Lindi ndio kunaboa zaidi, kumekaa kishamba sanaWanyaturu wabahili sana, kufanya biashara singida yataka moyo na gharama za maisha zipo juu, sijui lindi maana sijawahi fika huko pia mtwara na kigoma ila mikoa mingine nafahamu.
Lindi ni zaidi, mji umejaa maulamaa, mji mzima una Pub 4 na zote zimekaa sehemu mojaSingida is like hub fulani kibiashara pale
Nadhani kwa sababu kuna watu wachache sana. Yaani mjini kati kumepooooa!!Lindi bana acheni masiharaa...
Paris of Africa according to mzungu enzi zilee
Lindi life yake ni rahisi kimtindo, hayo mengine unayoambiwa hapa changanya na zako
Unakumbuka takwimu za TACAIDS Lindi ndo mkoa pekee Tz bara kuwa na % ndogo ya maambukizi ya HIV
Asee hata mm palinishinda. Nilikuwa nalala mtwara then asubui najidamkia Lindi kwa wiki nzima.Nilienda lindi kwa safari ya wiki mbili lakini ilibidi nitumie siku nne tu
Very boaring centre watu washamba kimji cha kishamba pmj na kuwa kipo karibu na bahari
Wanyaturu wabahili sana, kufanya biashara singida yataka moyo na gharama za maisha zipo juu, sijui lindi maana sijawahi fika huko pia mtwara na kigoma ila mikoa mingine nafahamu.
Na bila shaka inawezekana hakuna muingiliano wa watu tofauti tofauti kiasi kwamba hata mgeni akiingia leo ashafahamika kata nzimaNadhani kwa sababu kuna watu wachache sana. Yaani mjini kati kumepooooa!!