Fideliiiz
JF-Expert Member
- Dec 23, 2016
- 632
- 407
Kula likeUnakusaidia nini? Mwanamme akiona mwanamke mzuri huwa anaondoa stress. Ndio maana mtu akuona mwanamke mzuri lazima ageuke aone na maungo ya nyuma. Ukitoka asubuhi kama mtu wa kwanza kukutana nae ni mwanamke mzuri hata huko uendako kutakua na mafanikio mazuri na roho yako inakua kwatu siku nzima. Tofauti na ukikutana na kizuka sura mbaya pretender aliyefishwa ma baibui meusi.
Sent using Jamii Forums mobile app