Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mkakati: Lowassa kuhamia UKAWA

Mtoa mada umeongelea Lowassa 'kugawa pesa kama njugu' ili awe rais. Nakukumbusha kuwa UKAWA haihitaji mgombea mwenye sifa kama hiyo! Na siyo mgombea tu, bali haihitaji hata mwanachama wa kawaida tu kuwa na hiyo sifa ya kutoa rushwa.
Mambo?
 
ukiona mtu anamsifu mtu mchafu kama Lowassa ujue yeye ni mchafu zaidi raisi ajaye chaguo la watanzania ni DR Slaa pekee yake hana skendo za wizi kama ccm
Mambo?
 
Uzi huu una uhusiano upi na mimi kumshutumu Lipumba? Kwa taarifa yako kwangu mimi Lowassa bado ni fisadi tu ingekuwa ni amri yangu asingekaribishwa CHADEMA. Acha kukurupuka na kuhitimisha jambo usilolijua. Kitu kama hukijui uliza kwanza badala ya KUKURUPUKA.

Huyo BAK sasa hivi anamshutumu Lipumba.

Kweli nyani haoni kalio lake
 
Back
Top Bottom