Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 55,087
- 54,310
Support ya kapicha kidogo cha mwanamke wa LindiMji wa lindi ni kama kata tu...dk 5 ushaumaliza mji mzima...ila watoto wa kike ndio wazuri balaa...
Support ya kapicha kidogo cha mwanamke wa LindiMji wa lindi ni kama kata tu...dk 5 ushaumaliza mji mzima...ila watoto wa kike ndio wazuri balaa...
[emoji3]nitakuoa tuMie sio mrangi Mkuu
Kiruuuuu umedhamiria kunioa eti, basi fanya nipe kabisaa mahari nianze kula[emoji3]nitakuoa tu
[emoji3][emoji3]njoo pm mremboKiruuuuu umedhamiria kunioa eti, basi fanya nipe kabisaa mahari nianze kula
Wivuuuuuuuuuuuuuuuu, toa wivu ukizidi sana dalili ya kuwa mchawiiiiWivu gani,kwa takataka kama Singida
Tatizo la singida ushamba mwingi,kuna kajamaa kanamiliki kagloclery mitaa ya stendi kuu( ukitoka lango la stendi kuu upande wa kushoto) na kagari kake toyota mark11, full "mashauzi", kaglocery kenyewe kadogo utadhani choo cha apa kwangu.
Kiufupi acheni kufananisha Lindi na vitu vya kijinga.
samahani upo singida ip? Na je nauli kutoka dar ni kiasi gani? Na je naweza nikawa mwenyeji wako?Singida kwetu kuzuri no matter what
[emoji16][emoji16]umemind sana mtoto mzuri wa kinyaturu eehh..
Nataka Kwenda singida natafuta mwenyeji tafadhali kama yupo tuwasiliane , nimependa sana sifa za mji wa singida za humu.
UwiiiYa mkeka
Naomba niongozane na wewe kama hautojali maana ni mara yangu ya kwanza. Ila mimi utaniacha huko. nataka nikaangalie maisha huko. NakuPMMi naishi dar ila kwa sasa naendesha maisha yanguwa 70% nategemea singida ,napata kazi sana Singida na nafanya kilimo hivi jumatatu ijayo naenda wilaya ya Iramba
Sema nini, Lindi mji mdogo sana, na wa kimwinyi.Lindi bana acheni masiharaa...
Paris of Africa according to mzungu enzi zilee
Lindi life yake ni rahisi kimtindo, hayo mengine unayoambiwa hapa changanya na zako
Unakumbuka takwimu za TACAIDS Lindi ndo mkoa pekee Tz bara kuwa na % ndogo ya maambukizi ya HIV
Miji yote ni mizuri kuishi,kikubwa ni fursa ya aina gani unayotaka kutumia ndio inaleta maamuzi ni mkoa gani sahihi kwako kuishi.Hii miji ilikua nyuma sn ezi za Nyerere,Mwinyi na Mkapa lkn hivi karibuni mambo sio kama zamani bara bara, fulsa na miundo mbinu mingine...mingi.Je upi mji mzuri wenye fulsa nyingi..ns ni mzuti kwa kuishi
Nilienda lindi kwa safari ya wiki mbili lakini ilibidi nitumie siku nne tu
Very boaring centre watu washamba kimji cha kishamba pmj na kuwa kipo karibu na bahari
Unaweza ukaishi kwa wajanja/kwa kijanja ukawa kapuku tu huna lolote mwenzio anaishi huko kwa kishamba katoboa life..Fulsa - Fursa
Kote huko pa kishamba shamba tu!