Magna Carta
JF-Expert Member
- Jul 14, 2014
- 4,348
- 6,671
Manispaa ya Singida ni mji mzuri sana kuliko hata manispaa ya Temeke
Suuza ulimi wako wwManispaa ya Singida ni mji mzuri sana kuliko hata manispaa ya Temeke
Suuza ulimi wako ww
Uko serious kweli??Bisha kwa fact ninakwambia kwa mandhari nzuri Singida wapo juu kuliko Temeke
Uko serious kweli??
Wekeni picha tucompare sisi wadau.Ndio wapi huko
Hahahahahahahah jamani umetusingizia wamatumbi.... Lindi wapo wamwerakijographia mji wa lindi upo vizuri sana kwasababu upo jirani sana na bahari. bahari ni kiungo muhimu ktk uwekezaji wa biashara ya utalii.
shida ya mji wa lindi ni umwinyi usio wa kawaida. tabia za umwinyi na uswahili zimetamalaki sana lindi kiasi cha kuwaogopesha hata wageni wahamiaji wanaotaka kuwekeza ndani ya mji ule.
ni jambo la kawaida kawaona vijana kwa wazee wakicheza mchezo wa bao vibarazani mida ambayo walitakiwa waitumie ktk uzalishaji mali.
nasikia huwezi kujenga jengo zuri ndani ya mji wa lindi bila kuwaona wazee wa kimatumbi. usipofanya hivyo jengo lako halifiki hata ghorofa moja. hiyo ndiyo lindi.
Lindi sio pazuuri ninachokipenda Lindi ni zile barabara za lami mpaka vichochoroni na bahari tuLindi bana acheni masiharaa...
Paris of Africa according to mzungu enzi zilee
Lindi life yake ni rahisi kimtindo, hayo mengine unayoambiwa hapa changanya na zako
Unakumbuka takwimu za TACAIDS Lindi ndo mkoa pekee Tz bara kuwa na % ndogo ya maambukizi ya HIV
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Tatizo la singida ushamba mwingi,kuna kajamaa kanamiliki kagloclery mitaa ya stendi kuu( ukitoka lango la stendi kuu upande wa kushoto) na kagari kake toyota mark11, full "mashauzi", kaglocery kenyewe kadogo utadhani choo cha apa kwangu.
Kiufupi acheni kufananisha Lindi na vitu vya kijinga.
naomba unielimishe, wazawa/wenyeji wa mji lindi ni nani?. maana mimi siku zote najua ni wamatumbi.Hahahahahahahah jamani umetusingizia wamatumbi.... Lindi wapo wamwera
Lindi ina wilaya sita....naomba unielimishe, wazawa/wenyeji wa mji lindi ni nani?. maana mimi siku zote najua ni wamatumbi.
Umenichoma mkuki wa moyoLindi ni mji wa Kisultani. Kibiashara hauko vizuri ila totoz pale ni balaa! Makombo ya kiarabu sijui...watoto wazuri. Maisha ya Lindi pia ni rahisi, ndiyo maana ukioa mtoto wa Lindi ukampeleka bara, atajigombanisha tu ili arudi kwao akale tambi, pweza, ngisi, madafu, wali wa nazi, vibua, Bagia, kalimati na kuattend vigodoro.
Siyo Kigoma ?Lindi bana acheni masiharaa...
Paris of Africa according to mzungu enzi zilee
Lindi life yake ni rahisi kimtindo, hayo mengine unayoambiwa hapa changanya na zako
Unakumbuka takwimu za TACAIDS Lindi ndo mkoa pekee Tz bara kuwa na % ndogo ya maambukizi ya HIV
Ha ha haTatizo la singida ushamba mwingi,kuna kajamaa kanamiliki kagloclery mitaa ya stendi kuu( ukitoka lango la stendi kuu upande wa kushoto) na kagari kake toyota mark11, full "mashauzi", kaglocery kenyewe kadogo utadhani choo cha apa kwangu.
Kiufupi acheni kufananisha Lindi na vitu vya kijinga.
Manispaa ya Singida ni mji mzuri sana kuliko hata manispaa ya Temeke
Kupata utani km huu tena nibonyeze ngapi[emoji3]
Kupata utani km huu tena nibonyeze ngapi[emoji3]