Sababu za wanaume kuwa wachache kuliko wanawake, na waoaji kuwa wachache

proton pump

JF-Expert Member
Apr 30, 2017
5,353
6,896
Tukiangalia idadi ya wanaume na wanawake, wanawake ndio wengi kuliko wanaume. Sensa ya mwaka 2022 wanaume ni mil 30,353,130
Wanawake mil 31,687,990

Wanaume wanapungua kwa sababu zifuatazo;

Twende kwenye biology mbegu za kiume XY huishi masaa machache wakati utungisho tofauti na ya kike XX ni masaa 72, mfano umefanya sex na mwanamke Leo na siku ya utungisho ni kesho kutwa, mbegu kike ndio zenye uwezo mkubwa wa kupambana hadi siku hio, ili Hali za kiume zitakufa mapema.

Wanaume wengi wanafanya kazi za hatari kuliko wanawake, mfano ujenzi wa maghorofa, minara, jeshi, upolisi,udereva boda, ubaharia, urubani, kubeba magunia, hata wizi na ujambazi, na kazi za migodini pia kwa ajili ya kutunza familia na Mambo mengineyo, ambapo kupoteza uhai ni nje nje.

Wanaume wengi wapo jela kuliko wanawake ambapo kufa ni rahisi kwa sababu ya stress na mengineyo.

Wengi wamekua mashoga, wanatumia madawa ya kulevya kv. Unga, bangi, mirungi, unywaji wa pombe kali hasa gongo na nyinginezo ambapo ni hatari kwa afya.

Wengi ni vichaa mitaani angalia tu utajionea mwenyewe.

Wao ndio wanapoteza nguvu wakati tendo la ndoa kuliko wanawake, mbegu za kiume ndio mfupa kwa mwanaume, ndio damu, ndio uhai wa kiumbe kipya, ndio afya za nywele za mwanaume, afya ya ngozi, pia nguvu za akili, nguvu za mwili, ndio maana wanaume hawashauriwi kufanya mapenzi Sana hasa jeshini, wakati UNAENDA kwenye mashindano kv. Mpira, ngumi, ukipoteza Sana mbegu zako mwili unakua dhaifu. Hivyo ukitoa Sana ni hatari kwa afya. Na ndio wanaongoza kufa kuliko wanawake, ndio maana wajane ni wengi.

Karibu na uweke sababu nyinginezo, Asante
 
Hapa kwenye kuhonga kweli ni hatari hasa kama Hela Yako ni ya kuungaunga, kwa matajiri wanahonga hadi gari
Wanaume malumpeni (mafukara wa kuchakaa) ni wengi kuliko wanawake.

Kwasbb wanawake wengi huepuka ufukara kupitia fedha za kuhongwa.
 
Hizo ndizo KAZI zenyewe za hatari ukiangalia idadi ya wanaume walioisha hapo ni wengi
Ukraine wakati vita inaanza waliambiwa wanawake waondoke wote wabaki tu wanaume hapo unatarajia nini na wanaume wengi walikufa na wanaendelea kufa hvyo hawawezi kuwa wengi kuliko wanawake.
 
1)Kurogwa wakati wa utafutaji.

2)kutoenda hospital kwa wakati wakati wa kuumwa kwa sababu

•kutokuwa muda(kuwa busy)

• fedha zako kutumika( kwa kawaida mke hutibiwa kwa kutumia fedha za mine)

•ishara ya uanaume kuwa sio kila ukiumwa ujitibu,mwili utajitibu.
 
mwanaume anakuwa na maadui wengi katika jamii kutokana na nafasi aliyonayo....mfano ni mimi 90% ya ndugu zangu upande wa baba yangu wote ni maadui zangu na hii ni kutokana na nafasi niliyonayo kwenye familia yangu mimi ndie mtoto wa kiume pekee kati ya watoto 9 wa kike....( mali na urithi wa mzee ni tatizo kuu na ikitokea leo hii nikapata tatizo zaidi ya marafiki nilionao sina pa kukimbilia nitakufa kibudu
 
mwanaume anakuwa na maadui wengi katika jamii kutokana na nafasi aliyonayo....mfano ni mimi 90% ya ndugu zangu upande wa baba yangu wote ni maadui zangu na hii ni kutokana na nafasi niliyonayo kwenye familia yangu mimi ndie mtoto wa kiume pekee kati ya watoto 9 wa kike....( mali na urithi wa mzee ni tatizo kuu na ikitokea leo hii nikapata tatizo zaidi ya marafiki nilionao sina pa kukimbilia nitakufa kibudu
Kuwa makini
 
Tukiangalia idadi ya wanaume na wanawake, wanawake ndio wengi kuliko wanaume. Sensa ya mwaka 2022 wanaume ni mil 30,353,130
Wanawake mil 31,687,990

Wanaume wanapungua kwa sababu zifuatazo;

Twende kwenye biology mbegu za kiume XY huishi masaa machache wakati utungisho tofauti na ya kike XX ni masaa 72, mfano umefanya sex na mwanamke Leo na siku ya utungisho ni kesho kutwa, mbegu kike ndio zenye uwezo mkubwa wa kupambana hadi siku hio, ili Hali za kiume zitakufa mapema.

Wanaume wengi wanafanya kazi za hatari kuliko wanawake, mfano ujenzi wa maghorofa, minara, jeshi, upolisi,udereva boda, ubaharia, urubani, kubeba magunia, hata wizi na ujambazi, na kazi za migodini pia kwa ajili ya kutunza familia na Mambo mengineyo, ambapo kupoteza uhai ni nje nje.

Wanaume wengi wapo jela kuliko wanawake ambapo kufa ni rahisi kwa sababu ya stress na mengineyo.

Wengi wamekua mashoga, wanatumia madawa ya kulevya kv. Unga, bangi, mirungi, unywaji wa pombe kali hasa gongo na nyinginezo ambapo ni hatari kwa afya.

Wengi ni vichaa mitaani angalia tu utajionea mwenyewe.

Wao ndio wanapoteza nguvu wakati tendo la ndoa kuliko wanawake, mbegu za kiume ndio mfupa kwa mwanaume, ndio damu, ndio uhai wa kiumbe kipya, ndio afya za nywele za mwanaume, afya ya ngozi, pia nguvu za akili, nguvu za mwili, ndio maana wanaume hawashauriwi kufanya mapenzi Sana hasa jeshini, wakati UNAENDA kwenye mashindano kv. Mpira, ngumi, ukipoteza Sana mbegu zako mwili unakua dhaifu. Hivyo ukitoa Sana ni hatari kwa afya. Na ndio wanaongoza kufa kuliko wanawake, ndio maana wajane ni wengi.

Karibu na uweke sababu nyinginezo, Asante
Pamoja na manyanyaso ambayo wanaume hufanywia na wanawake.

Kwanza kwenye tendo la ndoa wanaume hunyanyaswa sana kwa kushushwa thamani hadi wajikweze kwa kuhonga pakubwa!

Na kwa maisha mengine, wanaume hupenda kuoa dogodogo na wakishazeeka hulipiziwa visasi na wake zao kwa kumbukumbu za matendo yao ya hovyo kwa maisha ya nyuma wakiwa vijana, kusimangwa hata kupigwa ama kutelekezwa.

Wakifikia hivyo wanaume hugwaya na kufa kwa stress.
 
Back
Top Bottom