njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,258
- 7,101
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Mkuu bado upo UKAWA au umetoka?
Hehehehe!
Lowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
kapige mswaki kaka maana inaonekana ulikuwa usingizi..
unadhani ukawa ni kwepesi kivile?..
akijiloga akaingia tu ataambiwa akagombee udiwani ili wampime imani km kweli ni kamanda
Upo wewe mnafiki.. Umeshasahu... Au na wewe ulinunuliwaLowasa akija UKAWA mimi natoka , amechafuka , hana na wala hajawahi kuwa na fikra mpya , ndio maana hadi leo anaamini kwamba rushwa itampeleka ikulu .
Vp ulipewa kitengoDu!, naisubirieje hiyo move!, just imagine, Pasco wa JF, akabidhiwe kitengo cha mawasiano cha UKAWA, Ukawa itapaaje?!.
Merry X-Mass.
Pasco
Wenye chama waliamua ukabaki macho kodooUKAWA hatuwezi kumpokea mtu mchafu kama Lowassa
Nazani kura ulimpa JPMUkawa wakimpokea lowassa ntaipigia kura ccm
Kakaribishwa na wenye chama na wewe sasa unapiga vigelegeleUtadhani ulikuwa kichwani mwangu Mkuu, hakuna sababu yoyote ya huyu fisadi kukaribishwa UKAWA.
Waliitwa ccm B kwavibwagizo kabambeeeHii thrend inaleteleza kichefuchefuu zaidiiiii wakijifungua 2020 watarudii kuijadlii,, saiz wamehamia kwa maliim self cuf,,, wakisahau wawaita ccm B huuu mchezo uhunii kibao
Hii thread inahamasisha uchochezi dhidi ya makamanda mods ondoa hii kitu,wanatusingizia!
Yupo na sasa unapiga vigelegeleUKAWA ya wapi,hatutaki majizi sisi
Kosa la kipumbavu limefanywa na sasa unapiga vigelegeleUKAWA hakuna nafasi ya mafisadi aende zake huko. UKAWA hawawezi kufanya makosa ya kipumbavu ya kumkaribisha huyu fisadi.
Ukiona Post yako hii.. [HASHTAG]#lazimaUkodoe[/HASHTAG]UKAWA si kimbilio la wahalifu .
Mnafiki kweli....ila cha ajabu eti na yy anamshangaa Lipumba.Upo wewe mnafiki.. Umeshasahu... Au na wewe ulinunuliwa
Makamanda kokoHii thread inahamasisha uchochezi dhidi ya makamanda mods ondoa hii kitu,wanatusingizia!
Wapiga kura walijatambua wakampigia jpmWapiga kura wanaojitambua na wenye mapenzi ya kweli na Tanzania kamwe hawawezi kupoteza kura zao kwa huyu fisadi mgawa rushwa katika nyumba za ibada.
Huyo BAK sasa hivi anamshutumu Lipumba.Kakaribishwa na wenye chama na wewe sasa unapiga vigelegele
Makamanda walikua wanaandika ila hawakujua Mbowe anawaza niniHeshima yako mkuu kama tulikuwa na wazo moja ccm wanafikiri Ukawa tuna nafasi ya kupokea watu wachafu labda akitoka ccm akaungane na kile chama cha wasaliti wenzake Act alishakaribishwa mapema.