Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 339
- 457
Habari ya Jumapili waungwana!
Nimekuwa nikitafakari saana na ukisoma baadhi ya maandiko ya afya, uchumi na wanasaikolojia wote wanazungumzia LIFE EXPECTANCY YA MWANAUME YAANI kiwango cha muda wa kuishi wanaume ni kidogo duuu!!
Ndipo nikarejea katika uhalisia, babu alishakufa bibi yupo, mwalimu Nyerere alishakufa mama Maria yupo, Mgabe, Mkapa, Magufuli, Mobutu, Kulola was EAGT, Mwenisongole wa TAG na wengine humu tuna akina mama baba zetu walishatangulia na wake zao bado wapo nini tatizo kwa wanaume?
Sasa hapa kuna possible answers; NABII MURIRI ANASEMA
Tazama video hapa chini:
1. Wanawake wamekuwa sumu kwa wanaume, utakuta mwanaume yupo na majukumu mengi stress's za kazini, biashara haiendi, mikopo hailipiki, ada za watoto, kukatwa mshahara kazini, kufokea na bosi unarudi nyumbani ukitegemea faraja ipo nyumbani, ndiyo kwanza mke anasimamia kucha anakuchamba, kelele nyingi, umri hupunguzwa saana na stress.
Lakini pia mwanaume anapokuwa na hasira muda mrefu kuna sumu inamwagika mwilini na hii ndiyo inatuuwa ama kuzeeka kabla ya umri halisi wa kuzeeka.
2. KUFANYA MAPENZI
Katika tendo la ndoa mwanaume anatumia nguvu nyingi saana kuliko mwanamke, wakati wa tendo lenyewe na wakati wa Ejaculation,(kumwaga) mfana wadudu kama nyuki hufaa baada ya tendo, na wanyama wengine pia maisha yao ni mafupi kutokana na mapenzi just my views.
3. Kazi ngumu bila kupumzika kwa wastani mwanaume anapaswa kufanyakazi kwa saa nane (8) na kula pia wastani wa saa nane pia (8).
Sasa tunaji overdose na kazi kutokana na maisha au vitabu vya dini vinasemaje juu ya umri wa mwanaume.
Sasa je, ni kwa nini wanaume tunakufa mapema na kuwaacha wanawake wakiishi?
Mimi nimetoa maoni yangu wewe je, nini tatizo?
Nimekuwa nikitafakari saana na ukisoma baadhi ya maandiko ya afya, uchumi na wanasaikolojia wote wanazungumzia LIFE EXPECTANCY YA MWANAUME YAANI kiwango cha muda wa kuishi wanaume ni kidogo duuu!!
Ndipo nikarejea katika uhalisia, babu alishakufa bibi yupo, mwalimu Nyerere alishakufa mama Maria yupo, Mgabe, Mkapa, Magufuli, Mobutu, Kulola was EAGT, Mwenisongole wa TAG na wengine humu tuna akina mama baba zetu walishatangulia na wake zao bado wapo nini tatizo kwa wanaume?
Sasa hapa kuna possible answers; NABII MURIRI ANASEMA
Tazama video hapa chini:
1. Wanawake wamekuwa sumu kwa wanaume, utakuta mwanaume yupo na majukumu mengi stress's za kazini, biashara haiendi, mikopo hailipiki, ada za watoto, kukatwa mshahara kazini, kufokea na bosi unarudi nyumbani ukitegemea faraja ipo nyumbani, ndiyo kwanza mke anasimamia kucha anakuchamba, kelele nyingi, umri hupunguzwa saana na stress.
Lakini pia mwanaume anapokuwa na hasira muda mrefu kuna sumu inamwagika mwilini na hii ndiyo inatuuwa ama kuzeeka kabla ya umri halisi wa kuzeeka.
2. KUFANYA MAPENZI
Katika tendo la ndoa mwanaume anatumia nguvu nyingi saana kuliko mwanamke, wakati wa tendo lenyewe na wakati wa Ejaculation,(kumwaga) mfana wadudu kama nyuki hufaa baada ya tendo, na wanyama wengine pia maisha yao ni mafupi kutokana na mapenzi just my views.
3. Kazi ngumu bila kupumzika kwa wastani mwanaume anapaswa kufanyakazi kwa saa nane (8) na kula pia wastani wa saa nane pia (8).
Sasa tunaji overdose na kazi kutokana na maisha au vitabu vya dini vinasemaje juu ya umri wa mwanaume.
Sasa je, ni kwa nini wanaume tunakufa mapema na kuwaacha wanawake wakiishi?
Mimi nimetoa maoni yangu wewe je, nini tatizo?