scientist_tz
JF-Expert Member
- Dec 28, 2017
- 605
- 900
Daaah aiseee
anayumba sana...hatufai kwenye safari ya Tanzania tunayoitaka.Dada Erythrocyte vipi umeshatoka UKAWA??? Hahahahahaaa!!! Huaminiki dada!!
natumai uko na msimamo huu mpaka leoLowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
mkuu bado upo ukawa?Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Mkuu hawezi kukujibu anachungulia tu na kutimka!! Anaona aibu ile mbaya!! Erythrocyte unaitwa huku???mkuu bado upo ukawa?
Kweli mabadiliko ya lowasa yaliwabadili wengi. Ukisoma post za huyu kipindi kile hutaamini kama ndiye huyuhuyu leo.kukwagua gwaride hataweza .Lowasa akishinda uraisi ntatembea uchi dar-moro
Unachoandika hapa kitabaki milele. Daima simama na ukweli uache alama nzuri.Kweli mabadiliko ya lowasa yaliwabadili wengi. Ukisoma post za huyu kipindi kile hutaamini kama ndiye huyuhuyu leo.