ni kweli kabla hujafa hujaumbika hata mm naelewa nina kasoro kadha wa kadha lakini bado haijanitoa kua kiumbe mbaya vivo hivo kwako na wengineo, unisamehe mana nilifikiri ndivo sivoHapana Madame S huwa naepuka sana kusema binadamu mwenzangu kwamba ni mbaya au kucheka/kudharau kilema kwani kabla hujafa hujaumbika.
🤣🤣🤣tafadhali sana,naomba niwekee hapa picha ya Mbwaa.ana Samaaataaa kisha nitakuja kucomment
😂😂😂 watu wachokozi...
Wewe ni Miss JFUjinga ulioje.
Mwanamke anafanya kila njia ili akajiuze mwili wake. Na watu wanasifia!
Usijal ndugu yangu
umenena vema mkuu bora angeiba picha ya komandoo jide a. k. a jaydee
Siku ya kiama.usipokua kwenye list ya waenda peponi,nitakutukana sanaUjinga ulioje.
Mwanamke anafanya kila njia ili akajiuze mwili wake. Na watu wanasifia!
Vigezo vya kwenda peponi vipi wazi kabisa, havina utata.Siku ya kiama.usipokua kwenye list ya waenda peponi,nitakutukana sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Nioneshe ujumbe wangu umekukera wapi?
Kesho umauti tu. Hujuwi kuwa tunatembea na umauti?
Na ujumbe wangu ndiyo huo, wacheni kuuza miili yenu kwa kujianika kustarehesha wengine.
Kwa hiyo kifo ndiyo kinachokuogofya, hiyo ni nature,uwe muuza mwili au mvaa kilemba lazima utakufa tuu, cha msingi ni kuheshimiana katika maamuzi ya kila mmoja wetu. Maisha hayana kanuni, ipo siku na wewe tutakukuta unaimba taarabu nusu uchi kwa hiyo tukukashifu?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni tafsiri yako pekee, wanaojiuza hutia juhudi tofautiUjinga ulioje.
Mwanamke anafanya kila njia ili akajiuze mwili wake. Na watu wanasifia!
We punguani kweli kweli, umeona neno kuogofya au kuogopa kwenye uzi wangu?
Nnachokiogopa ni Allah pekee.
Nnawausia nafsi zenu kama nnavyoiusia nafsi yangu. Nnawaamrisha mema na kuwakataza maovu kama nnavyojiamrisha nafsi yangu.
Ukiona wapi Taarab ikaimbwa nusu uchi? Mfano wako wamkijinga kabisa kabisa kabisa kwa kuwa tu unatetea ushetani basi unashindwa hata kuchagua la kuongea.
Kwa hiyo kama siyajuwi ya kesho basi ndiyo hata mnapofanya ufisadi wa kiwango cha kuuza miili yenu tukae kimya?
Hakika mtumwa hajifichi. Walikuwa wakiuzwa uchi babu na bibi zako utumwani ukisoma historia unachukia, leo wewe mwenyewe wanauzwa dada zako unashangilia na kuona starehe, ajabu kubwa sana hii.