Mji gani mzuri kati ya Lindi na Singida?

Mji gani mzuri kati ya Lindi na Singida?

Kama huijui Singida, funga domo...... Sio unaropoka tu unayoyasikia bila kufanyia utafiti, aliyekuambia sky way ipo karibu na geti la stand nani?
acha ufala basi mwanaume mweupe mzuri wa singida
 
umemind sana mtoto mzuri wa kinyaturu eehh..
Kama huijui Singida, funga domo...... Sio unaropoka tu unayoyasikia bila kufanyia utafiti, aliyekuambia sky way ipo karibu na geti la stand nani?
 
Hii miji ilikua nyuma sn ezi za Nyerere,Mwinyi na Mkapa lkn hivi karibuni mambo sio kama zamani bara bara, fulsa na miundo mbinu mingine...mingi.Je upi mji mzuri wenye fulsa nyingi..ns ni mzuti kwa kuishi
Kati ya Lindi na Singida bora Mbeya mkuu
 
Jamani huu uzi tunakoelekea watu watadundana haaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaaaa wivu wa kimaendeleo lkn lindi hamna kitu bora singda ukapate hata mke wa bure mkali acha
 
Lindi uko karibu na jiji la Dar es salaam ambapo ni mji wa biashara..na ukiangalia Singida vile ni mji ulio karibu na jiji jipya Dom ambapo ni makao makuu ya nchi
 
Hizo zote mjini ila makao makuu ya manispaa ni Chang'ombe.....itakuwa mshamba mmoja uliyepita na mbio za mwenge.....Dar ya sasa mtu hasemi anaenda mjini...mtu anasema anaenda kariakoo au posta nk...hayo mambo mnayo nyie wa NDUGUTI huko
Halafu matajiri wabaguzi sana wakitaka kujenga migorofa mirefu wanaenda Ilala na Kino ingawa unasema kote ni mjini yani huko Temeke Uswahili mwingi kama Lindi bahati yenu aliyeamua kwa Mchina pajengwe pale sijui mngejivunia nini
 
Aaaah ninja afadhali Musoma kuna kamtaa kanaitwa Nyakato kanavutia wakurya wamejitambua Ugali unauzwa kila sehemu watu hawakai kindezi tena ila Lindi sijui wana nini wale watu kazi hawafanyi ni majungu na uchawi tu
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Halafu matajiri wabaguzi sana wakitaka kujenga migorofa mirefu wanaenda Ilala na Kino ingawa unasema kote ni mjini yani huko Temeke Uswahili mwingi kama Lindi bahati yenu aliyeamua kwa Mchina pajengwe pale sijui mngejivunia nini
Uwanja Wa Ndege upo kwa bibi yako
 
Singida sikushauri kifupi Ni mji ambao mzunguko wake wa hela ni mdogo,,vitu Ni bei chini na huduma Kama maji Safi "namanisha yasiyo na chumvi" Ni tabu Kama hujazowea maji hayo na hakika bajeti yako yote itaishia kununua maji ya kunywa
 
Lindi ni mji wa Kisultani. Kibiashara hauko vizuri ila totoz pale ni balaa! Makombo ya kiarabu sijui...watoto wazuri. Maisha ya Lindi pia ni rahisi, ndiyo maana ukioa mtoto wa Lindi ukampeleka bara, atajigombanisha tu ili arudi kwao akale tambi, pweza, ngisi, madafu, wali wa nazi, vibua, Bagia, kalimati na kuattend vigodoro.
Duh...waarabu wa ng'apa hao masalia😂
 
Back
Top Bottom