Mjadala wa nani zaidi kati ya Messi na CR7 wafungwa rasmi kibabe: Inahitaji mtu awe na kinasaba cha ubishi kuendeleza mjadala huo!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
13,664
18,039
Mechi ya jana ya fainali kati ya Argentina na Ufaransa pamoja na kutoa jibu ni nani atakayetwaa kombe la dunia mwaka huu, ilitoa jibu pia ni nani zaidi kati ya Messi na Christiano Ronaldo.

Nikiri kwamba mimi ni timu CR7 lakini nimenyoosha mikono!! Messi ni zaidi ya kuwa zaidi! Wenye vinasaba vya ubishi endeleeni mimi simo!
 
20221210_220635.jpg
 
Kama kuna mtu aliumia sana jana ni CR7!

Hana namna ya kuifikia rekodi ya Messi ya kuongoza nchi yake kubeba kombe la dunia, ukizingatia kuwa keshaanza kupoteza namba kwenye first eleven ya Ureno na ni majaliwa kuwaza kuwa ataweza kushiriki fainali za kombe la dunia za 2026!
 
Mjadala huu ungeisha vizuri.. kama ronaldo na yeye angekuwa amepewa penalty katika mechi zote za mtoano.

Kila mechi ureno angekuwa anapewa goli moja la penalty.

Maana argentina kila mechi alikuwa anapewa penalty.

Ukicheza na argentina ujue kabisa upo nyuma moja bila. Maana goli la penalty lazima apewe..

Ronaldo nae angepata hii advantage mjadala ungekuwa umeisha..

Ila mjadala hauwezi kuisha kwa mmoja kubebwa na ma refaree na Fifa. Huku mwingine hajabebwa.

Ili mjadala uishe ronaldo na yeye apewe penalty 6. Katika mechi 6 tofauti tofauti . Maana mwenzake kapewa penalty 6 katika mechi tofauti tofauti ndani ya dakika 90.
 
Mjadala huu ungeisha vizuri.. kama ronaldo na yeye angekuwa amepewa penalty katika mechi zote za mtoano.

Kila mechi ureno angekuwa anapewa goli moja la penalty.

Maana argentina kila mechi alikuwa anapewa penalty.

Ukicheza na argentina ujue kabisa upo nyuma moja bila. Maana goli la penalty lazima apewe..

Ronaldo nae angepata hii advantage mjadala ungekuwa umeisha..

Ila mjadala hauwezi kuisha kwa mmoja kubebwa na ma refaree na Fifa. Huku mwingine hajabebwa.

Ili mjadala uishe ronaldo na yeye apewe penalty 6. Katika mechi 6 tofauti tofauti . Maana mwenzake kapewa penalty 6 katika mechi tofauti tofauti ndani ya dakika 90.
Mi nilikuja kujua hii world cup ni ya mchongo kwenye lile goli la japan vs Spain na ile penalty ya Argentina dhidi ya Netherlands nikajua hizi VAR ni za mchongo hamna kitu hatimae messi kapewa kombe na wanaojua biashara.
 
Kama kuna mtu aliumia sana jana ni CR7!! Hana namna ya kuifikia rekodi ya Messi ya kuongoza nchi yake kubeba kombe la dunia, ukizingatia kuwa keshaanza kupoteza namba kwenye first eleven ya Ureno na ni majaliwa kuwaza kuwa ataweza kushiriki fainali za kombe la dunia za 2026!!
Kweli kabisa penalty 6 kwenye kila mechi penalty moja hapo kweli Ronaldo hamuwezi messi.
 
Mjadala huu ungeisha vizuri.. kama ronaldo na yeye angekuwa amepewa penalty katika mechi zote za mtoano.

Kila mechi ureno angekuwa anapewa goli moja la penalty.

Maana argentina kila mechi alikuwa anapewa penalty.

Ukicheza na argentina ujue kabisa upo nyuma moja bila. Maana goli la penalty lazima apewe..

Ronaldo nae angepata hii advantage mjadala ungekuwa umeisha..

Ila mjadala hauwezi kuisha kwa mmoja kubebwa na ma refaree na Fifa. Huku mwingine hajabebwa.

Ili mjadala uishe ronaldo na yeye apewe penalty 6. Katika mechi 6 tofauti tofauti . Maana mwenzake kapewa penalty 6 katika mechi tofauti tofauti ndani ya dakika 90.
Kunywa maji mengi mkuu moyo uelee..una makasiriko ya hal ya juu sanaa..yaan kwa mtizamo wako ulita kila penalt ikitokea Mess afanyiwe sub ndo ipigwe
 
Kunywa maji mengi mkuu moyo uelee..una makasiriko ya hal ya juu sanaa..yaan kwa mtizamo wako ulita kila penalt ikitokea Mess afanyiwe sub ndo ipigwe

Makasiriko ya nini.. ronaldo wala messi simjui zaidi ya kumuona kwenye Tv. Sipati faida wala hasara yeyote kutokana na wao.

