Mji gani mzuri kati ya Lindi na Singida?

Mji gani mzuri kati ya Lindi na Singida?

Unaweza ukaishi kwa wajanja/kwa kijanja ukawa kapuku tu huna lolote mwenzio anaishi huko kwa kishamba katoboa life..
Ni kweli, ukiwa boya au ukikosa mtaji, ila kukaa mahali penye wajanja wengi:

-Kunachangamsha,

-Kunafungua akili

-Kuna kuoneshana fursa

-Kuna soko

-Kuna ushindani wa kibiashara

-Kuna barabara nzuri.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lindi ina wilaya sita....

Kilwa
Liwale
Nachingwea
Rwangwa
Lindi mjini
Lindi vijijini
.....

Ndani ya wilaya ya kilwa Kuna makabila mawili kama sio matatu
Wamatumbi.. Kilwa kaskazini pamoja na wangindo
Kilwa kusini wapo wasiojua kabila lao[emoji23]

Liwale Kuna wangindo pia
Rwangwa Kuna wamwera
Nachingwea Kuna wamwera
Lindi mjini wamwera
Lindi vijijini wamwera
Wamakonde wa pwani,wamachinga wa mchinga pia wamejaa kibao
 
Singida ipi unaizungumzia!!!!Apo kwa nyokaa na viunga vyake ndo yakufananisha na Moshi futa iyo kauli upesi
Hii nyokaa inakusumbua sana.
Nilikwambia wewe ni masikini huna fwedha! Wenyeji wakikusikia eti unapazungumzia hapo na kutoa taswira ya mji mzima sijui wanakuonaje.
 
Wanyaturu wabahili sana, kufanya biashara singida yataka moyo na gharama za maisha zipo juu, sijui lindi maana sijawahi fika huko pia mtwara na kigoma ila mikoa mingine nafahamu.
Jamaa acha hizo singida kuzuru na gharama za majsha Niko chini vyakuoa tele na pia Lindi si pabaya ila mamwinyi kibao wanaomiliku biashara kwa mjasiliamali ujipange maana na mambo ya uswahili Kama yote
 
Jamaa acha hizo singida kuzuru na gharama za majsha Niko chini vyakuoa tele na pia Lindi si pabaya ila mamwinyi kibao wanaomiliku biashara kwa mjasiliamali ujipange maana na mambo ya uswahili Kama yote
Mamwinyi wanaleta changamoto ipi kwa wajasiriamali.. Tupange kidogo
 
Nenda singida Lindi nimekaa miaka 2 Ruangwa na lindi mjini, Nachingwea pia niliwai kukaa mpk kilwa nishafika Kusini hakuna kitu zaidi ya Majungu, Uchawi unafiki uku gharama za Maisha zikiwa juu
Uwezi fanya biashara au kitu extra kuna ukabila sana , na figisu za kipumbavu asee
Nakuoa mfano kuna hotel inaitwa Nangurukuru ina miaka mingi sana inahuduma mbovu sana ila hakuna mtu wakupambana nae kwa kufungua hotel nyingine na ata wajasiliamali wadogo wakifungua biashara wanasumbuliwa sana
Kuna gari moja linaitwa Mashaalah linaenda Kilwa sio kwamba hakuna magari yakwenda uko ila jaribu kwenda utakufa kwa majungu na ushirikina nenda singida utafanya maisha mazuri sana asee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii miji ilikua nyuma sn ezi za Nyerere,Mwinyi na Mkapa lkn hivi karibuni mambo sio kama zamani bara bara, fulsa na miundo mbinu mingine...mingi.Je upi mji mzuri wenye fulsa nyingi..ns ni mzuti kwa kuishi


Definitely Mtwara, Singida bado kumelala sana haswa ukizingatia wameweka sana dini mbele isiyowasaidia chochote maishani na wananchi wake wengi hawajasoma bali wamekariri tu dini vichwani.
 
Definitely Mtwara, Singida bado kumelala sana haswa ukizingatia wameweka sana dini mbele isiyowasaidia chochote maishani na wananchi wake wengi hawajasoma bali wamekariri tu dini vichwani.

Unaijua vzr Lindi au Mtwara mkuu?
Sasa kama Elimu , udini, Majungu ndipo kwao hali duni watu wanabagua kazi yani mpk vibarua wanasafirishwa kutoka mikoani uko ndo kwa mamwinyi tafuta wafanyakazi wa taasisi zilizopo uko watakwambia zinafungwa sana kwa kukosa muitikio
Nambie Lindi kuna chuo gani au College gani kubwa unayoijua ?
Viwango vya elimu je , kama uwa awashiki mkia miaka yote


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Unaijua vzr Lindi au Mtwara mkuu?
Sasa kama Elimu , udini, Majungu ndipo kwao hali duni watu wanabagua kazi yani mpk vibarua wanasafirishwa kutoka mikoani uko ndo kwa mamwinyi tafuta wafanyakazi wa taasisi zilizopo uko watakwambia zinafungwa sana kwa kukosa muitikio
Nambie Lindi kuna chuo gani au College gani kubwa unayoijua ?
Viwango vya elimu je , kama uwa awashiki mkia miaka yote


Sent from my iPhone using JamiiForums


Ile ilikuwa zamani mkuu, si miaka ya hivi karibuni. Ni kweli Uislam na umwinyi ndiyo ilifanya ile mikoa kukosa maendeleo, watu (nduguze FaizaFoxy) hawakutaka shule bali misikiti tu ambayo ilikuwa haina faida maishani mwao.
 
Ile ilikuwa zamani mkuu, si miaka ya hivi karibuni. Ni kweli Uislam na umwinyi ndiyo ilifanya ile mikoa kukosa maendeleo, watu (nduguze FaizaFoxy) hawakutaka shule bali misikiti tu ambayo ilikuwa haina faida maishani mwao.
Shule zimekuja kukujaza ujinga kuwa huwezi kufanya kitu bila mzungu. Toa "z" kwenye mzungu uone jinsi ulivyofanywa bwege.

Soma maana ya madrassa ni nini.
 
Lindi ni mji wa Kisultani. Kibiashara hauko vizuri ila totoz pale ni balaa! Makombo ya kiarabu sijui...watoto wazuri. Maisha ya Lindi pia ni rahisi, ndiyo maana ukioa mtoto wa Lindi ukampeleka bara, atajigombanisha tu ili arudi kwao akale tambi, pweza, ngisi, madafu, wali wa nazi, vibua, Bagia, kalimati na kuattend vigodoro.

Mkuuu hiii historian ya kuwa kuna watoto wa kiarabu umeipata wapi,wamejaaa wamakonde watupu Pale.
 
Screenshot_20200420-165511_Samsung Internet.jpg

Singida inawekewa mataa kwa sasa nadhani jibu limepatikana
 
Back
Top Bottom