
Kuanzia leo nime muona ni wa hovyo halafu anafikiri kuwa watu wanamuheshim kwa kuwa hivo kumbe wana mpuuzia tuu.
 
Kumbe wanyetishaji wengine huwa ni watu wenye tija,mambo yajayo.
 
Hapa ki ujumla umemaliza mkuu
Mi mwenyewe nilipo jiunga na Jf nilikuwa namuaminia, hadi kubishana naye nilikuwa sipendi namchukulia kama jamaa mmoja muelewa.
Kuanzia leo nime muona ni wa hovyo halafu anafikiri kuwa watu wanamuheshim kwa kuwa hivo kumbe wana mpuuzia tuu.
Huyo jamaa kwa sasa kulitaja neno RICHMOND limekuwa kama kupewa adhabu ya kifo.

Anaweza kukutajia ufisadi wote ulifanyika nchini lakini hawezi kuitaja RICHMOND.

Huyo jamaa ni zaidi ya mnafiki na bendera fuata upepo.
 
Kutoka Fisadi papa mpaka kuitwa Nywele nyeupe na Roho nyeupe fisadi amekuja kwa mlango wa nyuma.
 
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Hahahahaha..... Nakuonea huruma!
 
ukiona mtu anamsifu mtu mchafu kama Lowassa ujue yeye ni mchafu zaidi raisi ajaye chaguo la watanzania ni DR Slaa pekee yake hana skendo za wizi kama ccm
Nakuona sasa umeamua kuwa mchafu kuliko el.... Poleni vijana!
 
Sikiliza wewe FISI, mimi sio ukawa wala sisiemu. Nachotaka ni rais bora, sasa mnyonya mapvmbu ya EL kama wewe unakuja na upumbafu eti EL for presidency, unahitajika kupelekwa mirembe, kwamba hujui EL ni worse than JK??

Kuona hili hauhitaji kuwa na certificate, diploma au shahada zingine. Wala hauhitaji hesabu au science nyingine kujua kuwa hafai, haiwezekani anatumia pesa nyingi hivi kutaka kuwa rais. Na kwa taarifa yako, huyu hata sisiemu hakatizi. Mtamremba sana na kukisi mapvumbu yake, ila hamna kitu. Sidhani kama sisiemu ni wapumbavu kama wewe na team yako.
Kijana umeona sasa madhara ya kukabidhi akili kwa mbowe?
 
Back
Top Bottom