Watu wapumbavu ndio wanaumizwa na yasiyowapa faida maishani..

Mpira ni burudani.. ni sawa na muziki ama filamu.. haitakiwi kiwe kitu cha kukupa makasiriko.

Makasiriko unapaswa kupata kwenye vitu vinayogusa maisha yako moja kwa moja.. kama familia yako, biashara yako, ajira yako etc.

Mimi nimejibu hoja kiushabiki wa burudani.. wewe unaiweka kwenye makasiriko kama kwamba mpira ni kitu personal cha kumpa mtu hasira
 
Makasiriko ya nini.. ronaldo wala messi simjui zaidi ya kumuona kwenye Tv. Sipati faida wala hasara yeyote kutokana na wao.

Watu wapumbavu ndio wanaumizwa na yasiyowapa faida maishani..

Mpira ni burudani.. ni sawa na muziki ama filamu.. haitakiwi kiwe kitu cha kukupa makasiriko.

Makasiriko unapaswa kupata kwenye vitu vinayogusa maisha yako moja kwa moja.. kama familia yako, biashara yako, ajira yako etc.

Mimi nimejibu hoja kiushabiki wa burudani.. wewe unaiweka kwenye makasiriko kama kwamba mpira ni kitu personal cha kumpa mtu hasira
Soma ulichoandika afu ujitathimin kama umeandika kishabik au kimihemko
 
Umefungwa mtu hata nusu fainal kombe la dunia hajawahi kufika
 
Mjadala huu ungeisha vizuri.. kama ronaldo na yeye angekuwa amepewa penalty katika mechi zote za mtoano.

Kila mechi ureno angekuwa anapewa goli moja la penalty.

Maana argentina kila mechi alikuwa anapewa penalty.

Ukicheza na argentina ujue kabisa upo nyuma moja bila. Maana goli la penalty lazima apewe..

Ronaldo nae angepata hii advantage mjadala ungekuwa umeisha..

Ila mjadala hauwezi kuisha kwa mmoja kubebwa na ma refaree na Fifa. Huku mwingine hajabebwa.

Ili mjadala uishe ronaldo na yeye apewe penalty 6. Katika mechi 6 tofauti tofauti . Maana mwenzake kapewa penalty 6 katika mechi tofauti tofauti ndani ya dakika 90.
Officer wa FIFA akimbeba messi
IMG_20221218_230228.jpg
 
Mechi ya jana ya fainali kati ya Argentina na Ufaransa pamoja na kutoa jibu ni nani atakayetwaa kombe la dunia mwaka huu, ilitoa jibu pia ni nani zaidi kati ya Messi na Christiano Ronaldo.

Nikiri kwamba mimi ni timu CR7 lakini nimenyoosha mikono!! Messi ni zaidi ya kuwa zaidi! Wenye vinasaba vya ubishi endeleeni mimi simo!
case clossed, now messi yuko level za maradona na pele, mjadala uhamia kati ya mbape na ronaldo nani mkali.. mi naona mbape mkali.. ana skills ana mbio anajua kufunga.
 
Mjadala huu ungeisha vizuri.. kama ronaldo na yeye angekuwa amepewa penalty katika mechi zote za mtoano.

Kila mechi ureno angekuwa anapewa goli moja la penalty.

Maana argentina kila mechi alikuwa anapewa penalty.

Ukicheza na argentina ujue kabisa upo nyuma moja bila. Maana goli la penalty lazima apewe..

Ronaldo nae angepata hii advantage mjadala ungekuwa umeisha..

Ila mjadala hauwezi kuisha kwa mmoja kubebwa na ma refaree na Fifa. Huku mwingine hajabebwa.

Ili mjadala uishe ronaldo na yeye apewe penalty 6. Katika mechi 6 tofauti tofauti . Maana mwenzake kapewa penalty 6 katika mechi tofauti tofauti ndani ya dakika 90.

Ile match ya kwanza na ghana lile goli alilofunga benchnaldo ilikua ni faulo??
 
Mjadala huu ungeisha vizuri.. kama ronaldo na yeye angekuwa amepewa penalty katika mechi zote za mtoano.

Kila mechi ureno angekuwa anapewa goli moja la penalty.

Maana argentina kila mechi alikuwa anapewa penalty.

Ukicheza na argentina ujue kabisa upo nyuma moja bila. Maana goli la penalty lazima apewe..

Ronaldo nae angepata hii advantage mjadala ungekuwa umeisha..

Ila mjadala hauwezi kuisha kwa mmoja kubebwa na ma refaree na Fifa. Huku mwingine hajabebwa.

Ili mjadala uishe ronaldo na yeye apewe penalty 6. Katika mechi 6 tofauti tofauti . Maana mwenzake kapewa penalty 6 katika mechi tofauti tofauti ndani ya dakika 90.
Mwana umepost hii comment tangu December 19, 2022 lakini mpaka wa leo hamna Mwana aliye like comment yako hii, tatizo nini?
 
Back
Top Bottom