Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 372,753
- 863,635
Unawaza nini?
Unakumbuka nini?
Je unakuogopesha?
Je inakuumiza?
Je inakuogopesha?
Binafsi nina shuhuda zangu nitashare kwenye comments
Karibuni kwa mjadala
Unakumbuka nini?
Je unakuogopesha?
Je inakuumiza?
Je inakuogopesha?
Binafsi nina shuhuda zangu nitashare kwenye comments
Karibuni kwa mjadala
Hivi ni wangapi wanatambua kuna miito tofauti ya ving'ora vya taarifa za tahadhari na dharura?
- Kuna muito wa king'ora cha dharura ya moto
- Kuna muito wa king'ora cha mgonjwa aliye mahututi ama anayehitaji matibabu ya haraka
- Kuna muito wa king'ora cha polisi ama jeshi (kukiwa na watuhumiwa hatari ama hali ya hatari)
- Na kuna muito wa king'ora cha kiongozi
Mjadala wangu unajikita kwenye muito wa king'ora cha gari la kubebea wagonjwa mahututi ama wanaohitaji matibabu ya haraka, na wahudumu wa chumba cha mahututi, chumba cha dharura.
Kwenye hili niwapongeze sana madereva wale wa...
- Kuna muito wa king'ora cha dharura ya moto
- Kuna muito wa king'ora cha mgonjwa aliye mahututi ama anayehitaji matibabu ya haraka
- Kuna muito wa king'ora cha polisi ama jeshi (kukiwa na watuhumiwa hatari ama hali ya hatari)
- Na kuna muito wa king'ora cha kiongozi
Mjadala wangu unajikita kwenye muito wa king'ora cha gari la kubebea wagonjwa mahututi ama wanaohitaji matibabu ya haraka, na wahudumu wa chumba cha mahututi, chumba cha dharura.
Kwenye hili niwapongeze sana madereva wale wa...
- Mshana Jr
- Replies: 58
- Forum: Habari na Hoja mchanganyiko