BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,283
Usikurupuke na kuandika jambo ambalo halipo, hebu weka ushahidi wa pale ambapo nilimeza maneno yangu. Lowassa kwangu mimi bado ni fisadi na hakustahili kukaribishwa CHADEMA.
Hadi wewe!!!
Hata hivo una roho ngumu mkuu, kama ulijikaza ukameza maneno yako!!