OKW BOBAN SUNZU

Platinum Member
Aug 24, 2011
49,209
103,788
"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi" Mzee Mizengo Pinda

269451841_4779554595398533_1116041713433362108_n.jpg


Hii inatoka moyoni akimaanisha tume huru kweli kweli?! Au ni chezo CCM wanataka kutufanya mazuzu tuingie kwenye 18?

Tumeshuhudia mahakama ikijidhirisha kutokuwa huru, tumeona tume huru ya Jecha wa Jecha ilichofanya kule Zanzibar.

Tumuunge mkono Pinda kwa tahadhari kubwa sana, atazamwe kwa jicho la tatu.
 
View attachment 2047118

Hii inatoka moyoni akimaanisha tume huru kweli kweli?! Au ni chezo CCM wanataka kutufanya mazuzu tuingie kwenye 18?

Tumeshuhudia mahakama ikijidhirisha kutokuwa huru, tumeona tume huru ya Jecha wa Jecha ilichofanya kule Zanzibar.

Tumuunge mkono Pinda kwa tahadhari kubwa sana, atazamwe kwa jicho la tatu.
Ungefurahi zaidi angesema hakuna cha tume huru?
 
"Kuna mambo ambayo sisi CCM kama chama tawala lazima tubebe dhima. Tutoe uongozi. Kwa, mfano hili la Tume Huru ya Uchaguzi kizuizi ni nini? Hili ni jambo ambalo lazima tukubaliane na wenzetu wa upinzani na tuanze mchakato wa kuwa na Tume Huru ya Uchaguzi" Mzee Mizengo Pinda
1639724579678.jpeg
 
Kwa nini mnapenda kupinga, kukashfu na kubeza kila kitu, as long as kinatoka upande ambao hamkubaliani nao? Kwa style hii itachukua muda mrefu sana wapinzani kutoboa
Watu wanaelewa, hii ni danganya toto, badala ya kuongelea katiba uanze kuwashughulisha watu na tume ili waache katiba wakati tume itapatikana ndani ya katiba,
Farao alipoanza kushindwa alitoa ruhusa nusu nusu ila baadae alilazomika kutoa full freedom kwa kuwa Musa alikataa hizo nusu nusu.
 
Watu wanaelewa, hii ni danganya toto, badala ya kuongelea katiba uanze kuwashughulisha watu na tume ili waache katiba wakati tume itapatikana ndani ya katiba,
Farao alipoanza kushindwa alitoa ruhusa nusu nusu ila baadae alilazomika kutoa full freedom kwa kuwa Musa alikataa hizo nusu nusu.
Bora kupata nusu kuliko kukosa kabisa
 
Back
Top Bottom